Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 4,175
- 2,294
Hawajui kiingereza, ndio maana wakamchagua. Pengine angewaambia "Amerika kwanza" ndio wangemuelewa.Hivi hao wa Marekani wamekua na akili kama za wabongo walivo sikia slogan yake ya "America first" wenyewe walikua wana elewa nini mpaka wamchague.
Anaweza kua amekosea kugusa kote,lakini kwa kuwagusa mashoga amepatia na kanifurahishaTrump amekuja na misimamo na sera zinazogusa na kuathiri watu wengi ndani ya Marekani na nje ya marekani.
Trump anagusa imani za watu, tamaduni za watu na sasa anakwenda mbali kutaka kushirkiana na Waisraeli kuwaondoa wapelestina huko Gaza maamuzi ambayo pia yataamsha hisia za kidini na hata hisia za chuki za kibaguzi kwa misingi ya rangi na asili ya watu.
Trump kagusa mashoga, wahamiaji haramu(blacks), waajiriwa katika mashirika ya misaada ya Marekani duniani na sasa anakwenda kugusa wapelestina(waislaumu) mambo ambayo yanaweza yasimuache salama.
Muda utasema.
Naam mkuu upo sahihi ngoja wazee wa Kazi watumwe wakamfyeke risasi ya kichwa.Ni kweli wote wana matatizo ya akili. Huyu mzee ana mambo mazuri kama ya kukataa ushoga lakini kuna mambo yuko hovyo kabisaa. Hiyo ya kuwahamisha Wapalestina ni ndoto za mchana bora awaze kuwahamisha Wayahudi warudi kwao Europe kwa kina Hitler
Haha mbona haohao matajiri wenzie wengine kama wakina Bill Gates, George Soros anawapa taabu hadi Bill Gates kasema kuna ishu ikiwekwa hadharani anahama marekaniJpm alikua masikini, pia na roho ya chuki dhidi ya matajiri Trump ni tycoon sana anapenda matajiri wenzake hiyo ndo tofauti yao.
Tusubirie tuone watakavyo mpasua na risasi ya kichwaKuna mwamba aliwahi kuandika humu hata kabla ya uchaguzi kwamba D Trump ataenda na maji kama ataendelea kuendekeza sera zake hizi
Ile risasi ilipomkosa alihama dunia hii na pia hamuamini yeyote,nadhani hayuko sawa kiakili,Marekani ni nchi ya wahamiaji na yeye mwenyewe mhamiaji,sasa wakimchelewesha shauri yao,Magu mwenyewe hakuwahi gusa mambo mengi kama huyo Mzee wa risasi ya sikioTrump amekuja na misimamo na sera zinazogusa na kuathiri watu wengi ndani ya Marekani na nje ya marekani.
Trump anagusa imani za watu, tamaduni za watu na sasa anakwenda mbali kutaka kushirkiana na Waisraeli kuwaondoa wapelestina huko Gaza maamuzi ambayo pia yataamsha hisia za kidini na hata hisia za chuki za kibaguzi kwa misingi ya rangi na asili ya watu.
Trump kagusa mashoga, wahamiaji haramu(blacks), waajiriwa katika mashirika ya misaada ya Marekani duniani na sasa anakwenda kugusa wapelestina(waislaumu) mambo ambayo yanaweza yasimuache salama.
Muda utasema.
Mzee,Mungu pia alikuwa Upande wa Masihi Kristo,Lakini aliruhusu auwawe kwa kusudi maalum.i
walimshindwa pale Pennyslivania, ndio basi tena. Mungu Yuko upande wake
Trump is unpredictable president.
Anamzidi Magufuli mbali. Pia Hana njaa ya pesa.Trump ni Magufuli mtupu kabisa.
You nailed it.Sio kweli. Sera zake kaziimba toka kijana, kama Adlolf Hitler. Yale yako moyoni.
Nenda You Tube tafuta interview za Trump election season mwaka 88 na 92. Analia jinsi ilivyo gharama kujenga USA kuliko China wakati kila kitu wanacho kuliko China.
Analia kwa uchungu jinsi China wanavyouza bidhaa zao USA wakati wao wanalimwa ushuru wa kufa mtu wakiingiza vitu China.
Anaulizwa, utagombea Urais, jibu lake ni lile lile, signature response, " we will see."
Ni sawa la kesho na keshokutwa Lissu awe Rais, halafu avunje Muungano, mseme ni mtu unpredictable wakati ni kilio chake Tanganyika tunanyonywa kama mazuzu, toka akiwa serikali ya wanafunzi sekondari.