HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Hilo ni kosa la timu. Walijua toka July kuwa watatakiwa kutafuta pesa ili wacheze shirikishoTFF wako bize kuona namna gani simba mwaka huu atakuwa na viporo 15+ Ili kumrahisishia kuchukua ligi
TFF ya kalia ihangaike kusaidia timu kupata maendeleo uliona wap?
Kama timu za ndani tu huwa Zina feri kusafiri ama zinafika alfajiri na jioni zinacheza mechi TFF hawajawahi hata jipapasa kuona zinawahi fika eneo la tukio hata kwa kifungu chake cha dharura na atawakata kwenye mapato ya mlangoni ye amekaa tu mbwa hawa
Sent using Jamii Forums mobile app