antoniozagarino
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 202
- 195
Acha UJINGA WEWE. BIASHARA UNITED SIO TAIFA STARS. NI TIMU AMBAYO INA UONGOZI WAKE. HAWAJALETA MALALAMIKO RASMI POPOTE, NI UJINGA WA TIMU, SIO WA TAIFA. HASIRA ZAKO WAPELEKEE Tff, acha uzwazwa wa mhemko.Haingii akilini timu iliyoshinda mchezo nyumbani wizara na chama cha soka wameshindwa kuhakikisha timu inakwenda Libya!. Hakika ningekuwa na mamlaka ningemwajibisha waziri mwenye dhamana kwa hili, na namwomba raisi na waziri mkuu waliangalie kwa mapana jambo hili. Wajibisheni hawa wa