Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wachina bado wapo?? Wale aroma tabata! Walikula pesa za watu sana walivyoingia, lol!nenda hospitali za wachina siku saba tatizo litakwisha!
wachina bado wapo?? Wale aroma tabata! Walikula pesa za watu sana walivyoingia, lol!
nilipona baada ya kutumia dawa za madabida, lol!hata wewe wife ulikuwa na hili tatizo? Hujawahi nambia ujue....
Pole sana, punguza kula mivyakula migumu.
Usile kabisa mabumunda ya Wakinga, Ugali wa Kisukuma, Makande ya wapare, Macharari ya Wachagga, Mbalaga za Wanyakyusa na ule ugali wa ulezi unaopatikana Singida ni hatari kwa afya ya njia ya haja kubwa
Mkuu Ngalewa wewe umeleta matatizo yako sasa unawaapiza watu yawakute badala ya wewe kuomba ushauri nini cha kufanya? Jaribu ukienda choo kaangalie sehemu ya haja yako kubwa kuna kijipele pembeni karaibu na tundu ya haja yako kubwa? kafanye utafiti kwanza huo kisha uje unipe feedback.mbona siwaelew wengine mnarumbana hapa badala ya kushauri ngoja viwapate
Jaribu kwenda medical center..inawezekana ni kichocho
Pole sana, punguza kula mivyakula migumu.
Usile kabisa mabumunda ya Wakinga, Ugali wa Kisukuma, Makande ya wapare, Macharari ya Wachagga, Mbalaga za Wanyakyusa na ule ugali wa ulezi unaopatikana Singida ni hatari kwa afya ya njia ya haja kubwa
Pole kwa kuumwa.kuwa mwangalifu usije tapeliwa.Hilo yatizo ni kawaida linaitwa Haemorrhoids au Piles.Linatokana na mishipa inayoleta damu inayotokea tumboni kupitia mkunduni na kutoka nje kuminywa kwa muda mrefu.hasa kwa watu wanaokaa sn hasa madereva.hutengeneza buje na kuvimba na ukipata choo ngumu hupasuka na mavi yakigusa basi ni infection hapo.damu inatoka maumivu makali na hata homa...hakuna dawa ya kudumu ni kujitunza pale papone na pasipasuke tena.Kuna dawa inaitwa Pyloochaemorrhoids ni painless bleeding. Ukiona kuna maumivu hiyo ni acutely thrombosed ambayo inahitaji operation haraka.! Yenye maumivu ni anal fissure ambazo hupona kwa kupunguza kutengeneza mavi magumu.
habari zunu wakuu mi nina ndugu yangu anatatizo anasema akiwa anajisaidia haja kubwa anasema kinyesi kinatoka na matone ya damu ingawa yeye anasema haoni dalili zozote za kuonesha anaumwa maana mpaka sasa hii wiki ya pili na kila nikimwambia aende hospitali anasema ni mzima , sasa mimi napata mashaka kwa sababu ni rafiki yangu nakuaga naye pamoja , je? kwa hali hiyo ni dalili ya ugonjwa gani?
Nawasilisha kwenu madoctor na wengine wanaojua