Kutokuwepo kwa Mabalozi wa US, UK, Sweden, Norway, Denmark, EU, Japan na South Korea leo Dodoma, kuna nini kinaendelea jikoni?

Kutokuwepo kwa Mabalozi wa US, UK, Sweden, Norway, Denmark, EU, Japan na South Korea leo Dodoma, kuna nini kinaendelea jikoni?

CCM vilaza sana , wanadhani dunia itasimama bila Tanzania
Mkuu nlikwambia baada ya matokeo utapata tabu sana!

Kwani kutokuwepo kwao kuna maanisha nini wakati siku ya kuapishwa walikuwepo?

Acha kujifariji kijana! Ni yeye wako kashakimbia nchi
 
CCM hawata liona hilo. Maana ni vipofu, viziwi ila wamejaliwa mdomo wa kuongea na ubongo wa mende. Kuna siku watashtuka lakini itakuwa too late.
As long as wao wanakula kodi zetu akili zao hazioni mbali kuwa vikwazo vitakapoanza hata hizo kodi nazo zitapwaya mara dufu!
 
Huyo amsterdam nae ni mzinguzi tuu,alikuwa anaingilia mambo ya kampeni wakati usio sahihi hadi kujenga taswira mbaya kwa mgombea wa upinzani
 
Ni swali muhimu sana kwa mustakabali wa nchi yetu.

Amani iwe nanyi wadau!

Usiku wa Jana, Wakili Robert Amsterdam ameitaarifu dunia kupitia Twitter yake kuwa amefikia hatua nzuri kupeleka mashtaka katika mahakama ya ICC Uholanzi dhidi ya Magufuli na Serikali yake.

Leo alfajiri, Magufuli akateua mawaziri wawili -- wa Mambo ya Nje, na wa Fedha.

Muda mchache uliopita kwa mara ya kwanza, wawakilishi wa nchi zinazoisadia zaidi Tanzania kifedha na kimisaada yaani Marekani, Uingereza, Sweden, Norway, Japan, Ujerumani, Finland, Korea ya Kusini na Umoja wa Ulaya hawajaudhuria hotuba ya Rais Magufuli Bungeni.

Naomba mnaojua mtuelezee humu, kuna nini kinaendelea jikoni? Au ndo mambo yashakuwa mambo?

Naomba michango yenu!
Nchi hizo zote zimeshuhudia mambo ya aibu Sana yaliyofanywa kwa makusudi katika uchaguzi huu ! Haukuwa Uchaguzi huu ! Mawakala wa vyama vya Siasa kuzuiliwa nchi nzima katika vituo vya kupigia Kura kuingia kwenye vituo vya kupigia Kura kwa zaidi ya masaa 5 , hapo Kuna Uchaguzi au ni usanii uliopitiliza !!!???
 
Hayo ndio mambo yamelichelewesha bara la Africa kujiamlia mambo yake na kujitegemea!!

Misaada misaada, hata kwangu binafsi siitaki, kubebwa bebwa kumelifanya hata soka letu liwe la hovyo hovyo, tunakuwa na timu nzuri ndani Tu kwa sababu ya kubebwa bebwa tu! Ni wakati wa kuonyesha uwezo wetu sasa bila kuwategemea hao ambao mpaka leo wao wanaliwa na Corona

Tanzania bila wazungu, inawezekana bhana, Isipokuwa, Tanzania bila Mungu, haiwezekani
Tanzania haimujitaji jiwe wenu. Wajua hata waadui wakiingia Tanzania wananchi wanaweza kuwapa support kwa sababu tu wengi wao hawampendi jiwe
 
Raisi Magufuli anajaribu kupunguza ile hali ya Tanzania kutegemea misaada kutoka nchi za nje, mfano misaada kama kuchimba choo, kujenga hospitali nk.

Sikatai, ninaamini nchi zinategemeana kimalighafi ili kuongeza kasi ya maendeleo.

Sasa badala ya kumuunga mkono raisi kupunguza hali ya kuondoa akili tegemezi, wengine mnapinga na kumpiga vita.

Siku Lisu akiwa raisi wa Tanzania, mtamwagiwa pumba mlee, mkishiba, mtachinjwa na kuwa kitoweo cha wazungu vizazi vyenu vyote.

Kwa akili ya kawaida huwezi kuliona hili.
Mtamkumbuka raisi Magufuli.
 
Tanzania haimujitaji jiwe wenu. Wajua hata waadui wakiingia Tanzania wananchi wanaweza kuwapa support kwa sababu tu wengi wao hawampendi jiwe
😂😂😂😂😂

Ni wakati upi wewe umewahi kuwapenda viongozi wa CCM?

Eti hapendwi na wengi, hao wengi ndio Waliopuuza maandamano ya huyo anayependwa na wengi siyo?
 
Hujitambui wewe na familia yako! Hatuko huru wakati upo Nyuma ya keyboard una type hapa kuiponda serikali! Unaujua Uhuru wewe ni uhuru upi unaozungumzia? Temechoka na hoja zenu hizi mfu kila kukicha! Uchaguzi umeshakwisha sasa tunajenga Nchi!.
Kama uko unajenga nchi humu unafanya nini?
Pathetic
 
Maisha ya kinafiki ndiyo yamekutawala
Kama hawakupewa mwaliko je?
Na ni lazima wawepo ndiyo nchi uendelee?
Watanzania tujifunze kujitegemea
Mtegemea cha nduguye ufa masikini
So una maanisha ile ya sizitaki mbichi hizi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni swali muhimu sana kwa mustakabali wa nchi yetu.

Amani iwe nanyi wadau!

Usiku wa Jana, Wakili Robert Amsterdam ameitaarifu dunia kupitia Twitter yake kuwa amefikia hatua nzuri kupeleka mashtaka katika mahakama ya ICC Uholanzi dhidi ya Magufuli na Serikali yake.

Leo alfajiri, Magufuli akateua mawaziri wawili -- wa Mambo ya Nje, na wa Fedha.

Muda mchache uliopita kwa mara ya kwanza, wawakilishi wa nchi zinazoisadia zaidi Tanzania kifedha na kimisaada yaani Marekani, Uingereza, Sweden, Norway, Japan, Ujerumani, Finland, Korea ya Kusini na Umoja wa Ulaya hawajaudhuria hotuba ya Rais Magufuli Bungeni.

Naomba mnaojua mtuelezee humu, kuna nini kinaendelea jikoni? Au ndo mambo yashakuwa mambo?

Naomba michango yenu!
Meko lazima ateme ulimi
IMG_20201112_212641.jpeg
 
Nani anajikomba kwa wazungu?? Kwani nyie mnawategemea kina nani?
Tanzania ipo itakuwepo na itaendelea kuwepo. Watu wenye kujikomba kwa wazungu ndio wamejawa na uoga.

Hao kina Lissu na wengine biashara ndio imeshaisha watafute cha kufanya wafanye.
 
Back
Top Bottom