Driver proffesional
JF-Expert Member
- Feb 18, 2022
- 372
- 1,042
Duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu atagonga 30+ hajaolewa amini nakwambiahuna genye??
kwa staili hii wanaume watakukimbia sana😂
huko unaenda mbali sasaHuyu atagonga 30+ hajaolewa amini nakwambia
🤣🤣🤣Ulikuwa hujui? Wanaume anaomba mtoke dinner utashangaa anabeba pakti ya rough rider na vuzi kanyoa wenyewe wanaita “Just in case” [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamjawai kuaminika dadeq 😂😂😂😂
Acha ujinga wewe,wewe unaweza mpa mama Yako?Kama unataka kujuana kwanza uwe unatumia nauli yako ukiitwa au mpe baba yako kama ni kuzoeana
Tunawajua tabia zenu bro 😂😂😂😂[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbavu Sina
Dada wamekuchefua pole 😂😂😂Acha ujinga wewe,wewe unaweza mpa mama Yako?
Naona watu wote mnamshambulia mdogo wangu Hadi wengine wanaanza matusi🤣🤣🤣huyu anaonyesha bado Binti mdogo wote tumepita Hizo stageDada wamekuchefua pole 😂😂😂
Shida yenu mnajifanyaga kama hamna nyege mnataka sisi ndio tuonekane tunashobokea sana mbususu zenuHamjawai kuaminika dadeq 😂😂😂😂
Ila ndo uhalisia Umeongea Kweli tupu[emoji4]Tunawajua tabia zenu bro [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
UjingaTukutane hata mara 10 hivi ana kwa ana, halafu tuwe tunapiga stories muda usiopungua saa 3,hapo nakuzoea na hata ukihitaji sasa nakupa bila tatizo
Ebu nieleze vizir hapo kwenue alpha na beta Mkuu nipate kitu maana nalaumiwa huku nataka nijijue nakera wapiIla tumia maneno mengine siyo nipe muda nikuzoee. Wanaume wengi ambao ni serious, na ni alpha male na mwenye uwezo mkubwa wa kiakili hawezi kukubali kupewa muda, kwenye akili yake hiyo ni tafsiri ya wewe kusema hapana.
Watatafuta chombo kingine, hawataki kuchezewa akili na wanawake ambao wanataka attention kutoka kwao alafu hawataki kuirudisha. Isitoshe unaweza muomba mkutane next time mjuane zaidi. Mi nakuambia hivyo maana asilimia 98% ya wanawake hutamani kuwa na beta male( submissive male) baada ya kupigwa matukio na wakishampata , huwachukia kwasababu sio alpha male.
Mi nakuambia tu.
Naona watu wote mnamshambulia mdogo wangu Hadi wengine wanaanza matusi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]huyu anaonyesha bado Binti mdogo wote tumepita Hizo stage
dah, wamempiga ban[emoji26][emoji26]
View attachment 2681338
Khaaa, bila shaka utakua unatania [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tukutane hata mara 10 hivi ana kwa ana, halafu tuwe tunapiga stories muda usiopungua saa 3,hapo nakuzoea na hata ukihitaji sasa nakupa bila tatizo