Mkuu nlikwambia baada ya matokeo utapata tabu sana!CCM vilaza sana , wanadhani dunia itasimama bila Tanzania
As long as wao wanakula kodi zetu akili zao hazioni mbali kuwa vikwazo vitakapoanza hata hizo kodi nazo zitapwaya mara dufu!CCM hawata liona hilo. Maana ni vipofu, viziwi ila wamejaliwa mdomo wa kuongea na ubongo wa mende. Kuna siku watashtuka lakini itakuwa too late.
Nlisema humu Amstedam atachangia pakubwa sana kuanguka kwa Lisu! Lakini bavicha hawakuelewaHuyo amsterdam nae ni mzinguzi tuu,alikuwa anaingilia mambo ya kampeni wakati usio sahihi hadi kujenga taswira mbaya kwa mgombea wa upinzani
Nchi hizo zote zimeshuhudia mambo ya aibu Sana yaliyofanywa kwa makusudi katika uchaguzi huu ! Haukuwa Uchaguzi huu ! Mawakala wa vyama vya Siasa kuzuiliwa nchi nzima katika vituo vya kupigia Kura kuingia kwenye vituo vya kupigia Kura kwa zaidi ya masaa 5 , hapo Kuna Uchaguzi au ni usanii uliopitiliza !!!???Ni swali muhimu sana kwa mustakabali wa nchi yetu.
Amani iwe nanyi wadau!
Usiku wa Jana, Wakili Robert Amsterdam ameitaarifu dunia kupitia Twitter yake kuwa amefikia hatua nzuri kupeleka mashtaka katika mahakama ya ICC Uholanzi dhidi ya Magufuli na Serikali yake.
Leo alfajiri, Magufuli akateua mawaziri wawili -- wa Mambo ya Nje, na wa Fedha.
Muda mchache uliopita kwa mara ya kwanza, wawakilishi wa nchi zinazoisadia zaidi Tanzania kifedha na kimisaada yaani Marekani, Uingereza, Sweden, Norway, Japan, Ujerumani, Finland, Korea ya Kusini na Umoja wa Ulaya hawajaudhuria hotuba ya Rais Magufuli Bungeni.
Naomba mnaojua mtuelezee humu, kuna nini kinaendelea jikoni? Au ndo mambo yashakuwa mambo?
Naomba michango yenu!
Utajua siku si nyingiJe ni mazoea ama ni Sheria imeelekeza lazima wawepo.
Tanzania haimujitaji jiwe wenu. Wajua hata waadui wakiingia Tanzania wananchi wanaweza kuwapa support kwa sababu tu wengi wao hawampendi jiweHayo ndio mambo yamelichelewesha bara la Africa kujiamlia mambo yake na kujitegemea!!
Misaada misaada, hata kwangu binafsi siitaki, kubebwa bebwa kumelifanya hata soka letu liwe la hovyo hovyo, tunakuwa na timu nzuri ndani Tu kwa sababu ya kubebwa bebwa tu! Ni wakati wa kuonyesha uwezo wetu sasa bila kuwategemea hao ambao mpaka leo wao wanaliwa na Corona
Tanzania bila wazungu, inawezekana bhana, Isipokuwa, Tanzania bila Mungu, haiwezekani
😂😂😂😂😂Tanzania haimujitaji jiwe wenu. Wajua hata waadui wakiingia Tanzania wananchi wanaweza kuwapa support kwa sababu tu wengi wao hawampendi jiwe
Kama uko unajenga nchi humu unafanya nini?Hujitambui wewe na familia yako! Hatuko huru wakati upo Nyuma ya keyboard una type hapa kuiponda serikali! Unaujua Uhuru wewe ni uhuru upi unaozungumzia? Temechoka na hoja zenu hizi mfu kila kukicha! Uchaguzi umeshakwisha sasa tunajenga Nchi!.
😃😃Mmeambiwa kuna RADI inakuja mjiandae.
So una maanisha ile ya sizitaki mbichi hizi?Maisha ya kinafiki ndiyo yamekutawala
Kama hawakupewa mwaliko je?
Na ni lazima wawepo ndiyo nchi uendelee?
Watanzania tujifunze kujitegemea
Mtegemea cha nduguye ufa masikini
Mimi najilisha kwa Jasho langu mwenyewe! Labda Kama wanakulisha wwe na familia yako!!Unataka tuwe na mentality gani wakati hawa ndo wanaotulisha na kutusaidia kwa kiwango kikubwa sana?
Aisee wewe naye umetoka/ wamekutoa wapi??Kwahiyo bunge halikamiliki bila wazungu!?
MAGUFULI4LIFE.
Meko lazima ateme ulimiNi swali muhimu sana kwa mustakabali wa nchi yetu.
Amani iwe nanyi wadau!
Usiku wa Jana, Wakili Robert Amsterdam ameitaarifu dunia kupitia Twitter yake kuwa amefikia hatua nzuri kupeleka mashtaka katika mahakama ya ICC Uholanzi dhidi ya Magufuli na Serikali yake.
Leo alfajiri, Magufuli akateua mawaziri wawili -- wa Mambo ya Nje, na wa Fedha.
Muda mchache uliopita kwa mara ya kwanza, wawakilishi wa nchi zinazoisadia zaidi Tanzania kifedha na kimisaada yaani Marekani, Uingereza, Sweden, Norway, Japan, Ujerumani, Finland, Korea ya Kusini na Umoja wa Ulaya hawajaudhuria hotuba ya Rais Magufuli Bungeni.
Naomba mnaojua mtuelezee humu, kuna nini kinaendelea jikoni? Au ndo mambo yashakuwa mambo?
Naomba michango yenu!
Mbona mbelgiji wenu mnaempenda mlimpuuza aliposema muandamane?Tanzania haimujitaji jiwe wenu. Wajua hata waadui wakiingia Tanzania wananchi wanaweza kuwapa support kwa sababu tu wengi wao hawampendi jiwe
Tanzania ipo itakuwepo na itaendelea kuwepo. Watu wenye kujikomba kwa wazungu ndio wamejawa na uoga.
Hao kina Lissu na wengine biashara ndio imeshaisha watafute cha kufanya wafanye.
Bado mnajifariji tu hata baada ya kipigo na chama lenu kusambaratika?Meko lazima ateme ulimiView attachment 1625638
Na vizazi vyao vyoteWalaaniwe TISS na Mhutu wao!