Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Hamna mtu asiye na tabia mbaya, wote tunazo, za kurithi, za kujifunza na za kuiga.
Kila mtu anayejijua vyema, huwezi ukawa mwizi halafu usijijue.
Huwezi ukawa kicheche halafu useme eti hujui.
Sasa hapa tujuane kwa tabia zetu mbaya.
Binafsi:-
Siwezi kunywa bia mbili halafu niseme nimetosheka, nakunywa hadi niwe nduki.
Baada ya hapo lazima nitoke na totoz, na mara kadhaa nimejikuta nabeba mijitu ya ajabu sana.
Bujibuji
Kila mtu anayejijua vyema, huwezi ukawa mwizi halafu usijijue.
Huwezi ukawa kicheche halafu useme eti hujui.
Sasa hapa tujuane kwa tabia zetu mbaya.
Binafsi:-
Siwezi kunywa bia mbili halafu niseme nimetosheka, nakunywa hadi niwe nduki.
Baada ya hapo lazima nitoke na totoz, na mara kadhaa nimejikuta nabeba mijitu ya ajabu sana.
Bujibuji