Kutokujua Sheria za Soka Chanzo cha Malalamiko ya Goli la Yanga!

Bangesyrup,
Mwaka 1995 Madaraka Selemani akiwa mchezaji wa Simba alifunga goli la kwanza la Simba dhidi ya Yanga kwa mkono na refa alilikubali, ulikuwa hujazaliwa? Kama ulizaliwa mbona hukulalamika hapa? Thiery Henry alifunga goli baadaya ya kuuseti mpira kwa mkono kwenye mechi za ku qualfy World Cup, Diego Armando Maradona alifunga goli la mkono dhidi ya England kwenye quarter final ya World Cup, jana kwenye EPL mechi ya Arsenal na Burnley Alex- Oxlade Chamberlain amefunga goli kupitia mkono wa Coexylin. Marefa ni binadamu wanafanya makosa pia, hata ukitoa machozi ya damu hapa haitabadili matokeo.
 

Umemaliza mkuu
 


Kwa hiyo unataka makosa ya marefa yasijadiliwe?
 
Na wewe lazima utakuwa miongoni mwa wavuta bange walioharibu viti pale uwanja wa Taifa, ngoja nilitaarifu jeshi la Polisi maana upuuzi wa namna hii hauvumiliki.
 
Kwa hiyo unataka makosa ya marefa yasijadiliwe?
Hata ukishinda hapa 24/7 unajadili makosa ya waamuuzi mwisho wa siku matokeo yatabaki vilevile na waamuzi kwakuwa ni binadamu basi nakuhakikishia makosa yataendelea kuwapo japokuwa hayatafanana mpaka siku ya kiyama.
 
Hata ukishinda hapa 24/7 unajadili makosa ya waamuuzi mwisho wa siku matokeo yatabaki vilevile na waamuzi kwakuwa ni binadamu basi nakuhakikishia makosa yataendelea kuwapo japokuwa hayatafanana mpaka siku ya kiyama.


Ni kweli usemacho lakini haiishii kwenye matokeo tu hata ukweli kuwa refa alikosea na makosa yakaifaidisha Yanga litabaki hivyo hivyo milele. Mijadala itaisha lakini hizo facts za matokeo na makosa zitabaki palepale
 



mpira ni mchezo wa kusisimua na hayo matukio yanaufanya mchezo uendelee kuleta msisimko ndo mana ulaya walikuwa wanakataa goal technology mana inapunguza matukio ya utata yanayoufanya mchezo kuwa na msisimko henry aliivusha france kwa goli la mkono na jana uwanjani kwa burnley viti havikung'olewa kwa kuwa hayo ni matukio ya mpira yanayoufanya kuwa tata.
 
Mtoa post wewe Yanga damu so lazima utete tuuu hilo ni goli la mkono labda useme refa hakuona vizuri lakini Sio kusingizia watu hawajui sheria za Soka
 
Kwahio kuvunja viti ndo kudai haki?
utaona matokeo yake kunanchi baada ya ajira kukosekana kijana mmoja alijimwagia mafuta na kujiwasha uliza nini kilifata... hata kwa uhalibifu uliofanyika najua Simba itatugarimu lakini angalau tumeonyesha tunakerwa na huo uhuni wa tff na marefa wao...
 
We endelea kushangilia magamba huku kwenye mpira hapakufai...
 
Duh.....mwanzisha mada alipaswa kutuwekea hii picha pale mwanzo ili hata kina sie ambao ni yanga damu, tumuelewe vizuri!😀😀😀😀😀

Au hii picha nyie 'simba' mumeitengeneza (photoshop)?

Kwa hiyo baada ya hizi picha hitimisho ni kuwa mechi iliisha kwa 1-1 ama 1-0?🙄🙄

Namitakieni siku njema
 
Jinsi tukio la tambwe lilivyofanyika katika speed ya 4g hata Colina angeweka kati tu,mbona henry kashafanyaga hizo mambo mara nyingi tu,hawa wanalalamika kama mwanamke aliyepewa ujauzito bar.
Usimdhalilishe Peluig Colina
 
Acha uchambuzi wa kishabiki kila MTU aliona namna mkono ulivyofanya tambwe alitakiwa apewe kadi ndio maana marefa wenu ni was hapahapa
 
Umekuwa biased sana,..
Vipi kuhusu goli lililokataliwa la Ajib?
Ilikuwa offiside kweli au la..!?
Na kwa nini hukulielezea..??
 
Ata kwenye kampeni Nape alisikika akisema ata kwa bao la mkono mtashinda,

sasa kila mahali mnatafuta ushindi kwa bao la mkono,

Utakuwa ni mtu wa ajabu sana kukubaliana na lile bao la Yanga.
 
Mkuu tambwe aaaliiiuuuuvuuutaaa ule mpira nadhani liko wazi halina ubishi

mtamponza refa afungiwe bila kosa. Tambwe hakushika, sema mkono wakati anageuka ulikuwa umeenda sambamba na mpira. Ni bora ungesema Barthez kawapa simba goli sababu ya unazi wake kwa simba ningeelewa. Goli alilofungwa Barthez hata mtu anaejifunza ukipa hawezi fungwa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…