Kutuma nauli siyo tiketi ya kufanya siku hiyo hiyo

Kutuma nauli siyo tiketi ya kufanya siku hiyo hiyo

Nawashangaa wakaka aisee, wewe umenitokea ukaeleza hisia zako,nikawa naanza kukuelewa,ila nikasema "Nipe muda nikuzoee" Mara majina ya mke mke mke yanakuwa na kutuma vihela vya vocha na ghafla unaomba tukutane unatuma nauli, kukubali kuja si tiketi ya kutaka tulale pamoja,

Wewe unune usinune nisingeweza kulala na wewe bila kukufahamu zaidi,licha ya kunifukuza nilienda kuchukua chumba lodge na kulala na kurudi kwangu
Wanaume jaribuni kuwa wavumilivu
Unamwambia naniii si ety?
 
Hahahahah mbunye ni kitu ambacho alitumia babu mpaka mjukuu anaitumia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ya kihindi si ipo ndani lakini?! Bado unataka za waswahili tu khaaaaaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ebu nieleze vizir hapo kwenue alpha na beta Mkuu nipate kitu maana nalaumiwa huku nataka nijijue nakera wapi
Sifa za Alpha male:
1. Ni kiongozi.
2. Haendeshwi na hisia, anaendeshwa na akili .
3. Anajua anachokitaka kwenye maisha na Kwa mwanamke
4. Ana msimamo.
5. Haendeshwi na wanawake, yeye hufukuzia ndoto zake.
6. Anataka kuwa bora kuliko jana na kumzidi mwanamke kwa asilimia kubwa.
7. Ni confident person.
8. Husikiliza ushauri kwa mwanamke wake na kupima kama unafaa. Yuko radhi kumchukiza mwanamke Kwa Faida yake yeye na kizazi kijacho.

Beta male ni submissive male( wananyenyekea, kwake mwanamke ni Mfalme na kitu asichokitaka kupoteza hata kama akionyesha tabia zisizofaa), Hawa ndo wanaombembeleza mwanamke hata kama kosa hakulifanya yeye. Anaendeshwa na mwanamke kama gari bovu, mwoga na sio mtu wa maamuzi, maamuzi yake asilimia kubwa huamuliwa na mwanamke.
Beta sio bora kuliko mwanamke aliye naye, mwanamke alimkubali kwa kuwa alikosa attention kutoka kwa alpha males kufunga pingu za maisha. Wanasupport feminism na Haki sawa kwenye ndoa. Kiufupi hana meno .
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakuna kitu km hicho!!! Kwanza tufaidi mikuku na miwine ya kushatoo ndio tuangalie sasa km tutawezana
Utapeli huu Sasa! Mi nashauri Tuonjane kwanza alafu tuone Kama tutawezana!!!
 
Humu kuna mambo na vijimamboo aisee sasa ushauri kama hutompa mtu kidudu usiende bwana kaa na yule unayeweza kumpa unayemjua
 
Nawashangaa wakaka aisee, wewe umenitokea ukaeleza hisia zako,nikawa naanza kukuelewa,ila nikasema "Nipe muda nikuzoee" Mara majina ya mke mke mke yanakuwa na kutuma vihela vya vocha na ghafla unaomba tukutane unatuma nauli, kukubali kuja si tiketi ya kutaka tulale pamoja,

Wewe unune usinune nisingeweza kulala na wewe bila kukufahamu zaidi,licha ya kunifukuza nilienda kuchukua chumba lodge na kulala na kurudi kwangu
Wanaume jaribuni kuwa wavumilivu
Duuuh polee Mkuu kwa yaliyokukuta
 
Back
Top Bottom