Bora nikose kuliko kupoteza muda.Utakosa vingi
Muda ndo kitu Cha muhimu kwangu kuliko kitu chochote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora nikose kuliko kupoteza muda.Utakosa vingi
Unamwambia naniii si ety?Nawashangaa wakaka aisee, wewe umenitokea ukaeleza hisia zako,nikawa naanza kukuelewa,ila nikasema "Nipe muda nikuzoee" Mara majina ya mke mke mke yanakuwa na kutuma vihela vya vocha na ghafla unaomba tukutane unatuma nauli, kukubali kuja si tiketi ya kutaka tulale pamoja,
Wewe unune usinune nisingeweza kulala na wewe bila kukufahamu zaidi,licha ya kunifukuza nilienda kuchukua chumba lodge na kulala na kurudi kwangu
Wanaume jaribuni kuwa wavumilivu
Hahahahah mbunye ni kitu ambacho alitumia babu mpaka mjukuu anaitumia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sifa za Alpha male:Ebu nieleze vizir hapo kwenue alpha na beta Mkuu nipate kitu maana nalaumiwa huku nataka nijijue nakera wapi
Ndio maana vijana wa hovyo wanawapakia mkongo au mdindadindaa kwa hasira[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakuna kitu km hicho!!! Kwanza tufaidi mikuku na miwine ya kushatoo ndio tuangalie sasa km tutawezana
Utapeli huu Sasa! Mi nashauri Tuonjane kwanza alafu tuone Kama tutawezana!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakuna kitu km hicho!!! Kwanza tufaidi mikuku na miwine ya kushatoo ndio tuangalie sasa km tutawezana
Ndio maana vijana wa hovyo wanawapakia mkongo au mdindadindaa kwa hasira
Utapeli huu Sasa! Mi nashauri Tuonjane kwanza alafu tuone Kama tutawezana!!!
Sio mnateseka wote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huoni km wanajitesa wenyewe
Cc; Cute WifeHumu kuna mambo na vijimamboo aisee sasa ushauri kama hutompa mtu kidudu usiende bwana kaa na yule unayeweza kumpa unayemjua
Sio mnateseka wote
Ungerudisha my dia
Za kiswahili zina fleva yake ile 🤣Ya kihindi si ipo ndani lakini?! Bado unataka za waswahili tu khaaaaaaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah ukale tu hata sahizi si wanalisha bure mle 🤣🤣🤣Sisi hisia zetu ziko mbali mpk tule mikuku ya KFC km mara 8 hivi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuuh polee Mkuu kwa yaliyokukutaNawashangaa wakaka aisee, wewe umenitokea ukaeleza hisia zako,nikawa naanza kukuelewa,ila nikasema "Nipe muda nikuzoee" Mara majina ya mke mke mke yanakuwa na kutuma vihela vya vocha na ghafla unaomba tukutane unatuma nauli, kukubali kuja si tiketi ya kutaka tulale pamoja,
Wewe unune usinune nisingeweza kulala na wewe bila kukufahamu zaidi,licha ya kunifukuza nilienda kuchukua chumba lodge na kulala na kurudi kwangu
Wanaume jaribuni kuwa wavumilivu
Mkuu huyo alitoka patupu ndio maana ikabidi Mwamba amfukuze akalale RodgeChukua kiti ukae uandike vizuri eeeeh ikawaje Mama ila alikukula au aliambulia patupu sema kweli [emoji2][emoji23]