Kutopokelewa ASEC Mimosa, Yanga wamestaarabika kidogo?

Kutopokelewa ASEC Mimosa, Yanga wamestaarabika kidogo?

Kwa simba hii kibogoyo! Unaenda kuwapokea wageni ili iweje? Maana uwezekano wa kufungwa nyumbani na ugenini ni 99%. Ndiyo maana hao mashabiki wameona wapotezee tu.

Yaani ushinde kwa penati za kupewa na marefa kwenye mechi dhidi ya timu ndogo kama Mbeya Kwanza, halafu utegemee kushinda dhidi ya timu kubwa na kongwe kama Asec Mimosa!

Simba mjipange kwa msimu ujao bhana.
Sawa tumekusikia
Lakini unauongeleaje ushindi wa assec dhidi ya Simba leo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa ufupi sana

Toka enzi za Plateu na way back tumeshuhudia mashabiki na uongozi wa Yanga Utopolo ukishiriki kupokea wageni wapinzani wa Simba Sc.

Ajabu safari hii hatuwaoni Airport vepee. Mnataka kutushawishi kwamba mmestaarabika kiasi?
Asec walitoa onyo mapema kuwa hawana mashabiki tz na utopolo wakawa wanajipendekeza hotelini asec wakatweet tena kuwa hawana mwenyeji wao na hawahitaji, tembelea tweets za Asec kwenye page yao wako clear
 
Kwa simba hii kibogoyo! Unaenda kuwapokea wageni ili iweje? Maana uwezekano wa kufungwa nyumbani na ugenini ni 99%. Ndiyo maana hao mashabiki wameona wapotezee tu.

Yaani ushinde kwa penati za kupewa na marefa kwenye mechi dhidi ya timu ndogo kama Mbeya Kwanza, halafu utegemee kushinda dhidi ya timu kubwa na kongwe kama Asec Mimosa!

Simba mjipange kwa msimu ujao bhana.
We bata njoo uchukue uharo wako huku.
 
Kwa simba hii kibogoyo! Unaenda kuwapokea wageni ili iweje? Maana uwezekano wa kufungwa nyumbani na ugenini ni 99%. Ndiyo maana hao mashabiki wameona wapotezee tu.

Yaani ushinde kwa penati za kupewa na marefa kwenye mechi dhidi ya timu ndogo kama Mbeya Kwanza, halafu utegemee kushinda dhidi ya timu kubwa na kongwe kama Asec Mimosa!

Simba mjipange kwa msimu ujao bhana.
kabla siku haijaisha hivi Sasa ni saa 11:55 Pm u Hali Gani Mzee Utopolojist
Nikutakie usiku mwema maana nahisi umepata ganzi baada ya ushindi wa kishindo wa
Mnyamaaaaaaa!
😁😁😁😁😁🔥
 
Kwa simba hii kibogoyo! Unaenda kuwapokea wageni ili iweje? Maana uwezekano wa kufungwa nyumbani na ugenini ni 99%. Ndiyo maana hao mashabiki wameona wapotezee tu.

Yaani ushinde kwa penati za kupewa na marefa kwenye mechi dhidi ya timu ndogo kama Mbeya Kwanza, halafu utegemee kushinda dhidi ya timu kubwa na kongwe kama Asec Mimosa!

Simba mjipange kwa msimu ujao bhana.
Baadaye nini kilitokea?
 
Kwa simba hii kibogoyo! Unaenda kuwapokea wageni ili iweje? Maana uwezekano wa kufungwa nyumbani na ugenini ni 99%. Ndiyo maana hao mashabiki wameona wapotezee tu.

Yaani ushinde kwa penati za kupewa na marefa kwenye mechi dhidi ya timu ndogo kama Mbeya Kwanza, halafu utegemee kushinda dhidi ya timu kubwa na kongwe kama Asec Mimosa!

Simba mjipange kwa msimu ujao bhana.
U hali gani?!😅😅
 
Kwa simba hii kibogoyo! Unaenda kuwapokea wageni ili iweje? Maana uwezekano wa kufungwa nyumbani na ugenini ni 99%. Ndiyo maana hao mashabiki wameona wapotezee tu.

Yaani ushinde kwa penati za kupewa na marefa kwenye mechi dhidi ya timu ndogo kama Mbeya Kwanza, halafu utegemee kushinda dhidi ya timu kubwa na kongwe kama Asec Mimosa!

Simba mjipange kwa msimu ujao bhana.
Unateseka ukiwa wapi
 
Kwa ufupi sana

Toka enzi za Plateu na way back tumeshuhudia mashabiki na uongozi wa Yanga Utopolo ukishiriki kupokea wageni wapinzani wa Simba Sc.

Ajabu safari hii hatuwaoni Airport vepee. Mnataka kutushawishi kwamba mmestaarabika kiasi?
Waliogopa aibu siyo kama wamestaarabika
 
Back
Top Bottom