Kutuma nauli siyo tiketi ya kufanya siku hiyo hiyo

Kutuma nauli siyo tiketi ya kufanya siku hiyo hiyo

Hamjawai kuaminika dadeq 😂😂😂😂
Shida yenu mnajifanyaga kama hamna nyege mnataka sisi ndio tuonekane tunashobokea sana mbususu zenu

Nawàkubaligi sana manzi ambao hata wanakupigia simu ukamkaze ana nyege huyo ana hisia na wewe kweli
 
Ila tumia maneno mengine siyo nipe muda nikuzoee. Wanaume wengi ambao ni serious, na ni alpha male na mwenye uwezo mkubwa wa kiakili hawezi kukubali kupewa muda, kwenye akili yake hiyo ni tafsiri ya wewe kusema hapana.

Watatafuta chombo kingine, hawataki kuchezewa akili na wanawake ambao wanataka attention kutoka kwao alafu hawataki kuirudisha. Isitoshe unaweza muomba mkutane next time mjuane zaidi. Mi nakuambia hivyo maana asilimia 98% ya wanawake hutamani kuwa na beta male( submissive male) baada ya kupigwa matukio na wakishampata , huwachukia kwasababu sio alpha male.

Mi nakuambia tu.
Ebu nieleze vizir hapo kwenue alpha na beta Mkuu nipate kitu maana nalaumiwa huku nataka nijijue nakera wapi
 
Naona watu wote mnamshambulia mdogo wangu Hadi wengine wanaanza matusi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]huyu anaonyesha bado Binti mdogo wote tumepita Hizo stage

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dada mbona mimi sijamshambulia wajina angu

Tuachane na hayo nimekumiss vipi ile dinner yetu sasa sister?? [emoji12]
 
Tukutane hata mara 10 hivi ana kwa ana, halafu tuwe tunapiga stories muda usiopungua saa 3,hapo nakuzoea na hata ukihitaji sasa nakupa bila tatizo
Khaaa, bila shaka utakua unatania [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom