Kutokuaminiana katika mahusiano

Kutokuaminiana katika mahusiano

Una utani na mzee wa chatle aiseeh!

Wanafunzi wasipovaa itakula kwao na mzee wa chatle keshatoa msimamo wake!

brain is the beautiful part of the body.

Hahahaha hao hawatakiwi kabsa kaa nao mbali
 
hahahaha
mambo ya baby umekula, baby umelala! hayo ndio hupendi

ila ki ukweli mapenzi ya kweli ni pamoja na kupena nafas, ukiona mna kabana kila tyme jua hakuna kuaminiania
na huyu bhana inaonekaba mpenzi wake hamuamini, mchiz ni korofi
Mi najua kabisa hata iweje lzma nile na toi niende sasa kila siku kitu kimoja tu kuulizana halafu iweje sasa!!

Inabidi kuleta kitu kipya ambacho kitasisimua mahusiano yetu.

Ahaaaaaaaaa inaboa bhana kurudia rudia maswali.nipe michongo ya hela nini nifanye kuongeza kipato.sio bla bla kibao.binafsi sipendi kabisaaaaa maswali maswali bila kuwa na mawazo ya kunyanyuana kiuchumi.
 
Mi najua kabisa hata iweje lzma nile na toi niende sasa kila siku kitu kimoja tu kuulizana halafu iweje sasa!!

Inabidi kuleta kitu kipya ambacho kitasisimua mahusiano yetu.

Ahaaaaaaaaa inaboa bhana kurudia rudia maswali.nipe michongo ya hela nini nifanye kuongeza kipato.sio bla bla kibao.binafsi sipendi kabisaaaaa maswali maswali bila kuwa na mawazo ya kunyanyuana kiuchumi.
hahahahaha
ila yes uko sahihi kabsa
ukisha jua kwenyw relation wataka nn ni rahisi ku ishi bila bugudha kama hizo
 
Mi najua kabisa hata iweje lzma nile na toi niende sasa kila siku kitu kimoja tu kuulizana halafu iweje sasa!!

Inabidi kuleta kitu kipya ambacho kitasisimua mahusiano yetu.

Ahaaaaaaaaa inaboa bhana kurudia rudia maswali.nipe michongo ya hela nini nifanye kuongeza kipato.sio bla bla kibao.binafsi sipendi kabisaaaaa maswali maswali bila kuwa na mawazo ya kunyanyuana kiuchumi.

Hapo umeongea point kabsa, demu hana hata kipato kazi kukusumbua tu, mara ooh uko wapi, wakati anajua kabsa kwamba uko na kazini na ni muda wa kazi
 
hahahahaha
ila yes uko sahihi kabsa
ukisha jua kwenyw relation wataka nn ni rahisi ku ishi bila bugudha kama hizo
Wengi nimezinguana nao aiseeh.mwanaume mda wote yuko na smart4ne mara baby ng'a!mara baby ng'ee!!ujinga mtupu.

Ukisimamia unachokiamini kinafaida,hupati shida
 
Wengi nimezinguana nao aiseeh.mwanaume mda wote yuko na smart4ne mara baby ng'a!mara baby ng'ee!!ujinga mtupu.

Ukisimamia unachokiamini kinafaida,hupati shida

Umeolewa au bado? Nataka kuleta mahari[emoji85][emoji85][emoji85]
 
Wengi nimezinguana nao aiseeh.mwanaume mda wote yuko na smart4ne mara baby ng'a!mara baby ng'ee!!ujinga mtupu.

Ukisimamia unachokiamini kinafaida,hupati shida

Umeolewa au bado? Nataka kuleta mahari[emoji85][emoji85][emoji85]
 
Back
Top Bottom