Kutokujua Sheria za Soka Chanzo cha Malalamiko ya Goli la Yanga!

Ukielewa kanuni niliyoielezea hapo juu kama inavyotambuliwa na FIFA utaona kuwa hakuna mwamuzi yeyote mwenye beji ya FIFA anayeweza kusema hiyo ni faulu..
unatetea upuuzi uliouleta ukiamini utapata wapuuzi wa kukuunga mkono
 
Hata hivyo wenye maamuzi ya mwisho kua mpira umefata mkono au mkono umefata mpira ni waamuzi wa uanjani,sisi huku nje hatuna filimbi wala kibendera
 
Mzee huyu huyu kila anatuambia Juma Pombe anafuata utawala wa demokrasia na sheria (pamoja na kufuta mikutano ya siasa nk),eti leo anataka tumuamini.wewe ni design ya mtu anayeweza kuita pengo ni mwanya kutokana na mahabati.
yaani mpaka nimejuata kuingiabkwenye Uzi wa hili tahira mbaya zaidi linaingiza siasa...
 
Ebu tutafsirie pia mazingira ya mtu kuwa offside na kutokuwa offside, maana goli la Ajib pia limeleta mzozo mkubwa mtaani.
 
Unasema alikosea na kwenye goli la Ajibu? vipi napo alukosea kwanini kila mechi akosee kuiangamiza Simba tu kwanini hakukosea kukataa hilo goli lao yanga...
 
Huyu mzee @M. M. Mwanakijiji anaanza kuzeeka vibaya naomba ukatoe sindano jukwaa la siasa maana haya mahaba kwa chura wa jangwani ni mwisho, hili la yanga uzuri halitaki usomi hata mtoto angeweza kutoa yake ya moyoni.
 
Hahahaa sawa mkuu.lakin hamna excuse ya kuharibu uwanja kisa refa kaganya kosa,hayo ni mambo ya watoto wa primary
Haki haiombwi inadaiwa na hakuna fomula hii ya kungoa viti itasababisha wachibue tatizo..acha iwe noma...
 
Tuwe wa kweli tu.
Mwamuzi aliwabeba Yanga, iwe alifanya vile kwa makusudi, au bahati mbaya au udhaifu wa kinadamu nk. Huu ni ukweli wa dhahiri kabisa.
hii siyo Bahati mbaya angalia goli letu alilolukataa angalia beki Tatu Wetu alivyokuwa anafanyiwa faulu halafu anapotezea angalia kadi nyekundu na goli la tambwe...
 
Goli la Koscileny dhidi ya Burnely afadhali ya Tambwe!
katika soka kunamakosa ya kibinadamu lakini siyo ya juzi...juzi refa alifanya makosa makubwa matatu hii inaonyesha alidhamilia na records za refa na upangiwajibwa mechi husika nao unamashaka ikumbukwe alikywa amefungiwa baada ya kuibeba yanga zidi ya Coastal ya Tanga na usisahau kila mechi ya Simba na yanga lazima Simba wapewe red card ya mazingira ya kutatanisha
 
Vipi mbona hujaongelea goli la simba lililokataliwa?
Mzee Mwanakijiji
 
Kweli kabisa Refa hajui Sheria za Soka ndio kalikubali Goli la Basketball ndio maana kakataa Goli halali la Ajibu
 
Nashauri Marefa wote wafanyiwe Uhakiki ili kuwaondoa Marefa wasio Na sifa.Imethibitika kuwa kuna idadi kubwa ya marefa wa BASKETBAALL lakini wamesajiliwa Na TFF.Mfano in Refa aliyechezesha mechi baina ya Simba Na Yanga juzi Kwa kulikubali Goli la Mkono lililofungwa Na mchezaji Amis Tambwe wa Yanga.Kwa kuwa Refa Huyo in wa Basketball aliamini in goli halali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…