Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,094
thanks my luvHihihihi basi sawa dia angu
Mrs Van
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
thanks my luvHihihihi basi sawa dia angu
Mrs Van
Una utani na mzee wa chatle aiseeh!
Wanafunzi wasipovaa itakula kwao na mzee wa chatle keshatoa msimamo wake!
brain is the beautiful part of the body.
Hehehe hao nasikia ndo wasweet balaaHahahaha hao hawatakiwi kabsa kaa nao mbali
Mi najua kabisa hata iweje lzma nile na toi niende sasa kila siku kitu kimoja tu kuulizana halafu iweje sasa!!hahahaha
mambo ya baby umekula, baby umelala! hayo ndio hupendi
ila ki ukweli mapenzi ya kweli ni pamoja na kupena nafas, ukiona mna kabana kila tyme jua hakuna kuaminiania
na huyu bhana inaonekaba mpenzi wake hamuamini, mchiz ni korofi
Hehehe hao nasikia ndo wasweet balaa
brain is the beautiful part of the body.
Kuna kitu utakua umefanya asikuamini
Sent from my SM-G950FD using JamiiForums mobile app
Inatosha kwa nn usipokee cm yake,.. Una sababu ya msingi,,!?Kutokupokea simu yake mkuu
hahahahahaMi najua kabisa hata iweje lzma nile na toi niende sasa kila siku kitu kimoja tu kuulizana halafu iweje sasa!!
Inabidi kuleta kitu kipya ambacho kitasisimua mahusiano yetu.
Ahaaaaaaaaa inaboa bhana kurudia rudia maswali.nipe michongo ya hela nini nifanye kuongeza kipato.sio bla bla kibao.binafsi sipendi kabisaaaaa maswali maswali bila kuwa na mawazo ya kunyanyuana kiuchumi.
Mi najua kabisa hata iweje lzma nile na toi niende sasa kila siku kitu kimoja tu kuulizana halafu iweje sasa!!
Inabidi kuleta kitu kipya ambacho kitasisimua mahusiano yetu.
Ahaaaaaaaaa inaboa bhana kurudia rudia maswali.nipe michongo ya hela nini nifanye kuongeza kipato.sio bla bla kibao.binafsi sipendi kabisaaaaa maswali maswali bila kuwa na mawazo ya kunyanyuana kiuchumi.
hahahahaha
ila yes uko sahihi kabsa
ukisha jua kwenyw relation wataka nn ni rahisi ku ishi bila bugudha kama hizo
Inatosha kwa nn usipokee cm yake,.. Una sababu ya msingi,,!?
Sent from my SM-G950FD using JamiiForums mobile app
Ngumu kumeza
hahahaMwisho wake umekubali kwamba niko sahihi
Wengi nimezinguana nao aiseeh.mwanaume mda wote yuko na smart4ne mara baby ng'a!mara baby ng'ee!!ujinga mtupu.hahahahaha
ila yes uko sahihi kabsa
ukisha jua kwenyw relation wataka nn ni rahisi ku ishi bila bugudha kama hizo
hahahahaWengi nimezinguana nao aiseeh.mwanaume mda wote yuko na smart4ne mara baby ng'a!mara baby ng'ee!!ujinga mtupu.
Ukisimamia unachokiamini kinafaida,hupati shida
Wengi nimezinguana nao aiseeh.mwanaume mda wote yuko na smart4ne mara baby ng'a!mara baby ng'ee!!ujinga mtupu.
Ukisimamia unachokiamini kinafaida,hupati shida
Wengi nimezinguana nao aiseeh.mwanaume mda wote yuko na smart4ne mara baby ng'a!mara baby ng'ee!!ujinga mtupu.
Ukisimamia unachokiamini kinafaida,hupati shida
hahaha
Chakorii ndio amkuja kuku okoa
maana dizain kama.kakuunga mkono