Kutotambua Matokeo ni Kutomtambua Rais, Serikali na Bunge. Rais Akiishaapishwa ni Rais! Tutaendelea kuruhusu hali hii Mpaka Lini?

Kutotambua Matokeo ni Kutomtambua Rais, Serikali na Bunge. Rais Akiishaapishwa ni Rais! Tutaendelea kuruhusu hali hii Mpaka Lini?

Hivi umesoma na kuelewa au umesoma na kujibu tu

Umeelewa hiyo kauli niliyoandika ya mtu/watu wasiomtambua Raisi ila wanakuwa wanapeleka maombi kwa huyo huyo wasiemtambua huku wakimuita Raisi pia

Mfano wewe haumtambui mkeo ambae unaona ndoa yenu haikufata sheria za dini hadi nchi

Lakini kuna muda unamwambia "Mke wangu naomba tukae chini tuyaongee"

Kweli zitakuwa zinakutosha,Jifunze kusoma hoja sio kusoma na kujibu ili uonekane na wewe upo JF kupigania Chama.

Mbona unalzimisha uongo. Umeambiwa Rais aliyechaguliwa awamu ya tano hayupo amefariki, Sasa ni awamu ya sita na Rais aliyepo hajachaguliwa kwa kura, swali langu Ni je Rais wa awamu ya sita ambaye amechaguliwa sio kwa wizi akitoa nafasi ya mazungumzo utakataa?.
 
Please, unafahamu state recognition?. Kuna nchi haziitambui Palestine. Je Marais wa hizo nchi Ni wapaleetine. Alichofanya Nyerere ni state recognition, kwamba hamtambui Rais wa nchi na dola nzima ya Uganda.
Usipende kudandia hoja usizozisoma ukazielewa Pascal amesema huwezi kuwa mwananchi ukakataa utawala wa nchi hiyo, ila kama si mwananchi wa nchi hiyo. Hivyo Nyerere hakuwa mwananchi wa Uganda kutoitambua serikali ya uganda wakati wa Amin.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zenye maswali fikirishi
Swali la Leo ni Je wajua kutotambua matokeo ya uchaguzi wa rais, ni Kutomtambua rais, serikali na Bunge?. Rais akiisha apishwa ni rais!, umtambue, usimtambue, it doesn't change a thing, rais bado ni rais. Kitendo cha baadhi ya watu/taasisi kusema hawayatambui matokeo ya uchaguzi mkuu, hawamtambui Rais wa JMT, hawalitambui Bunge la JMT, je huu sio ujinga?, watu au taasisi wanaofanya hivi sio ni wajinga?. Jee tutaendelea kuruhusu ujinga kama huu, kuendelea nchini mwetu mpaka lini?!.

Moja ya maeneo ambayo yamekuwa neglected na serikali yetu, sekta binafsi na Civil Society ni eneo la utoaji elimu ya uraia Kwa umna. Hii ni kazi iliyopaswa kufanywa na mihimili yote na taasisi zote, mfano Mhimili wa Serikali ulipaswa kuwa na vipindi vya elimu kwa umma kuhusu serikali na utendaji wa serikali. Bunge nalo kuwa na vipindi vyake, mahakama nayo na vipindi vyake, na taasisi nyingine zote. Matokeo ya kukosekana vipindi vya elimu ya kwa umma kuhusu somo la uraia kunapelekea hata baadhi ya viongozi wetu wengine hadi wakuu, hawajui baadhi ya mambo kuhusu uendeshaji wa nchi, wakiwemo viongozi wa vyama vya siasa ndio maana baadhi yao wanafanya maamuzi ya kiajabu ajabu mengine yakiwa ni maamuzi ya kijinga!.

Tangu Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1995 chama kikuu cha upinzani huku Bara NCCR Mageuzi, kiligoma kuyatambua matokeo ya uchaguzi na kwa Zanzibar CUF walisusia. Hali hii iliendelea hivi kwa chaguzi zilizofuata.

Uchaguzi Mkuu wa 2010 Chadema walijidai kususa kwa kauli ila matendo yakawa ni tofauti na tuliwaeleza humu.

Matokeo ya uchaguzi wa 2020 kuna chama kilisusa kwa kauli, kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita na kuuita uchafuzi, hakimtambui mshindi na hakilitambui Bunge lilitokana na uchaguzi huo.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, ikatoa nafasi 19 za viti maalum kwa chama hicho, Chama hicho kikatoa kauli kuwa kwa vile hakiyatambui matokeo ya uchaguzi mkuu huo hivyo hakizihitaji hizo nafasi na hakikateua wanachama wake kuzijaza, hawana haja nazo.

Hili ni bandiko elimishi kuelimisha umma kuwa, kwa mujibu wa katiba ya JMT, baada ya uchaguzi Mkuu kwa upande wa matokeo ya urais, kama una malalamiko yoyote kuhusu uchaguzi wa rais, yawasilishe Tume ya Uchaguzi NEC kabla ya matokeo ya urais kutangazwa. Matokeo ya urais yakiishatangazwa na Tume ya Uchaguzi kuwa mshindi ni fulani, Tangazo hilo ndilo linahitimisha mchakato wa uchaguzi wa rais Tanzania, matokeo hayo ni final and conclusive, vyama hata havijaridhika na matokeo ya uchaguzi mkuu huo, wanaweza kuendelea kusema kulalamika, kususa na kusema hawayatambui matokeo, lakini baada ya Rais Mteule kuapishwa na kuwa rais rasmi wa JMT, huyu sasa ni Rais, hata kama hukubaliani na matokeo, ni lazima umtambue rais wa JMT, sio lazima umpende au umkubali, that is an option lakini issue ya kumtambua rais is not an option, it's a statutory issue. Swali kwa wanaojidai hawamtambui rais, Je wanajua kusema humtambui Rais, ni kusema huitambui serikali, huitambui mahakama na hailitambui Bunge?. Hivi vyombo vitatu ndivyo vinaunda dola, hivyo kutomtambua Rais ni kutoitambua dola, hakuwezi kufanywa na mtu yoyote aliyeko ndani ya JMT kwasababu, ule uwepo wako tuu, unawezeshwa na uwepo wa serikali. Lakini Kwa mtu aliyepo nje ya JMT anaweza asiitambue serikali na ikawezekana. Hivyo mtu yoyote au taasisi yoyote iliyomo ndani ya JMT, ikisema hailitambui Bunge la JMT, maana yake ni haitambui serikali, hamtambui Rais wa JMT, haiitambui mahakama ya JMT, ni haitambui JMT, mtu kama huyu au taasisi kama hii si ni anafanya ujinga tuu?,. Watu hawa ni ya kuhurumiwa tuu na kusaidiwa, kwenye eneo la kusaidiwa, ndilo bandiko hili linachofanya, hawa watu wanahitaji kusaidiwa, ujinga huu uwatoke.

Kukajitokeza wanachama majasiri na mashujaa ambao hawakukubalia na ujinga huo wa chama chao, kutotambua matokeo, wakafanya jitihada binafsi, nje ya utaratibu wa kawaida wa chama chao, wakapata barua za uteuzi, wakateuliwa na kuwa wabunge wa Bunge la JMT.

Wenye chama chao, wakaitisha vikao vya nidhamu kuwajadili, ambapo kwa mujibu wa katiba yao vikao vilivyo itishwa ni vikao batili, maamuzi yakafikiwa kwa mtindo wa a Kangaroo Court, ambayo nayo ni maamuzi batili, wakawatimua mashujaa hawa.

Baada ya kuwatimua, vile chama chao kiliisha jinasibu kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi, hailitambui Bunge na haitambui serikali, hamtambui Rais wa JMT, ikategemewa baada ya kuwatimua ndio wamemalizana nao!.

Kumbe wameandika barua Bungeni kutaka mashujaa hao wafutwe ubunge. Nafasi mlipewa, mkazikataa, wanaozitaka wakazichangamkia, sasa kwanini mnataka waondolewe huku hizo nafasi hamna haja nazo?!.

Bunge si hamlitambui, wanachama wenu waliojiunga na Bunge ambalo hamlitambui, sii mmeisha wafuta uanachama, kuna haja gani kuliarifu Bunge?. Si muachane nao tuu kwasababu sasa hamuwatambui na wako kwenye Bunge ambalo hamlitambui, hizo barua za nini?!.

Kwa vile uanachama wa chama cha siasa unatawaliwa na Katiba sheria taratibu na kanuni, wamefungua shauri mahakamani kupinga Ukangaroo wa vikao batili vya Kikangroo, jee mahakama mnaitambua?.

Chama kinatoa taarifa ya kutolitambua Bunge, kutomtambua Rais wa JMT, huku Mwenyekiti na M/Mwenyekiti are begging to meet Rais wa JMT, and they met, one of them, more than twice!, Leo ni mara ya 3!, huku kutomtambua Rais wa JMT ni kutomtambua gani?!.

Huku kutolitambua Bunge la JMT huku unaliandikia mabarua, kwa barua moja hiyo hiyo kupelekwa Bungeni siku hiyo hiyo na watu watatu tofauti!, huku ni kutotambua gani?!.

Kuna msemo wa kizungu usemao "Spare the rod and spoil the child", members wa Chadema wanakipenda sana chama chao, wanaogopa kukirudi kwa kukiambia ukweli kuhusu ujinga wake, wakichelelea kulia,"mchelea mwana kulia, hulia yeye", hivyo akina sisi, tunaokitandika bakora Chadema, bile kuchelea Chadema kulia, usikute ndio tunakisaidia Chadema kukaa kwenye mstari, kuliko hata wale wanaokidekeza na kukikimbia nyimbo za shangwe na mapambio.

Naomb kumalizia kwa hili swali, je huu sio ujinga?, na watu au taasisi wanaofanya hivi sio ni wajinga?. Jee tutaendelea kuruhusu ujinga kama huu, kuendelea nchini mwetu mpaka lini?!.

Wasalaam

Paskali
Mzee unaturudisha nyuma sana.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zenye maswali fikirishi
Swali la Leo ni Je wajua kutotambua matokeo ya uchaguzi wa rais, ni Kutomtambua rais, serikali na Bunge?. Rais akiisha apishwa ni rais!, umtambue, usimtambue, it doesn't change a thing, rais bado ni rais. Kitendo cha baadhi ya watu/taasisi kusema hawayatambui matokeo ya uchaguzi mkuu, hawamtambui Rais wa JMT, hawalitambui Bunge la JMT, je huu sio ujinga?, watu au taasisi wanaofanya hivi sio ni wajinga?. Jee tutaendelea kuruhusu ujinga kama huu, kuendelea nchini mwetu mpaka lini?!.

Moja ya maeneo ambayo yamekuwa neglected na serikali yetu, sekta binafsi na Civil Society ni eneo la utoaji elimu ya uraia Kwa umna. Hii ni kazi iliyopaswa kufanywa na mihimili yote na taasisi zote, mfano Mhimili wa Serikali ulipaswa kuwa na vipindi vya elimu kwa umma kuhusu serikali na utendaji wa serikali. Bunge nalo kuwa na vipindi vyake, mahakama nayo na vipindi vyake, na taasisi nyingine zote. Matokeo ya kukosekana vipindi vya elimu ya kwa umma kuhusu somo la uraia kunapelekea hata baadhi ya viongozi wetu wengine hadi wakuu, hawajui baadhi ya mambo kuhusu uendeshaji wa nchi, wakiwemo viongozi wa vyama vya siasa ndio maana baadhi yao wanafanya maamuzi ya kiajabu ajabu mengine yakiwa ni maamuzi ya kijinga!.

Tangu Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1995 chama kikuu cha upinzani huku Bara NCCR Mageuzi, kiligoma kuyatambua matokeo ya uchaguzi na kwa Zanzibar CUF walisusia. Hali hii iliendelea hivi kwa chaguzi zilizofuata.

Uchaguzi Mkuu wa 2010 Chadema walijidai kususa kwa kauli ila matendo yakawa ni tofauti na tuliwaeleza humu.

Matokeo ya uchaguzi wa 2020 kuna chama kilisusa kwa kauli, kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita na kuuita uchafuzi, hakimtambui mshindi na hakilitambui Bunge lilitokana na uchaguzi huo.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, ikatoa nafasi 19 za viti maalum kwa chama hicho, Chama hicho kikatoa kauli kuwa kwa vile hakiyatambui matokeo ya uchaguzi mkuu huo hivyo hakizihitaji hizo nafasi na hakikateua wanachama wake kuzijaza, hawana haja nazo.

Hili ni bandiko elimishi kuelimisha umma kuwa, kwa mujibu wa katiba ya JMT, baada ya uchaguzi Mkuu kwa upande wa matokeo ya urais, kama una malalamiko yoyote kuhusu uchaguzi wa rais, yawasilishe Tume ya Uchaguzi NEC kabla ya matokeo ya urais kutangazwa. Matokeo ya urais yakiishatangazwa na Tume ya Uchaguzi kuwa mshindi ni fulani, Tangazo hilo ndilo linahitimisha mchakato wa uchaguzi wa rais Tanzania, matokeo hayo ni final and conclusive, vyama hata havijaridhika na matokeo ya uchaguzi mkuu huo, wanaweza kuendelea kusema kulalamika, kususa na kusema hawayatambui matokeo, lakini baada ya Rais Mteule kuapishwa na kuwa rais rasmi wa JMT, huyu sasa ni Rais, hata kama hukubaliani na matokeo, ni lazima umtambue rais wa JMT, sio lazima umpende au umkubali, that is an option lakini issue ya kumtambua rais is not an option, it's a statutory issue. Swali kwa wanaojidai hawamtambui rais, Je wanajua kusema humtambui Rais, ni kusema huitambui serikali, huitambui mahakama na hailitambui Bunge?. Hivi vyombo vitatu ndivyo vinaunda dola, hivyo kutomtambua Rais ni kutoitambua dola, hakuwezi kufanywa na mtu yoyote aliyeko ndani ya JMT kwasababu, ule uwepo wako tuu, unawezeshwa na uwepo wa serikali. Lakini Kwa mtu aliyepo nje ya JMT anaweza asiitambue serikali na ikawezekana. Hivyo mtu yoyote au taasisi yoyote iliyomo ndani ya JMT, ikisema hailitambui Bunge la JMT, maana yake ni haitambui serikali, hamtambui Rais wa JMT, haiitambui mahakama ya JMT, ni haitambui JMT, mtu kama huyu au taasisi kama hii si ni anafanya ujinga tuu?,. Watu hawa ni ya kuhurumiwa tuu na kusaidiwa, kwenye eneo la kusaidiwa, ndilo bandiko hili linachofanya, hawa watu wanahitaji kusaidiwa, ujinga huu uwatoke.

Kukajitokeza wanachama majasiri na mashujaa ambao hawakukubalia na ujinga huo wa chama chao, kutotambua matokeo, wakafanya jitihada binafsi, nje ya utaratibu wa kawaida wa chama chao, wakapata barua za uteuzi, wakateuliwa na kuwa wabunge wa Bunge la JMT.

Wenye chama chao, wakaitisha vikao vya nidhamu kuwajadili, ambapo kwa mujibu wa katiba yao vikao vilivyo itishwa ni vikao batili, maamuzi yakafikiwa kwa mtindo wa a Kangaroo Court, ambayo nayo ni maamuzi batili, wakawatimua mashujaa hawa.

Baada ya kuwatimua, vile chama chao kiliisha jinasibu kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi, hailitambui Bunge na haitambui serikali, hamtambui Rais wa JMT, ikategemewa baada ya kuwatimua ndio wamemalizana nao!.

Kumbe wameandika barua Bungeni kutaka mashujaa hao wafutwe ubunge. Nafasi mlipewa, mkazikataa, wanaozitaka wakazichangamkia, sasa kwanini mnataka waondolewe huku hizo nafasi hamna haja nazo?!.

Bunge si hamlitambui, wanachama wenu waliojiunga na Bunge ambalo hamlitambui, sii mmeisha wafuta uanachama, kuna haja gani kuliarifu Bunge?. Si muachane nao tuu kwasababu sasa hamuwatambui na wako kwenye Bunge ambalo hamlitambui, hizo barua za nini?!.

Kwa vile uanachama wa chama cha siasa unatawaliwa na Katiba sheria taratibu na kanuni, wamefungua shauri mahakamani kupinga Ukangaroo wa vikao batili vya Kikangroo, jee mahakama mnaitambua?.

Chama kinatoa taarifa ya kutolitambua Bunge, kutomtambua Rais wa JMT, huku Mwenyekiti na M/Mwenyekiti are begging to meet Rais wa JMT, and they met, one of them, more than twice!, Leo ni mara ya 3!, huku kutomtambua Rais wa JMT ni kutomtambua gani?!.

Huku kutolitambua Bunge la JMT huku unaliandikia mabarua, kwa barua moja hiyo hiyo kupelekwa Bungeni siku hiyo hiyo na watu watatu tofauti!, huku ni kutotambua gani?!.

Kuna msemo wa kizungu usemao "Spare the rod and spoil the child", members wa Chadema wanakipenda sana chama chao, wanaogopa kukirudi kwa kukiambia ukweli kuhusu ujinga wake, wakichelelea kulia,"mchelea mwana kulia, hulia yeye", hivyo akina sisi, tunaokitandika bakora Chadema, bile kuchelea Chadema kulia, usikute ndio tunakisaidia Chadema kukaa kwenye mstari, kuliko hata wale wanaokidekeza na kukikimbia nyimbo za shangwe na mapambio.

Naomb kumalizia kwa hili swali, je huu sio ujinga?, na watu au taasisi wanaofanya hivi sio ni wajinga?. Jee tutaendelea kuruhusu ujinga kama huu, kuendelea nchini mwetu mpaka lini?!.

Wasalaam

Paskali
Wewe kama mwandishi tunaomba pia uandike makala ndefu na ufanye utafiki kuwa.

Yuko wapi Ben saanane?

Yuko wapi azory?
Kigogo aliropoka kuwa Meko alimuua ben pale magogoni kwa mikono yake mwenyewe.

Na kwa nini aliripoti polisi kuwa anatishiwa kuuwawa lakini polisi wakapiga kimya same as Tundu lisu.

Fanya utafiti wa kiuandishi kwa sababu ndio taaluma yako.

Tunaomba pia utuambia kuwa ile miili iliyokuwa inaokotwa mtoni kipindi cha meko ni mauaji yalifanywa na nani?

Tuambie kuwa kwa nini mahakama zinakuogopa Makonda?


Haya yanatosha kwa leo.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zenye maswali fikirishi
Swali la Leo ni Je wajua kutotambua matokeo ya uchaguzi wa rais, ni Kutomtambua rais, serikali na Bunge?. Rais akiisha apishwa ni rais!, umtambue, usimtambue, it doesn't change a thing, rais bado ni rais. Kitendo cha baadhi ya watu/taasisi kusema hawayatambui matokeo ya uchaguzi mkuu, hawamtambui Rais wa JMT, hawalitambui Bunge la JMT, je huu sio ujinga?, watu au taasisi wanaofanya hivi sio ni wajinga?. Jee tutaendelea kuruhusu ujinga kama huu, kuendelea nchini mwetu mpaka lini?!.

Moja ya maeneo ambayo yamekuwa neglected na serikali yetu, sekta binafsi na Civil Society ni eneo la utoaji elimu ya uraia Kwa umna. Hii ni kazi iliyopaswa kufanywa na mihimili yote na taasisi zote, mfano Mhimili wa Serikali ulipaswa kuwa na vipindi vya elimu kwa umma kuhusu serikali na utendaji wa serikali. Bunge nalo kuwa na vipindi vyake, mahakama nayo na vipindi vyake, na taasisi nyingine zote. Matokeo ya kukosekana vipindi vya elimu ya kwa umma kuhusu somo la uraia kunapelekea hata baadhi ya viongozi wetu wengine hadi wakuu, hawajui baadhi ya mambo kuhusu uendeshaji wa nchi, wakiwemo viongozi wa vyama vya siasa ndio maana baadhi yao wanafanya maamuzi ya kiajabu ajabu mengine yakiwa ni maamuzi ya kijinga!.

Tangu Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1995 chama kikuu cha upinzani huku Bara NCCR Mageuzi, kiligoma kuyatambua matokeo ya uchaguzi na kwa Zanzibar CUF walisusia. Hali hii iliendelea hivi kwa chaguzi zilizofuata.

Uchaguzi Mkuu wa 2010 Chadema walijidai kususa kwa kauli ila matendo yakawa ni tofauti na tuliwaeleza humu.

Matokeo ya uchaguzi wa 2020 kuna chama kilisusa kwa kauli, kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita na kuuita uchafuzi, hakimtambui mshindi na hakilitambui Bunge lilitokana na uchaguzi huo.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, ikatoa nafasi 19 za viti maalum kwa chama hicho, Chama hicho kikatoa kauli kuwa kwa vile hakiyatambui matokeo ya uchaguzi mkuu huo hivyo hakizihitaji hizo nafasi na hakikateua wanachama wake kuzijaza, hawana haja nazo.

Hili ni bandiko elimishi kuelimisha umma kuwa, kwa mujibu wa katiba ya JMT, baada ya uchaguzi Mkuu kwa upande wa matokeo ya urais, kama una malalamiko yoyote kuhusu uchaguzi wa rais, yawasilishe Tume ya Uchaguzi NEC kabla ya matokeo ya urais kutangazwa. Matokeo ya urais yakiishatangazwa na Tume ya Uchaguzi kuwa mshindi ni fulani, Tangazo hilo ndilo linahitimisha mchakato wa uchaguzi wa rais Tanzania, matokeo hayo ni final and conclusive, vyama hata havijaridhika na matokeo ya uchaguzi mkuu huo, wanaweza kuendelea kusema kulalamika, kususa na kusema hawayatambui matokeo, lakini baada ya Rais Mteule kuapishwa na kuwa rais rasmi wa JMT, huyu sasa ni Rais, hata kama hukubaliani na matokeo, ni lazima umtambue rais wa JMT, sio lazima umpende au umkubali, that is an option lakini issue ya kumtambua rais is not an option, it's a statutory issue. Swali kwa wanaojidai hawamtambui rais, Je wanajua kusema humtambui Rais, ni kusema huitambui serikali, huitambui mahakama na hailitambui Bunge?. Hivi vyombo vitatu ndivyo vinaunda dola, hivyo kutomtambua Rais ni kutoitambua dola, hakuwezi kufanywa na mtu yoyote aliyeko ndani ya JMT kwasababu, ule uwepo wako tuu, unawezeshwa na uwepo wa serikali. Lakini Kwa mtu aliyepo nje ya JMT anaweza asiitambue serikali na ikawezekana. Hivyo mtu yoyote au taasisi yoyote iliyomo ndani ya JMT, ikisema hailitambui Bunge la JMT, maana yake ni haitambui serikali, hamtambui Rais wa JMT, haiitambui mahakama ya JMT, ni haitambui JMT, mtu kama huyu au taasisi kama hii si ni anafanya ujinga tuu?,. Watu hawa ni ya kuhurumiwa tuu na kusaidiwa, kwenye eneo la kusaidiwa, ndilo bandiko hili linachofanya, hawa watu wanahitaji kusaidiwa, ujinga huu uwatoke.

Kukajitokeza wanachama majasiri na mashujaa ambao hawakukubalia na ujinga huo wa chama chao, kutotambua matokeo, wakafanya jitihada binafsi, nje ya utaratibu wa kawaida wa chama chao, wakapata barua za uteuzi, wakateuliwa na kuwa wabunge wa Bunge la JMT.

Wenye chama chao, wakaitisha vikao vya nidhamu kuwajadili, ambapo kwa mujibu wa katiba yao vikao vilivyo itishwa ni vikao batili, maamuzi yakafikiwa kwa mtindo wa a Kangaroo Court, ambayo nayo ni maamuzi batili, wakawatimua mashujaa hawa.

Baada ya kuwatimua, vile chama chao kiliisha jinasibu kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi, hailitambui Bunge na haitambui serikali, hamtambui Rais wa JMT, ikategemewa baada ya kuwatimua ndio wamemalizana nao!.

Kumbe wameandika barua Bungeni kutaka mashujaa hao wafutwe ubunge. Nafasi mlipewa, mkazikataa, wanaozitaka wakazichangamkia, sasa kwanini mnataka waondolewe huku hizo nafasi hamna haja nazo?!.

Bunge si hamlitambui, wanachama wenu waliojiunga na Bunge ambalo hamlitambui, sii mmeisha wafuta uanachama, kuna haja gani kuliarifu Bunge?. Si muachane nao tuu kwasababu sasa hamuwatambui na wako kwenye Bunge ambalo hamlitambui, hizo barua za nini?!.

Kwa vile uanachama wa chama cha siasa unatawaliwa na Katiba sheria taratibu na kanuni, wamefungua shauri mahakamani kupinga Ukangaroo wa vikao batili vya Kikangroo, jee mahakama mnaitambua?.

Chama kinatoa taarifa ya kutolitambua Bunge, kutomtambua Rais wa JMT, huku Mwenyekiti na M/Mwenyekiti are begging to meet Rais wa JMT, and they met, one of them, more than twice!, Leo ni mara ya 3!, huku kutomtambua Rais wa JMT ni kutomtambua gani?!.

Huku kutolitambua Bunge la JMT huku unaliandikia mabarua, kwa barua moja hiyo hiyo kupelekwa Bungeni siku hiyo hiyo na watu watatu tofauti!, huku ni kutotambua gani?!.

Kuna msemo wa kizungu usemao "Spare the rod and spoil the child", members wa Chadema wanakipenda sana chama chao, wanaogopa kukirudi kwa kukiambia ukweli kuhusu ujinga wake, wakichelelea kulia,"mchelea mwana kulia, hulia yeye", hivyo akina sisi, tunaokitandika bakora Chadema, bile kuchelea Chadema kulia, usikute ndio tunakisaidia Chadema kukaa kwenye mstari, kuliko hata wale wanaokidekeza na kukikimbia nyimbo za shangwe na mapambio.

Naomb kumalizia kwa hili swali, je huu sio ujinga?, na watu au taasisi wanaofanya hivi sio ni wajinga?. Jee tutaendelea kuruhusu ujinga kama huu, kuendelea nchini mwetu mpaka lini?!.

Wasalaam

Paskali
Mjinga ni wewe usiojitambua na kutambua maana ya upinzani kisiasa
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zenye maswali fikirishi
Swali la Leo ni Je wajua kutotambua matokeo ya uchaguzi wa rais, ni Kutomtambua rais, serikali na Bunge?. Rais akiisha apishwa ni rais!, umtambue, usimtambue, it doesn't change a thing, rais bado ni rais. Kitendo cha baadhi ya watu/taasisi kusema hawayatambui matokeo ya uchaguzi mkuu, hawamtambui Rais wa JMT, hawalitambui Bunge la JMT, je huu sio ujinga?, watu au taasisi wanaofanya hivi sio ni wajinga?. Jee tutaendelea kuruhusu ujinga kama huu, kuendelea nchini mwetu mpaka lini?!.

Moja ya maeneo ambayo yamekuwa neglected na serikali yetu, sekta binafsi na Civil Society ni eneo la utoaji elimu ya uraia Kwa umna. Hii ni kazi iliyopaswa kufanywa na mihimili yote na taasisi zote, mfano Mhimili wa Serikali ulipaswa kuwa na vipindi vya elimu kwa umma kuhusu serikali na utendaji wa serikali. Bunge nalo kuwa na vipindi vyake, mahakama nayo na vipindi vyake, na taasisi nyingine zote. Matokeo ya kukosekana vipindi vya elimu ya kwa umma kuhusu somo la uraia kunapelekea hata baadhi ya viongozi wetu wengine hadi wakuu, hawajui baadhi ya mambo kuhusu uendeshaji wa nchi, wakiwemo viongozi wa vyama vya siasa ndio maana baadhi yao wanafanya maamuzi ya kiajabu ajabu mengine yakiwa ni maamuzi ya kijinga!.

Tangu Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1995 chama kikuu cha upinzani huku Bara NCCR Mageuzi, kiligoma kuyatambua matokeo ya uchaguzi na kwa Zanzibar CUF walisusia. Hali hii iliendelea hivi kwa chaguzi zilizofuata.

Uchaguzi Mkuu wa 2010 Chadema walijidai kususa kwa kauli ila matendo yakawa ni tofauti na tuliwaeleza humu.

Matokeo ya uchaguzi wa 2020 kuna chama kilisusa kwa kauli, kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita na kuuita uchafuzi, hakimtambui mshindi na hakilitambui Bunge lilitokana na uchaguzi huo.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, ikatoa nafasi 19 za viti maalum kwa chama hicho, Chama hicho kikatoa kauli kuwa kwa vile hakiyatambui matokeo ya uchaguzi mkuu huo hivyo hakizihitaji hizo nafasi na hakikateua wanachama wake kuzijaza, hawana haja nazo.

Hili ni bandiko elimishi kuelimisha umma kuwa, kwa mujibu wa katiba ya JMT, baada ya uchaguzi Mkuu kwa upande wa matokeo ya urais, kama una malalamiko yoyote kuhusu uchaguzi wa rais, yawasilishe Tume ya Uchaguzi NEC kabla ya matokeo ya urais kutangazwa. Matokeo ya urais yakiishatangazwa na Tume ya Uchaguzi kuwa mshindi ni fulani, Tangazo hilo ndilo linahitimisha mchakato wa uchaguzi wa rais Tanzania, matokeo hayo ni final and conclusive, vyama hata havijaridhika na matokeo ya uchaguzi mkuu huo, wanaweza kuendelea kusema kulalamika, kususa na kusema hawayatambui matokeo, lakini baada ya Rais Mteule kuapishwa na kuwa rais rasmi wa JMT, huyu sasa ni Rais, hata kama hukubaliani na matokeo, ni lazima umtambue rais wa JMT, sio lazima umpende au umkubali, that is an option lakini issue ya kumtambua rais is not an option, it's a statutory issue. Swali kwa wanaojidai hawamtambui rais, Je wanajua kusema humtambui Rais, ni kusema huitambui serikali, huitambui mahakama na hailitambui Bunge?. Hivi vyombo vitatu ndivyo vinaunda dola, hivyo kutomtambua Rais ni kutoitambua dola, hakuwezi kufanywa na mtu yoyote aliyeko ndani ya JMT kwasababu, ule uwepo wako tuu, unawezeshwa na uwepo wa serikali. Lakini Kwa mtu aliyepo nje ya JMT anaweza asiitambue serikali na ikawezekana. Hivyo mtu yoyote au taasisi yoyote iliyomo ndani ya JMT, ikisema hailitambui Bunge la JMT, maana yake ni haitambui serikali, hamtambui Rais wa JMT, haiitambui mahakama ya JMT, ni haitambui JMT, mtu kama huyu au taasisi kama hii si ni anafanya ujinga tuu?,. Watu hawa ni ya kuhurumiwa tuu na kusaidiwa, kwenye eneo la kusaidiwa, ndilo bandiko hili linachofanya, hawa watu wanahitaji kusaidiwa, ujinga huu uwatoke.

Kukajitokeza wanachama majasiri na mashujaa ambao hawakukubalia na ujinga huo wa chama chao, kutotambua matokeo, wakafanya jitihada binafsi, nje ya utaratibu wa kawaida wa chama chao, wakapata barua za uteuzi, wakateuliwa na kuwa wabunge wa Bunge la JMT.

Wenye chama chao, wakaitisha vikao vya nidhamu kuwajadili, ambapo kwa mujibu wa katiba yao vikao vilivyo itishwa ni vikao batili, maamuzi yakafikiwa kwa mtindo wa a Kangaroo Court, ambayo nayo ni maamuzi batili, wakawatimua mashujaa hawa.

Baada ya kuwatimua, vile chama chao kiliisha jinasibu kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi, hailitambui Bunge na haitambui serikali, hamtambui Rais wa JMT, ikategemewa baada ya kuwatimua ndio wamemalizana nao!.

Kumbe wameandika barua Bungeni kutaka mashujaa hao wafutwe ubunge. Nafasi mlipewa, mkazikataa, wanaozitaka wakazichangamkia, sasa kwanini mnataka waondolewe huku hizo nafasi hamna haja nazo?!.

Bunge si hamlitambui, wanachama wenu waliojiunga na Bunge ambalo hamlitambui, sii mmeisha wafuta uanachama, kuna haja gani kuliarifu Bunge?. Si muachane nao tuu kwasababu sasa hamuwatambui na wako kwenye Bunge ambalo hamlitambui, hizo barua za nini?!.

Kwa vile uanachama wa chama cha siasa unatawaliwa na Katiba sheria taratibu na kanuni, wamefungua shauri mahakamani kupinga Ukangaroo wa vikao batili vya Kikangroo, jee mahakama mnaitambua?.

Chama kinatoa taarifa ya kutolitambua Bunge, kutomtambua Rais wa JMT, huku Mwenyekiti na M/Mwenyekiti are begging to meet Rais wa JMT, and they met, one of them, more than twice!, Leo ni mara ya 3!, huku kutomtambua Rais wa JMT ni kutomtambua gani?!.

Huku kutolitambua Bunge la JMT huku unaliandikia mabarua, kwa barua moja hiyo hiyo kupelekwa Bungeni siku hiyo hiyo na watu watatu tofauti!, huku ni kutotambua gani?!.

Kuna msemo wa kizungu usemao "Spare the rod and spoil the child", members wa Chadema wanakipenda sana chama chao, wanaogopa kukirudi kwa kukiambia ukweli kuhusu ujinga wake, wakichelelea kulia,"mchelea mwana kulia, hulia yeye", hivyo akina sisi, tunaokitandika bakora Chadema, bile kuchelea Chadema kulia, usikute ndio tunakisaidia Chadema kukaa kwenye mstari, kuliko hata wale wanaokidekeza na kukikimbia nyimbo za shangwe na mapambio.

Naomb kumalizia kwa hili swali, je huu sio ujinga?, na watu au taasisi wanaofanya hivi sio ni wajinga?. Jee tutaendelea kuruhusu ujinga kama huu, kuendelea nchini mwetu mpaka lini?!.

Wasalaam

Paskali
Ni kweli wanawake majasiri sana, mpaka wakaingia jela wakamtoa mwenzao ili waapishwe naye.
Hawakuiogopa serikali katili ya awamu ya tano. Kweli hawa siyo mchezo!!!
😂😂😂 Paschal eti mwandishi wa habari za kiuchunguzi!!! Halafu Mwanasheria.
Kwa hiyo umechunguza ukaona katiba ya Chadema mbovu,ila Nusrat alitokaje jela kwenda kuapishwa ni sawa!!
Haipendezi kuchagua kuwa mnafiki uzeeni, umeshindwa kumuiga hata Mzee Warioba mbona ni mzee kuliko wewe bado ana akili zake?
Jenerali Ulimwengu akiongea unavutiwa kumsikiliza, akiandika,kila mtu anatamani ajue alichoandika. Wewe mbona huvutii hivyo!! Umekumbwa na nini? Upande wangu nakushauri ungebakia kuwa mtangazaji wa sabasaba tu huko angalau.
Lakini kwenye uchambuzi wa kisiasa huwezi ndugu yangu,wewe ni mnafiki na huko kunataka waandishi design ya Doto, Tido na wengine baadhi lakini siyo wewe.
Mtu uliyeshuhudia katiba ikisiginwa awamu ya tano, mpaka ukajaribu kumuuliza Rais, na ulichojibiwa unakikumbuka,lakini pengine ulifuatwa baadaye ukatishwa tusikulaumu sana.
Ushauri wangu ni huo tu linda heshima ndogo iliyobaki kwa kuwa mkweli, mbona wenzio wameweza? Profesa Shivji ni Mwanasheria mkubwa tu, umewahi kumuona anapayupayuka ovyo?
Anajua kuna mambo hayaendi sawa, katiba inakanyagwa, japo siyo sahihi kunyamaza lakini ni bora zaidi kuwa hivyo, kuliko kujitoa ufahamu kutetea ujinga eti afurahishe watawala. Linda credibility yako iliyobaki huu ukuu wa wilaya ni kitu kidogo sana kuliko heshima yako.
 
“Hatuutambui Uchafuzi ulioitwa uchaguzi mkuu na matokeo yake”…

Wakati huo huo kila wiki Mbowe yupo ikulu anakenua, nye nyee nyeee..!!!!
Kumbe kuna mijitu mipumbavu humu.
Hujui mbowe anafuata nini ikulu, hujui uchafuzi wa sheitwani mwendazake 2020, hujui vifo na mateso kuanzia 2015_2021 march?

Nenda kwa mganga akuague
 
Huku kutolitambua Bunge la JMT huku unaliandikia mabarua, kwa barua moja hiyo hiyo kupelekwa Bungeni siku hiyo hiyo na watu watatu tofauti!, huku ni kutotambua gani?!.
Paskali ndugu yangu, wabunge wengi sana walipatikana kimagumashi! waliapishwa kimagumashi! Ni wabunge kimagumashi!
Halafu unatuambia tutambue umagumashi mkuu? Hii sio haki hata mbele ya Mungu kutambua ouvu! Ouvu unatakiwa kuangamizwa!
 
Nadhani ujinga huu utakwisha pale ambapo Serikali ya CCM na vyombo vyake vya Ulinzi na Usalama itakapoheshimu maamuzi ya wapiga kura kwenye sanduku la Kura.
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zenye maswali fikirishi
Swali la Leo ni Je wajua kutotambua matokeo ya uchaguzi wa rais, ni Kutomtambua rais, serikali na Bunge?. Rais akiisha apishwa ni rais!, umtambue, usimtambue, it doesn't change a thing, rais bado ni rais. Kitendo cha baadhi ya watu/taasisi kusema hawayatambui matokeo ya uchaguzi mkuu, hawamtambui Rais wa JMT, hawalitambui Bunge la JMT, je huu sio ujinga?, watu au taasisi wanaofanya hivi sio ni wajinga?. Jee tutaendelea kuruhusu ujinga kama huu, kuendelea nchini mwetu mpaka lini?!.

Moja ya maeneo ambayo yamekuwa neglected na serikali yetu, sekta binafsi na Civil Society ni eneo la utoaji elimu ya uraia Kwa umna. Hii ni kazi iliyopaswa kufanywa na mihimili yote na taasisi zote, mfano Mhimili wa Serikali ulipaswa kuwa na vipindi vya elimu kwa umma kuhusu serikali na utendaji wa serikali. Bunge nalo kuwa na vipindi vyake, mahakama nayo na vipindi vyake, na taasisi nyingine zote. Matokeo ya kukosekana vipindi vya elimu ya kwa umma kuhusu somo la uraia kunapelekea hata baadhi ya viongozi wetu wengine hadi wakuu, hawajui baadhi ya mambo kuhusu uendeshaji wa nchi, wakiwemo viongozi wa vyama vya siasa ndio maana baadhi yao wanafanya maamuzi ya kiajabu ajabu mengine yakiwa ni maamuzi ya kijinga!.

Tangu Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1995 chama kikuu cha upinzani huku Bara NCCR Mageuzi, kiligoma kuyatambua matokeo ya uchaguzi na kwa Zanzibar CUF walisusia. Hali hii iliendelea hivi kwa chaguzi zilizofuata.

Uchaguzi Mkuu wa 2010 Chadema walijidai kususa kwa kauli ila matendo yakawa ni tofauti na tuliwaeleza humu.

Matokeo ya uchaguzi wa 2020 kuna chama kilisusa kwa kauli, kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita na kuuita uchafuzi, hakimtambui mshindi na hakilitambui Bunge lilitokana na uchaguzi huo.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, ikatoa nafasi 19 za viti maalum kwa chama hicho, Chama hicho kikatoa kauli kuwa kwa vile hakiyatambui matokeo ya uchaguzi mkuu huo hivyo hakizihitaji hizo nafasi na hakikateua wanachama wake kuzijaza, hawana haja nazo.

Hili ni bandiko elimishi kuelimisha umma kuwa, kwa mujibu wa katiba ya JMT, baada ya uchaguzi Mkuu kwa upande wa matokeo ya urais, kama una malalamiko yoyote kuhusu uchaguzi wa rais, yawasilishe Tume ya Uchaguzi NEC kabla ya matokeo ya urais kutangazwa. Matokeo ya urais yakiishatangazwa na Tume ya Uchaguzi kuwa mshindi ni fulani, Tangazo hilo ndilo linahitimisha mchakato wa uchaguzi wa rais Tanzania, matokeo hayo ni final and conclusive, vyama hata havijaridhika na matokeo ya uchaguzi mkuu huo, wanaweza kuendelea kusema kulalamika, kususa na kusema hawayatambui matokeo, lakini baada ya Rais Mteule kuapishwa na kuwa rais rasmi wa JMT, huyu sasa ni Rais, hata kama hukubaliani na matokeo, ni lazima umtambue rais wa JMT, sio lazima umpende au umkubali, that is an option lakini issue ya kumtambua rais is not an option, it's a statutory issue. Swali kwa wanaojidai hawamtambui rais, Je wanajua kusema humtambui Rais, ni kusema huitambui serikali, huitambui mahakama na hailitambui Bunge?. Hivi vyombo vitatu ndivyo vinaunda dola, hivyo kutomtambua Rais ni kutoitambua dola, hakuwezi kufanywa na mtu yoyote aliyeko ndani ya JMT kwasababu, ule uwepo wako tuu, unawezeshwa na uwepo wa serikali. Lakini Kwa mtu aliyepo nje ya JMT anaweza asiitambue serikali na ikawezekana. Hivyo mtu yoyote au taasisi yoyote iliyomo ndani ya JMT, ikisema hailitambui Bunge la JMT, maana yake ni haitambui serikali, hamtambui Rais wa JMT, haiitambui mahakama ya JMT, ni haitambui JMT, mtu kama huyu au taasisi kama hii si ni anafanya ujinga tuu?,. Watu hawa ni ya kuhurumiwa tuu na kusaidiwa, kwenye eneo la kusaidiwa, ndilo bandiko hili linachofanya, hawa watu wanahitaji kusaidiwa, ujinga huu uwatoke.

Kukajitokeza wanachama majasiri na mashujaa ambao hawakukubalia na ujinga huo wa chama chao, kutotambua matokeo, wakafanya jitihada binafsi, nje ya utaratibu wa kawaida wa chama chao, wakapata barua za uteuzi, wakateuliwa na kuwa wabunge wa Bunge la JMT.

Wenye chama chao, wakaitisha vikao vya nidhamu kuwajadili, ambapo kwa mujibu wa katiba yao vikao vilivyo itishwa ni vikao batili, maamuzi yakafikiwa kwa mtindo wa a Kangaroo Court, ambayo nayo ni maamuzi batili, wakawatimua mashujaa hawa.

Baada ya kuwatimua, vile chama chao kiliisha jinasibu kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi, hailitambui Bunge na haitambui serikali, hamtambui Rais wa JMT, ikategemewa baada ya kuwatimua ndio wamemalizana nao!.

Kumbe wameandika barua Bungeni kutaka mashujaa hao wafutwe ubunge. Nafasi mlipewa, mkazikataa, wanaozitaka wakazichangamkia, sasa kwanini mnataka waondolewe huku hizo nafasi hamna haja nazo?!.

Bunge si hamlitambui, wanachama wenu waliojiunga na Bunge ambalo hamlitambui, sii mmeisha wafuta uanachama, kuna haja gani kuliarifu Bunge?. Si muachane nao tuu kwasababu sasa hamuwatambui na wako kwenye Bunge ambalo hamlitambui, hizo barua za nini?!.

Kwa vile uanachama wa chama cha siasa unatawaliwa na Katiba sheria taratibu na kanuni, wamefungua shauri mahakamani kupinga Ukangaroo wa vikao batili vya Kikangroo, jee mahakama mnaitambua?.

Chama kinatoa taarifa ya kutolitambua Bunge, kutomtambua Rais wa JMT, huku Mwenyekiti na M/Mwenyekiti are begging to meet Rais wa JMT, and they met, one of them, more than twice!, Leo ni mara ya 3!, huku kutomtambua Rais wa JMT ni kutomtambua gani?!.

Huku kutolitambua Bunge la JMT huku unaliandikia mabarua, kwa barua moja hiyo hiyo kupelekwa Bungeni siku hiyo hiyo na watu watatu tofauti!, huku ni kutotambua gani?!.

Kuna msemo wa kizungu usemao "Spare the rod and spoil the child", members wa Chadema wanakipenda sana chama chao, wanaogopa kukirudi kwa kukiambia ukweli kuhusu ujinga wake, wakichelelea kulia,"mchelea mwana kulia, hulia yeye", hivyo akina sisi, tunaokitandika bakora Chadema, bile kuchelea Chadema kulia, usikute ndio tunakisaidia Chadema kukaa kwenye mstari, kuliko hata wale wanaokidekeza na kukikimbia nyimbo za shangwe na mapambio.

Naomb kumalizia kwa hili swali, je huu sio ujinga?, na watu au taasisi wanaofanya hivi sio ni wajinga?. Jee tutaendelea kuruhusu ujinga kama huu, kuendelea nchini mwetu mpaka lini?!.

Wasalaam

Paskali
Hilo tulilipigia kelele muda mwingi ila kwakua chama hicho kinaendeshwa kwa mihemko je wangeitambua serikali uhalali wa kukimbilia ughaibuni kwa kivuli cha ukimbizi wa kisiasa bila vita wangeupata wapi?!
 
RAIS SAMIA AMEKUWA RAIS KWA UCHAGUZI GANI AMBAO MATOKEO YAKE CHADEMA WAMEYAGOMEA? CHADEMA WALIGOMEA MATOKEO YA UCHAGUZI WA SERIKALI AWAMU YA 5
KUMBUKA MAMA SAMIA NI RAIS WA SERIKALI YA AWAMU YA 6 au wewe ni kama Bw.POLEPOLE ANAYEPINGA Kuwa RAIS SAMIA SIO wa Awamu ya 6?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Kwani Raisi Samia , anaongoza serikali ambayo wabunge wake, na mawaziri wake walichaguliwa lini!!?
 
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa" zenye maswali fikirishi
Swali la Leo ni Je wajua kutotambua matokeo ya uchaguzi wa rais, ni Kutomtambua rais, serikali na Bunge?. Rais akiisha apishwa ni rais!, umtambue, usimtambue, it doesn't change a thing, rais bado ni rais. Kitendo cha baadhi ya watu/taasisi kusema hawayatambui matokeo ya uchaguzi mkuu, hawamtambui Rais wa JMT, hawalitambui Bunge la JMT, je huu sio ujinga?, watu au taasisi wanaofanya hivi sio ni wajinga?. Jee tutaendelea kuruhusu ujinga kama huu, kuendelea nchini mwetu mpaka lini?!.

Moja ya maeneo ambayo yamekuwa neglected na serikali yetu, sekta binafsi na Civil Society ni eneo la utoaji elimu ya uraia Kwa umna. Hii ni kazi iliyopaswa kufanywa na mihimili yote na taasisi zote, mfano Mhimili wa Serikali ulipaswa kuwa na vipindi vya elimu kwa umma kuhusu serikali na utendaji wa serikali. Bunge nalo kuwa na vipindi vyake, mahakama nayo na vipindi vyake, na taasisi nyingine zote. Matokeo ya kukosekana vipindi vya elimu ya kwa umma kuhusu somo la uraia kunapelekea hata baadhi ya viongozi wetu wengine hadi wakuu, hawajui baadhi ya mambo kuhusu uendeshaji wa nchi, wakiwemo viongozi wa vyama vya siasa ndio maana baadhi yao wanafanya maamuzi ya kiajabu ajabu mengine yakiwa ni maamuzi ya kijinga!.

Tangu Uchaguzi Mkuu wa mwaka 1995 chama kikuu cha upinzani huku Bara NCCR Mageuzi, kiligoma kuyatambua matokeo ya uchaguzi na kwa Zanzibar CUF walisusia. Hali hii iliendelea hivi kwa chaguzi zilizofuata.

Uchaguzi Mkuu wa 2010 Chadema walijidai kususa kwa kauli ila matendo yakawa ni tofauti na tuliwaeleza humu.

Matokeo ya uchaguzi wa 2020 kuna chama kilisusa kwa kauli, kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi mkuu uliopita na kuuita uchafuzi, hakimtambui mshindi na hakilitambui Bunge lilitokana na uchaguzi huo.

Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, ikatoa nafasi 19 za viti maalum kwa chama hicho, Chama hicho kikatoa kauli kuwa kwa vile hakiyatambui matokeo ya uchaguzi mkuu huo hivyo hakizihitaji hizo nafasi na hakikateua wanachama wake kuzijaza, hawana haja nazo.

Hili ni bandiko elimishi kuelimisha umma kuwa, kwa mujibu wa katiba ya JMT, baada ya uchaguzi Mkuu kwa upande wa matokeo ya urais, kama una malalamiko yoyote kuhusu uchaguzi wa rais, yawasilishe Tume ya Uchaguzi NEC kabla ya matokeo ya urais kutangazwa. Matokeo ya urais yakiishatangazwa na Tume ya Uchaguzi kuwa mshindi ni fulani, Tangazo hilo ndilo linahitimisha mchakato wa uchaguzi wa rais Tanzania, matokeo hayo ni final and conclusive, vyama hata havijaridhika na matokeo ya uchaguzi mkuu huo, wanaweza kuendelea kusema kulalamika, kususa na kusema hawayatambui matokeo, lakini baada ya Rais Mteule kuapishwa na kuwa rais rasmi wa JMT, huyu sasa ni Rais, hata kama hukubaliani na matokeo, ni lazima umtambue rais wa JMT, sio lazima umpende au umkubali, that is an option lakini issue ya kumtambua rais is not an option, it's a statutory issue. Swali kwa wanaojidai hawamtambui rais, Je wanajua kusema humtambui Rais, ni kusema huitambui serikali, huitambui mahakama na hailitambui Bunge?. Hivi vyombo vitatu ndivyo vinaunda dola, hivyo kutomtambua Rais ni kutoitambua dola, hakuwezi kufanywa na mtu yoyote aliyeko ndani ya JMT kwasababu, ule uwepo wako tuu, unawezeshwa na uwepo wa serikali. Lakini Kwa mtu aliyepo nje ya JMT anaweza asiitambue serikali na ikawezekana. Hivyo mtu yoyote au taasisi yoyote iliyomo ndani ya JMT, ikisema hailitambui Bunge la JMT, maana yake ni haitambui serikali, hamtambui Rais wa JMT, haiitambui mahakama ya JMT, ni haitambui JMT, mtu kama huyu au taasisi kama hii si ni anafanya ujinga tuu?,. Watu hawa ni ya kuhurumiwa tuu na kusaidiwa, kwenye eneo la kusaidiwa, ndilo bandiko hili linachofanya, hawa watu wanahitaji kusaidiwa, ujinga huu uwatoke.

Kukajitokeza wanachama majasiri na mashujaa ambao hawakukubalia na ujinga huo wa chama chao, kutotambua matokeo, wakafanya jitihada binafsi, nje ya utaratibu wa kawaida wa chama chao, wakapata barua za uteuzi, wakateuliwa na kuwa wabunge wa Bunge la JMT.

Wenye chama chao, wakaitisha vikao vya nidhamu kuwajadili, ambapo kwa mujibu wa katiba yao vikao vilivyo itishwa ni vikao batili, maamuzi yakafikiwa kwa mtindo wa a Kangaroo Court, ambayo nayo ni maamuzi batili, wakawatimua mashujaa hawa.

Baada ya kuwatimua, vile chama chao kiliisha jinasibu kuwa hakiyatambui matokeo ya uchaguzi, hailitambui Bunge na haitambui serikali, hamtambui Rais wa JMT, ikategemewa baada ya kuwatimua ndio wamemalizana nao!.

Kumbe wameandika barua Bungeni kutaka mashujaa hao wafutwe ubunge. Nafasi mlipewa, mkazikataa, wanaozitaka wakazichangamkia, sasa kwanini mnataka waondolewe huku hizo nafasi hamna haja nazo?!.

Bunge si hamlitambui, wanachama wenu waliojiunga na Bunge ambalo hamlitambui, sii mmeisha wafuta uanachama, kuna haja gani kuliarifu Bunge?. Si muachane nao tuu kwasababu sasa hamuwatambui na wako kwenye Bunge ambalo hamlitambui, hizo barua za nini?!.

Kwa vile uanachama wa chama cha siasa unatawaliwa na Katiba sheria taratibu na kanuni, wamefungua shauri mahakamani kupinga Ukangaroo wa vikao batili vya Kikangroo, jee mahakama mnaitambua?.

Chama kinatoa taarifa ya kutolitambua Bunge, kutomtambua Rais wa JMT, huku Mwenyekiti na M/Mwenyekiti are begging to meet Rais wa JMT, and they met, one of them, more than twice!, Leo ni mara ya 3!, huku kutomtambua Rais wa JMT ni kutomtambua gani?!.

Huku kutolitambua Bunge la JMT huku unaliandikia mabarua, kwa barua moja hiyo hiyo kupelekwa Bungeni siku hiyo hiyo na watu watatu tofauti!, huku ni kutotambua gani?!.

Kuna msemo wa kizungu usemao "Spare the rod and spoil the child", members wa Chadema wanakipenda sana chama chao, wanaogopa kukirudi kwa kukiambia ukweli kuhusu ujinga wake, wakichelelea kulia,"mchelea mwana kulia, hulia yeye", hivyo akina sisi, tunaokitandika bakora Chadema, bile kuchelea Chadema kulia, usikute ndio tunakisaidia Chadema kukaa kwenye mstari, kuliko hata wale wanaokidekeza na kukikimbia nyimbo za shangwe na mapambio.

Naomb kumalizia kwa hili swali, je huu sio ujinga?, na watu au taasisi wanaofanya hivi sio ni wajinga?. Jee tutaendelea kuruhusu ujinga kama huu, kuendelea nchini mwetu mpaka lini?!.

Wasalaam

Paskali
Kutotambua serkali ni UHAINI. Kikawaida, kilacnchi ina maadui wake njeg na ndani, active and passive. Yeyote aliye chini yav ulinzi wa serkali hiyo, huku haitambui, huou anadaidika na ulinzi na usalama wake ni sawa na kuwa upande wa adui. Ukiungana na maadui, chochote utakachokipata usiombe msaada serkali, waombw hawo maadui. Protection ni yako wewe na mali zako na taasisi unazoziongoza - wote ni wahaini. Kwa nini Msajili wa Vyama vya Siasa qsiwafutme usajili wao? Kama watachukia kufutwa,wakaungan na maadui kuwatetea, huo ndiyo uhaini wenyewe. Tupambane!
 
Is everything okay kiongozi? CDM walikataa matokeo ya uchaguzi 2020, lakini JPM amefariki, kuna nafasi ya kuanza upya, watakuwa wajinga kama hawataitumia.

Kama JPM angekuwa hai wasingetambua yale matokeo, 2020 hakukua na uchaguzi, hata wewe ulilitambua hilo.
Akili yako kiazi kweli kwa iyo waliomchagua J.P.M si ndo wamefanya kuwepo kwa serikali hii unaakilu fupi kama mkia wa pimbi
 
Back
Top Bottom