Nikajua unaingia barabarani. Teheee.Kuna kitu nahisi kinakuja, na si cha kawaida kwa kweli. Sie tulioibiwa Uchaguzi nafikiri huu ni muda sahihi kuchukua popcorn na kuangalia huu mchezo unavyozidi kuwa mtamu
Anaogopa nini kutumia actual ID ikiwemo wewe ,kuna mtu kawazuia ? Kwa hiyo uhuru ni kutumia Real ID? Ni Uhuru upi huo mnaouzungumzia?Kwani hapo nyuma ya keyboard yake ametumia actual id?
Yatatuumiza malofaNaisi yajayo yanafurahisha saaana[emoji23][emoji23][emoji23]
Anaogopa nini kutumia actual ID ikiwemo wewe ,kuna mtu kawazuia ? Kwa hiyo uhuru ni kutumia Real ID? Ni Uhuru upi huo mnaouzungumzia?
Usiifananishe Zimbabwe na Tanzania. Mugabe alibugi kuchelewa kuwafukuza wazungu hili ndio lilimgharimu na kupata shida kutawala, pia ukame umekuwa ni tatizo kubwa sana kwa Zimbabwe.Hata Zimbabwe imesimama saivi😂
Kweli kabisa umeona ninayoyaona mbeleni nacheka kwa uchungu inauma Sana mtu anaharibu taifa zuri kiss ubinafsi wake dah.Nikimwangalia mtawala wetu pamoja na Ndugai naona giza kubwa mbele yetu
Yaelekea elimu na mwamko wako mdogo. Morocco na Misri zinazoipa misaada Tanzania, zo zenyewe zategemea misaada ya nchi zilizoendelea. Leo ukisema Tanzania haihitaji misaada…...nadhani unasikiliza mno hotuba za CCM. Punguza.Hayo ndio mambo yamelichelewesha bara la Africa kujiamlia mambo yake na kujitegemea!!
Misaada misaada, hata kwangu binafsi siitaki, kubebwa bebwa kumelifanya hata soka letu liwe la hovyo hovyo, tunakuwa na timu nzuri ndani Tu kwa sababu ya kubebwa bebwa tu! Ni wakati wa kuonyesha uwezo wetu sasa bila kuwategemea hao ambao mpaka leo wao wanaliwa na Corona
Tanzania bila wazungu, inawezekana bhana, Isipokuwa, Tanzania bila Mungu, haiwezekani
Mkuu,Muwe mnatumia akili,sio kila mnaloambiwa mnameza tu!Hivi kweli akili yako imeishia hapo kabisa?Kabisa?Kabisaaaa?Daaah
Naona machadema mnajiona Kama mnaishi ubelgiji pamoja na msaliti. Endeleeni kuweweseka ila Dua la kuku halimpati mwewe.Ni swali muhimu sana kwa mustakabali wa nchi yetu.
Amani iwe nanyi wadau!
Usiku wa Jana, Wakili Robert Amsterdam ameitaarifu dunia kupitia Twitter yake kuwa amefikia hatua nzuri kupeleka mashtaka katika mahakama ya ICC Uholanzi dhidi ya Magufuli na Serikali yake.
Leo alfajiri, Magufuli akateua mawaziri wawili -- wa Mambo ya Nje, na wa Fedha.
Muda mchache uliopita kwa mara ya kwanza, wawakilishi wa nchi zinazoisadia zaidi Tanzania kifedha na kimisaada yaani Marekani, Uingereza, Sweden, Norway, Japan, Ujerumani, Finland, Korea ya Kusini na Umoja wa Ulaya hawajaudhuria hotuba ya Rais Magufuli Bungeni.
Naomba mnaojua mtuelezee humu, kuna nini kinaendelea jikoni? Au ndo mambo yashakuwa mambo?
Naomba michango yenu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]China yupi? Huyu aliyeshindwa hata kufufua kiwanda cha Urafiki?
wakiminya dawa za ukimwi tu, watu wataanza kupukutika mitaani ni balaa!!Sisi Donner Country
Mabeberu hawatutishi [emoji23][emoji23][emoji23]
Tuna SGR, ndege kibao na nyingine zinakuja, bwawa la Mwalimu Nyerere, Tanzanite, bomba la mafuta Tanga mpaka Uganda na tuko uchumi wa kati hatuhitaji misaada yao, tuko tayari kuwasaidia wao.Ni swali muhimu sana kwa mustakabali wa nchi yetu.
Amani iwe nanyi wadau!
Usiku wa Jana, Wakili Robert Amsterdam ameitaarifu dunia kupitia Twitter yake kuwa amefikia hatua nzuri kupeleka mashtaka katika mahakama ya ICC Uholanzi dhidi ya Magufuli na Serikali yake.
Leo alfajiri, Magufuli akateua mawaziri wawili -- wa Mambo ya Nje, na wa Fedha.
Muda mchache uliopita kwa mara ya kwanza, wawakilishi wa nchi zinazoisadia zaidi Tanzania kifedha na kimisaada yaani Marekani, Uingereza, Sweden, Norway, Japan, Ujerumani, Finland, Korea ya Kusini na Umoja wa Ulaya hawajaudhuria hotuba ya Rais Magufuli Bungeni.
Naomba mnaojua mtuelezee humu, kuna nini kinaendelea jikoni? Au ndo mambo yashakuwa mambo?
Naomba michango yenu!
Huyo jamaa anabonyeza keyboard huku kajificha chini ya uvungu wa kitanda, ha ha ha.Nikajua unaingia barabarani. Teheee.
Tanzania ipo itakuwepo na itaendelea kuwepo. Watu wenye kujikomba kwa wazungu ndio wamejawa na uoga.CCM vilaza sana , wanadhani dunia itasimama bila Tanzania