To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
Akikua ataacha mkuuHivi vitoto vya 20s haviwez kuelewa TY
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikua ataacha mkuuHivi vitoto vya 20s haviwez kuelewa TY
🤣🤣🤣🤣🤣bora ungebaki kwenuNawashangaa wakaka aisee, wewe umenitokea ukaeleza hisia zako,nikawa naanza kukuelewa,ila nikasema "Nipe muda nikuzoee" Mara majina ya mke mke mke yanakuwa na kutuma vihela vya vocha na ghafla unaomba tukutane unatuma nauli, kukubali kuja si tiketi ya kutaka tulale pamoja,
Wewe unune usinune nisingeweza kulala na wewe bila kukufahamu zaidi,licha ya kunifukuza nilienda kuchukua chumba lodge na kulala na kurudi kwangu
Wanaume jaribuni kuwa wavumilivu
no one can stop genye😂
[emoji28][emoji28]Kwamba mpaka unapanda gari unaenda lodge hukuwa unajua kinachokwenda kutokea au unajitoa ufahamu au ulifikiri mnaenda kucheza karata kule
This is Africa [emoji28]Sasa mkuu ulidhani unafunga safari kwenda kwake mpige story yani ina maana ni mbali kama ilibdii ulale lodge ulipofukuzwa.
This is Afrika acheni kuwaza kama mnavyoona kwenye movie za kikorea. Afrika ukija geto tafsiri ni kwamba umekubaliana na matokeo.
Tafsir YakeIla tumia maneno mengine siyo nipe muda nikuzoee. Wanaume wengi ambao ni serious, na ni alpha male na mwenye uwezo mkubwa wa kiakili hawezi kukubali kupewa muda, kwenye akili yake hiyo ni tafsiri ya wewe kusema hapana.
Watatafuta chombo kingine, hawataki kuchezewa akili na wanawake ambao wanataka attention kutoka kwao alafu hawataki kuirudisha. Isitoshe unaweza muomba mkutane next time mjuane zaidi. Mi nakuambia hivyo maana asilimia 98% ya wanawake hutamani kuwa na beta male( submissive male) baada ya kupigwa matukio na wakishampata , huwachukia kwasababu sio alpha male.
Mi nakuambia tu.
Nakazia[emoji4]Mpaka umfahamu vizuri shost? Kweli unakuwa huna upwiru[emoji17] mie game linaanzia mlangoni vile tu kanipokea.(kuoga baadae[emoji855]).Unajua Nini cute....kama ni mtu mbaya bas hata lodge hukustahili kwenda maana usingetoka salama bila kuchukua Figo yako.Umemtesa bure bro wa watu[emoji26]
SahiiMwanaume ukitaka kuheshimika be gentle,
Maintain kuropoka
Maintain mwili usiwe bonge na mwembamba
Vindevu vya uongo na kweli ,usiwe na mandevu holela
Pamba kali za kigentle na siyo kitoto wala kibishoo,
Afu balance shobo,
Utaombwa ww shoo na mdada ,na mkazie kwanza kidogo usiwe mwepesi pili usiwe mwaname wa kila mdada ,utamaintain heshima
[emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mbavu SinaUlikuwa hujui? Wanaume anaomba mtoke dinner utashangaa anabeba pakti ya rough rider na vuzi kanyoa wenyewe wanaita “Just in case” [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawajui kabisa bro, mi siwezi poteza muda wangu Kwa anayetaka kunipotezea muda.Tafsir Yake
Ke wengi hawajui nn wanataka[emoji4]
💯🤝Kikubwa we jua ukienda kwa mwanaume unaenda kuliwa hayo ya kuwa mpaka kufahamiana ni ya watoto wa chekechea
💯🤝Mnafahamiana kwani mnampango wa kufunga ndoa. Kula/liwa endelea na maisha mengine.
Maigizo igizo ni kupoteza muda na fedha zisizo za lazma kupotea
Mnayajenga baada ya kufanyaKuyajenga kwanza siyo kufanya
Ur such a good girl!maintain that........wasikutishe umekula vihela vya vocha kwani sh ngapi?Ndiyo