zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
Daa Bado TFF kama mlezi hakufatilia mwenendo wa Hawa jamaa akakaa kimya tu Ili Hali timu haielewekiBiashara hata kwenye semina elekezi iliyoendeshwa kwa vilabu vi 4 vilivyoshiriki kimataifa iliyoendeshwa na TFF hawakutuma muwakilishi wakidai hawana nauli.
We unaona hii timu iko serious?
Yaani hapa TFF hakwepi lawama kama mlezi kutofatilia mwenendo wa Hawa jamaa kimataifa