Kutolewa kwenye mashindano Biashara united ni uzembe wa TFF na Waziri mwenye dhamana

Kutolewa kwenye mashindano Biashara united ni uzembe wa TFF na Waziri mwenye dhamana

TFF wako bize kuona namna gani simba mwaka huu atakuwa na viporo 15+ Ili kumrahisishia kuchukua ligi

TFF ya kalia ihangaike kusaidia timu kupata maendeleo uliona wap?

Kama timu za ndani tu huwa Zina feri kusafiri ama zinafika alfajiri na jioni zinacheza mechi TFF hawajawahi hata jipapasa kuona zinawahi fika eneo la tukio hata kwa kifungu chake cha dharura na atawakata kwenye mapato ya mlangoni ye amekaa tu mbwa hawa
Hilo ni kosa la timu. Walijua toka July kuwa watatakiwa kutafuta pesa ili wacheze shirikisho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana. Kuna sababu mbili za Biashara Utd kutolewa ni:-
  • Laana ya kula njama na Yanga kutaka kuifunga Simba kwenye mechi ya ligi.
  • Nuksi ya Happi kuitunuku vijihela vyake
Qumer wewe na wenzako .... Ndio mnataka tuwe wazalendo na mawazo yenu ya usimba na uyanga ... Qumer de LA mer'mer yo....
 
Hekaya za uchumi wa kati ndio zinazidi kujidhihirisha .

Hayo mambo nilizoea kuyasikia zamani ila sasa bado yapo kumbe licha ya tulichoambiwa nchi imepanda kiuchumi
 
Hilo ni kosa la timu. Walijua toka July kuwa watatakiwa kutafuta pesa ili wacheze shirikisho

Sent using Jamii Forums mobile app
Sahihi ila kosa linaenda na kwa tff maana walitakiwa fatilia maendeleo ya hizi timu pia maana ni changa lazima wajue wamejiandaaje

Kuwaachia kila kitu bila uangalizi wa karibu nalo ni tatizo ingekuwa yanga, azam, simba sawa ila hivi vi timu vichanga TFF hakwepi lawama
 
Haingii akilini timu iliyoshinda mchezo nyumbani wizara na chama cha soka wameshindwa kuhakikisha timu inakwenda Libya!. Hakika ningekuwa na mamlaka ningemwajibisha waziri mwenye dhamana kwa hili na namwomba Rais na waziri mkuu waliangalie kwa mapana jambo hili. Wajibisheni hawa.
TUMEDHALILISHA TAIFA NA UTANZANIA WETU,ARE WE REALLY POOR AT THAT POINT
->>Kuna watu hawatakiwi kuwepo ofisini.
 
Unajua moja ya objective ya TFF ni ku improve soka

Hapa unaelewa nini? Ama unataka hadi iandikwe TFF atawasaidia timu flani kusafiri kama wakikwamba ndo uelewe Ana jukumu la kufanya

Mnaenda shule kukariri madesa mnakuja sumbua hapa
Acheni upumbavu wenu!

Au ndio mmeanzA kushabikia mpira miaka ya hivi karibuni ?


Unakumbuka mtibwa ilishindwa kwenda South Africa Kama hao hao wapumbavu Biashara United ? Au ulikuwa hujajua soka ?


Baishara tangu mechi Yao ya kwanza Djibouti ilikuwa bado kidogo washindwe kwenda au umesahau!

TFF inaingia vipi kwa timu ambayo inajua ratiba ya mechi zake zaidi ya Miezi miwili nyuma ? Ina maana walishtukizwa kuwa Jana ingebidi wawe Libya? Acheni kulilia Kama watoto wadogo. Viongozi wa biashara United wamekosea sana na inabidi wasiwe madarakani had muda huu.


Kama walikosa Vibali vya ndege ya ATCL walishindwa vipi kupanda ndege za Abiria ambazo zipo kibao Dar ? Walishindwa vipi kupanda ndege kibao za abiria ambazo zipo dar zinaenda Algeria ili wapande Basi hadi Libya ? Unataka hizo logistics zote wafanye tff ? Nini maana ya management za timu ?


Logistics zote kwa ngazi za vilabu zinafanywa na vilabu husika sio tff ! .... Kama ingekuwa ni timu ya taifa imefanya hivi lawama tungezipeleka TFF maana ndio wahusika ila kwa ngazi ya club lawama zinaenda kwa club husika. Na ndio maana hata adhabu ya CAF ya dola 20,000 imeenda kwa Club na sio tff .


Muwe mnaelewa wajinga Nyie.
 
Sahihi ila kosa linaenda na kwa tff maana walitakiwa fatilia maendeleo ya hizi timu pia maana ni changa lazima wajue wamejiandaaje

Kuwaachia kila kitu bila uangalizi wa karibu nalo ni tatizo ingekuwa yanga, azam, simba sawa ila hivi vi timu vichanga TFF hakwepi lawama
We Ni mjinga Sana kwasababu inaonekana umeanza kujua mpira hivi karibuni!


Mwaka Jana walishiriki Namungo FC mbona hatukusikia huu ujinga kwa Namungo licha na yenyewe ni timu changa Kama hiyo biashara United ?


Halafu usichokijua ni kwamba kabla ya mashindano haya kuanza timu zote shiriki hupewa special training ya namna ya kufanya logistics zote katika mashindano, inakuaje Hawa biashara United tangu mechi yao ya kwanza Ilikuwa bado kidogo washindwe kwenda Djibouti kucheza mechi yao ya kwanza !!! Msijifanye mmesahau
 
Acheni upumbavu wenu!

Au ndio mmeanzA kushabikia mpira miaka ya hivi karibuni ?


Unakumbuka mtibwa ilishindwa kwenda South Africa Kama hao hao wapumbavu Biashara United ? Au ulikuwa hujajua soka ?


Baishara tangu mechi Yao ya kwanza Djibouti ilikuwa bado kidogo washindwe kwenda au umesahau!

TFF inaingia vipi kwa timu ambayo inajua ratiba ya mechi zake zaidi ya Miezi miwili nyuma ? Ina maana walishtukizwa kuwa Jana ingebidi wawe Libya? Acheni kulilia Kama watoto wadogo. Viongozi wa biashara United wamekosea sana na inabidi wasiwe madarakani had muda huu.


Kama walikosa Vibali vya ndege ya ATCL walishindwa vipi kupanda ndege za Abiria ambazo zipo kibao Dar ? Walishindwa vipi kupanda ndege kibao za abiria ambazo zipo dar zinaenda Algeria ili wapande Basi hadi Libya ? Unataka hizo logistics zote wafanye tff ? Nini maana ya management za timu ?


Logistics zote kwa ngazi za vilabu zinafanywa na vilabu husika sio tff ! .... Kama ingekuwa ni timu ya taifa imefanya hivi lawama tungezipeleka TFF maana ndio wahusika ila kwa ngazi ya club lawama zinaenda kwa club husika. Na ndio maana hata adhabu ya CAF ya dola 20,000 imeenda kwa Club na sio tff .


Muwe mnaelewa wajinga Nyie.
Mkuu yote yanafahamika TFF kama mlezi wa vilabu lazima afatilie hizi timu kwa ukaribu ( hasa hizi timu changa )

Mwenyewe unakili Hawa hata safari ya kwanza walionesha kusuasua ila bado TFF kama mlezi hakuona hatari hii bado hakutaka wafatilia awamu hii wamejipangaje

TFF kama mlezi kazi yake ni nini?
 
Mkuu yote yanafahamika TFF kama mlezi wa vilabu lazima afatilie hizi timu kwa ukaribu ( hasa hizi timu changa )

Mwenyewe unakili Hawa hata safari ya kwanza walionesha kusuasua ila bado TFF kama mlezi hakuona hatari hii bado hakutaka wafatilia awamu hii wamejipangaje

TFF kama mlezi kazi yake ni nini?
Biashara hata kwenye semina elekezi iliyoendeshwa kwa vilabu vi 4 vilivyoshiriki kimataifa iliyoendeshwa na TFF hawakutuma muwakilishi wakidai hawana nauli.

We unaona hii timu iko serious?
 
Biashara hata kwenye semina elekezi iliyoendeshwa kwa vilabu vi 4 vilivyoshiriki kimataifa iliyoendeshwa na TFF hawakutuma muwakilishi wakidai hawana nauli.

We unaona hii timu iko serious?
Watanzania wamezoea lawama zisizo na msingi
 
Back
Top Bottom