Kutokwa na damu wakati wa kujisaidia haja kubwa. Je, ni tatizo gani hili?

Kutokwa na damu wakati wa kujisaidia haja kubwa. Je, ni tatizo gani hili?

Atakuwa anatatizo la choo kinakuwa kigum sana mwambie ale matunda mboga za majani na maji kwa wingi
 
Nilifanya hivyo kwa bahati mbaya mwezi uliopita. Sikuwa na mazoea hayo basi kabla ya kuflash nikachungulia nikaona matone ya damu. Kuwahi kwa Doctor na checkup nikapata nina ulcers. Naendelea na tiba. Tuwe na tabia ya kukagua iamani.
 
Asante sana mkuu, nilitaka nianzishe thread juu ya hili, ninaomba nidandie thread yako

Haja kubwa hutokana na chakula tunachokula, haja ya rangi ya brown au kijani ni ya kawaida, hutokana na wingi wa nyongo kijani au njano inayosaidia katika usagaji wa chakula tumboni. Utumiaji wa dawa pia unaweza kubadilisha rangi ya choo, dawa za kuongeza damu hufanya choo kiwe na rangi nyeusi.

Kwa wale wanaotumia vyoo vya ku flush , unaweza kukuta mzigo unagoma kwenda. Hii ni dalili ya kuwa choo kina mafuta mengi, kutokana na kula mavyakula yenye mafuta mengi. Choo cha kawaida hakina kawaida ya kuganda kama glue.

75% ya haja ni maji, 25% ni waste products, kumbuka kunywa maji kuepuka choo kigumu au kutokupata choo.
 
Asante sana mkuu, nilitaka nianzishe thread juu ya hili, ninaomba nidandie thread yako

Haja kubwa hutokana na chakula tunachokula, haja ya rangi ya brown au kijani ni ya kawaida, na wingi wa nyongo kijani au njano inayosaidia katika usagaji wa chakula tumboni. Utumiaji wa dawa pia unaweza kubadilisha rangi ya choo, dawa za kuongeza damu hufanya choo kiwe na rangi nyeusi.
Umegusia Bile salts/pigments hapo nimependa kweli.

Shukrani!!
 
Hapo Sasa kila mtu na fani yake. Je Choo kinapokuwa kigumu kutoka kwenye tundu nini kimepungukiwa?
 
Choo kuganda wakati wa kuflashi inamaanisha kina mafuta ila haimaanishi umekula vyakula vyenye mafuta mengi inatokana na kutokuwepo kwa bile salt inayo facilitates digestion and absorption of fat ,
Obstruction ktk bile duct hupelekea mtu kuvuja damu kwasabu bile salt haipo Ku process vyakula vya fat au mafuta hivyo kuna fat soluble vitamins kama vitamin A,D,E and K ambazo ili zifyonzwe kutoka kwenye chakula ulichokula kunahitajika bile salt na
hyo vit amin k ni muhimu katka ugandaj wa damu pale unapoumia nk.
Asante.
Asante mkuu
 
Back
Top Bottom