kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
Sawa tumekusikiaKwa simba hii kibogoyo! Unaenda kuwapokea wageni ili iweje? Maana uwezekano wa kufungwa nyumbani na ugenini ni 99%. Ndiyo maana hao mashabiki wameona wapotezee tu.
Yaani ushinde kwa penati za kupewa na marefa kwenye mechi dhidi ya timu ndogo kama Mbeya Kwanza, halafu utegemee kushinda dhidi ya timu kubwa na kongwe kama Asec Mimosa!
Simba mjipange kwa msimu ujao bhana.
Rudia tena[emoji23][emoji23][emoji23]Simba ilisha jifia kila mtu anaogopa kuhusishwa na kifo Cha Simba ndio maana werevu wamekaa pembeni ili Simba wasipate sababu.
Asec walitoa onyo mapema kuwa hawana mashabiki tz na utopolo wakawa wanajipendekeza hotelini asec wakatweet tena kuwa hawana mwenyeji wao na hawahitaji, tembelea tweets za Asec kwenye page yao wako clearKwa ufupi sana
Toka enzi za Plateu na way back tumeshuhudia mashabiki na uongozi wa Yanga Utopolo ukishiriki kupokea wageni wapinzani wa Simba Sc.
Ajabu safari hii hatuwaoni Airport vepee. Mnataka kutushawishi kwamba mmestaarabika kiasi?
We bata njoo uchukue uharo wako huku.Kwa simba hii kibogoyo! Unaenda kuwapokea wageni ili iweje? Maana uwezekano wa kufungwa nyumbani na ugenini ni 99%. Ndiyo maana hao mashabiki wameona wapotezee tu.
Yaani ushinde kwa penati za kupewa na marefa kwenye mechi dhidi ya timu ndogo kama Mbeya Kwanza, halafu utegemee kushinda dhidi ya timu kubwa na kongwe kama Asec Mimosa!
Simba mjipange kwa msimu ujao bhana.
mzee wa kazi chafu keshachafuliwa sasa ananuka nnyeHakuna Asiyejua Kama Kesho Mnaukalia [emoji533][emoji23]
kabla siku haijaisha hivi Sasa ni saa 11:55 Pm u Hali Gani Mzee UtopolojistKwa simba hii kibogoyo! Unaenda kuwapokea wageni ili iweje? Maana uwezekano wa kufungwa nyumbani na ugenini ni 99%. Ndiyo maana hao mashabiki wameona wapotezee tu.
Yaani ushinde kwa penati za kupewa na marefa kwenye mechi dhidi ya timu ndogo kama Mbeya Kwanza, halafu utegemee kushinda dhidi ya timu kubwa na kongwe kama Asec Mimosa!
Simba mjipange kwa msimu ujao bhana.
Baadaye nini kilitokea?Kwa simba hii kibogoyo! Unaenda kuwapokea wageni ili iweje? Maana uwezekano wa kufungwa nyumbani na ugenini ni 99%. Ndiyo maana hao mashabiki wameona wapotezee tu.
Yaani ushinde kwa penati za kupewa na marefa kwenye mechi dhidi ya timu ndogo kama Mbeya Kwanza, halafu utegemee kushinda dhidi ya timu kubwa na kongwe kama Asec Mimosa!
Simba mjipange kwa msimu ujao bhana.
ASEC Mimosa akaliwa na kachumbari yenye pili pili!Baadaye nini kilitokea?
U hali gani?!π πKwa simba hii kibogoyo! Unaenda kuwapokea wageni ili iweje? Maana uwezekano wa kufungwa nyumbani na ugenini ni 99%. Ndiyo maana hao mashabiki wameona wapotezee tu.
Yaani ushinde kwa penati za kupewa na marefa kwenye mechi dhidi ya timu ndogo kama Mbeya Kwanza, halafu utegemee kushinda dhidi ya timu kubwa na kongwe kama Asec Mimosa!
Simba mjipange kwa msimu ujao bhana.
Unateseka ukiwa wapiKwa simba hii kibogoyo! Unaenda kuwapokea wageni ili iweje? Maana uwezekano wa kufungwa nyumbani na ugenini ni 99%. Ndiyo maana hao mashabiki wameona wapotezee tu.
Yaani ushinde kwa penati za kupewa na marefa kwenye mechi dhidi ya timu ndogo kama Mbeya Kwanza, halafu utegemee kushinda dhidi ya timu kubwa na kongwe kama Asec Mimosa!
Simba mjipange kwa msimu ujao bhana.
Waliogopa aibu siyo kama wamestaarabikaKwa ufupi sana
Toka enzi za Plateu na way back tumeshuhudia mashabiki na uongozi wa Yanga Utopolo ukishiriki kupokea wageni wapinzani wa Simba Sc.
Ajabu safari hii hatuwaoni Airport vepee. Mnataka kutushawishi kwamba mmestaarabika kiasi?