Kutokuwepo kwa Mabalozi wa US, UK, Sweden, Norway, Denmark, EU, Japan na South Korea leo Dodoma, kuna nini kinaendelea jikoni?

Kutokuwepo kwa Mabalozi wa US, UK, Sweden, Norway, Denmark, EU, Japan na South Korea leo Dodoma, kuna nini kinaendelea jikoni?

Hata wewe kutotumia actual id ni ushahidi tosha kuwa hakuna uhuru
Anaogopa nini kutumia actual ID ikiwemo wewe ,kuna mtu kawazuia ? Kwa hiyo uhuru ni kutumia Real ID? Ni Uhuru upi huo mnaouzungumzia?
 
Hata Zimbabwe imesimama saivi😂
Usiifananishe Zimbabwe na Tanzania. Mugabe alibugi kuchelewa kuwafukuza wazungu hili ndio lilimgharimu na kupata shida kutawala, pia ukame umekuwa ni tatizo kubwa sana kwa Zimbabwe.

Tanzania imebarikiwa na Mungu ina uwezo wa kulisha nchi zote za Sadcc ukiondoa South Africa.
 
Hayo ndio mambo yamelichelewesha bara la Africa kujiamlia mambo yake na kujitegemea!!

Misaada misaada, hata kwangu binafsi siitaki, kubebwa bebwa kumelifanya hata soka letu liwe la hovyo hovyo, tunakuwa na timu nzuri ndani Tu kwa sababu ya kubebwa bebwa tu! Ni wakati wa kuonyesha uwezo wetu sasa bila kuwategemea hao ambao mpaka leo wao wanaliwa na Corona

Tanzania bila wazungu, inawezekana bhana, Isipokuwa, Tanzania bila Mungu, haiwezekani
Yaelekea elimu na mwamko wako mdogo. Morocco na Misri zinazoipa misaada Tanzania, zo zenyewe zategemea misaada ya nchi zilizoendelea. Leo ukisema Tanzania haihitaji misaada…...nadhani unasikiliza mno hotuba za CCM. Punguza.
 
Muwe mnatumia akili,sio kila mnaloambiwa mnameza tu!Hivi kweli akili yako imeishia hapo kabisa?Kabisa?Kabisaaaa?Daaah
Mkuu,

Do you clearly understand what 'crimes against humanit'y imply?
Read on 'CRIMES AGAINST HUMANITY AND THE LIMITS OF INTERNATIONAL CRIMINAL LAW
MASSIMO RENZO', to discern what is all about, teh responsibility, obligations and power limitations based on international laws

Tena, inabidi muache kutishia watu kwenye mahakama ya ICC mtajuta kuzaliwa.

Your mission is void and futile; and teh tribunal court shall be ashamed to abyss for attempting terrorize the sovereign state.

To be sure of the process that you are touting about read the 'Rome Statute on International Criminal Court' on page 24-61 whcih includes article 53-61 with teh subject 'Investigations and Prosecution' . The trial stipulated in articles 62-76

Kwahiyo mstishe watu hizo kesi zenu zisizo na kichwa wala miguu zitasababisha hata wapambe waombe dunia ipasuke wapotelee ardhini-Period
 

Attachments

Ni swali muhimu sana kwa mustakabali wa nchi yetu.

Amani iwe nanyi wadau!

Usiku wa Jana, Wakili Robert Amsterdam ameitaarifu dunia kupitia Twitter yake kuwa amefikia hatua nzuri kupeleka mashtaka katika mahakama ya ICC Uholanzi dhidi ya Magufuli na Serikali yake.

Leo alfajiri, Magufuli akateua mawaziri wawili -- wa Mambo ya Nje, na wa Fedha.

Muda mchache uliopita kwa mara ya kwanza, wawakilishi wa nchi zinazoisadia zaidi Tanzania kifedha na kimisaada yaani Marekani, Uingereza, Sweden, Norway, Japan, Ujerumani, Finland, Korea ya Kusini na Umoja wa Ulaya hawajaudhuria hotuba ya Rais Magufuli Bungeni.

Naomba mnaojua mtuelezee humu, kuna nini kinaendelea jikoni? Au ndo mambo yashakuwa mambo?

Naomba michango yenu!
Naona machadema mnajiona Kama mnaishi ubelgiji pamoja na msaliti. Endeleeni kuweweseka ila Dua la kuku halimpati mwewe.
 
China yupi? Huyu aliyeshindwa hata kufufua kiwanda cha Urafiki?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walipambana sana juu ya kukifufua mpaka bashite alienda siku moja kusuruhisha mgogoro kati yao na wafanyakazi lakini mpaka leo nasikia kiwanda chali. Fanyeni mchezo tu lakini yajayo yatawafurahisha
 
Kwa mara ya kwanza tangu Uhuru wetu mwaka 1961 - Tanzania inatunishiana misuli na EU na USA. wacha tuone mwisho wa hili game!!
 
Ni swali muhimu sana kwa mustakabali wa nchi yetu.

Amani iwe nanyi wadau!

Usiku wa Jana, Wakili Robert Amsterdam ameitaarifu dunia kupitia Twitter yake kuwa amefikia hatua nzuri kupeleka mashtaka katika mahakama ya ICC Uholanzi dhidi ya Magufuli na Serikali yake.

Leo alfajiri, Magufuli akateua mawaziri wawili -- wa Mambo ya Nje, na wa Fedha.

Muda mchache uliopita kwa mara ya kwanza, wawakilishi wa nchi zinazoisadia zaidi Tanzania kifedha na kimisaada yaani Marekani, Uingereza, Sweden, Norway, Japan, Ujerumani, Finland, Korea ya Kusini na Umoja wa Ulaya hawajaudhuria hotuba ya Rais Magufuli Bungeni.

Naomba mnaojua mtuelezee humu, kuna nini kinaendelea jikoni? Au ndo mambo yashakuwa mambo?

Naomba michango yenu!
Tuna SGR, ndege kibao na nyingine zinakuja, bwawa la Mwalimu Nyerere, Tanzanite, bomba la mafuta Tanga mpaka Uganda na tuko uchumi wa kati hatuhitaji misaada yao, tuko tayari kuwasaidia wao.
 
CCM vilaza sana , wanadhani dunia itasimama bila Tanzania
Tanzania ipo itakuwepo na itaendelea kuwepo. Watu wenye kujikomba kwa wazungu ndio wamejawa na uoga.

Hao kina Lissu na wengine biashara ndio imeshaisha watafute cha kufanya wafanye.
 
Hayo ndiyo maisha yenu kuishi kwa kuvizia mpigiwe kelele ndiyo mfanikiwe
 
Back
Top Bottom