Kutumika Mbwa kwenye uokoaji Syria na Uturuki

Kutumika Mbwa kwenye uokoaji Syria na Uturuki

25:5
Na wakasema hivi ni visa vya watu wa kale alivyoviandikisha anavyosomewa asubuhi na
25:6
Sema,anayeteremsha haya ni ajuaye Siri za katika mbingu na ardhi,hakika yeye ni mwenye kusamehe,kurehemu
Sasa haya maneno ya mwanzo ulitoa wapi kama sio uzushi?haya chini
IMG_20230211_054749.jpg
 
Una hamu ya kutumia Aya au..nimesema nadhani sababu sikua na uhakika ni namba gani ya sura na aya
Kwenye Qu'ran tunapata wapi kuwa tunatakiwa tusome Surat_Fatha kwenye swala au unaswali kibubu ?
 
Kwenye Qu'ran tunapata wapi kuwa tunatakiwa tusome Surat_Fatha kwenye swala au unaswali kibubu ?
Achana nae uyo Akhi dishi limeyumba umo

Hawa ndo wale


( وَسَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ )

يس (10) Yaseen

Ni sawa sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawataamini.
 
Achana nae uyo Akhi dishi limeyumba umo

Hawa ndo wale


( وَسَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ )

يس (10) Yaseen

Ni sawa sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawataamini.
Mkiwa mnaulizwa msikimbilie ahaya.ukiulizwa injini ya V8 utaweka ahaya.

Ujibu kama wewe inaonyesha unajibu
 
Mkiwa mnaulizwa msikimbilie ahaya.ukiulizwa injini ya V8 utaweka ahaya.

Ujibu kama wewe inaonyesha unajibu
Ahaya ndo kitu kwanza?

Halafu usinifafnishe kiimani mm na ww kma ww hutumii imani yko vizuri basi nyamaza mna kuongea kitu bila ya ushahidi si vizuri
 
Ahaya ndo kitu kwanza?

Halafu usinifafnishe kiimani mm na ww kma ww hutumii imani yko vizuri basi nyamaza mna kuongea kitu bila ya ushahidi si vizuri
Kama.hivi lugha za watu "وَسَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ "
 
Nawapenda mbwa na mbwa ni rafiki wa binadamu wa Kweli...

Huko home pana mbwa aligongwa na boda boda akawa yupo mtaroni toka asubuhi mpaka jioni kwa jinsi alivyokua analalamika na alikua anaonekana mkali mimi nikawaita watoto tukambeba kwenye mfuko salfet ile ya mchele nikamwacha home pembeni nikapanda bar kwenda kununua chakula ikawa kila jioni napita bar za mjini ili waniwekee mafuta na kurudi nayo nilifikiri kuwaita watu wa mifugo wamtibu ila kila siku zinavyozidi kwenda akawa anapona tuu baadae akaja kuamka ila hawezi kukimbia swala la chakula likawa ndio kazi kila jioni...baadae nikaenda kutoa taarifa kwa mtendaji atangaze maana mbwa mwenyewe ni bonge la mbwa Mzuri na ana afya ikaenda wiki ya pili mwenye mbwa akapatikana kupitia watu wa boda boda nao waliona ile scenario uzuri jioni akaja home wakataka kumchukua akagoma kwenda...mimi nikamwita usiku nikampeleka kwao ishakua kazi sasa anachofanya anaenda kula tu huko asubuhi na jioni naporudi namkuta ndani maana pana fensi tuu ya uzio mbwa anaweza kupita hii nipo SA naambiwa huyo mbwa bado anakuja home kila usiku hafati chakula ni kuzunguka zunguka tuu na kuondoka...yule Mzazi alishukuru sana kwa kweli na anampenda kweli mbwa wake...niliwahi kufuga mbwa mara kadhaa mwingine huyu niligawa kisa alikua mkali kupita kiasi na ananijua mimi tuu na Wife nikaona isiwe tabu wale wazee wa mbwa nikawaita wakatoa mpunga kidogo wakamchukua natamani kuanza kufuga tena...mbwa mambo mengi ya Nje ya nyumba anakupa taarifa kabla hata hilo tukio litokee mbali ana mlio kama mfugaji utaelewa tuu...
 
Achana nae uyo Akhi dishi limeyumba umo

Hawa ndo wale


( وَسَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ )

يس (10) Yaseen

Ni sawa sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawataamini.
Akhi,jifunze uungwana,na Kama wataka kuwa daiah jifunze uvimilivu,Sina hakika na umri wako lakini Kama umefika 30 basi utakua na ukosefu wa busara,mtume saw akiishi na wakiristo na mayahudi na makufari,akila chakula Chao halali hao ahlul kitaab,akishindana nao kwa hoja na si dhihaka na matusi..Bali wao ndiyo waliokua wakikerwa na kushinda hoja zake,jifunze kuwavumilia watu walio mrengo tofauti na wako
Pitia pitia Qur'an 6:114
 
Unajua unajisi wa mbwa unakuja vipi, au ukoje? Unajua kama ni ruksa kufuga mbwa?

Mbwa mwenyewe hawezi kusemwa ni najisi kwa kutokuwa na dalili ya hilo, isipokuwa mate yake na majimaji ya puani mwake yanachukuliwa ni najisi ki-Shariy’ah ikiwa ni wa kufuga au vinginevyo kwa dalili iliyopatikana kutoka katika Hadiyth. Na kwa hivyo chombo chochote ambacho kitarambwa na mbwa kinapaswa kutwaharishwa kwa kuoshwa mara saba bila kutofautisha ni mbwa gani aliyekiramba, mojawapo kwa mchanga. Abuu Hurayrah (Radhwiya Allaahu ‘anhu) amesema, Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Kukitwahirisha chombo kilichorambwa na mbwa kunafanywa kwa kuosha mara saba, mojawapo kwa udongo” [Ahmad, Muslim, Abu Daawuwd na al-Bayhaqiy]

Na ikiwa ataramba chombo chenye chakula kikavu, kile chakula kilichoguswa na mdomo wa mbwa na kilicho pembezoni mwake kinatakiwa kitupwe, ama kilichobaki ni twahara kinaweza kubakishwa. Ama manyoya ya mbwa yakiwa makavu ni twahara. Sehemu iliyo najisi ya mbwa ni ule mdomo wake kwa ajili ya umandemande.

Hivyo, mtu kucheza na mbwa au kumpakata na kumfanya ni kichezeo, si jambo lenye kushauriwa kwa kupatikana uwezekano wa kunuswa au kurambwa nguo yake na maeneo ya kuswalia na sehemu mbalimbali za nyumba yake. Mbwa si kama paka, hivyo si jambo zuri watu kuiga tabia za wasio Waislamu na wao kuanza kufuga mbwa wa vichezeo na kuwafanya kama paka. Muislamu hata akibidi kuwa na mbwa wa ulinzi, anapaswa amweke nje ya nyumba; uani au sehemu ambayo si ndani ya nyumba ili kuepuka kutiliwa najisi vyombo, nguo na sehemu za kufanyia 'ibaadah.

Unajisi wa umbwa ukoje tena??hizi dini ni ujinga mtupu.
 
"Mwisho nikuulize wewe unaswali!? kama ndio umejuaje namna ya kuswali? wakati kwenye quran hakuna pahala pa muongozo wa namna ya kuswali?."
[emoji115]
Huwa nawasikia sana mkisema kuwa Quran haijaacha kitu. MBONA SASA QURAN IMEACHA KUTOA MUONGOZO WA NAMNA YA KUSWALI?
Quran imetaja mambo yote yanayohitajika na mwanadamu kwaajili ya malengo yake ya dunia na akherah, hata swala imetajwa katika quran ila ufafanuzi wake ameutoa mtume swala na salaam ziwe juu yake kwasababu ndio kazi yake kutubainisha na kutuwekea wazi zaidi quran.

Na maneno yake ni sehemu katika wahy{ufunuo}.
 
N
Unajua unajisi wa mbwa unakuja vipi, au ukoje? Unajua kama ni ruksa kufuga mbwa?

Mbwa mwenyewe hawezi kusemwa ni najisi kwa kutokuwa na dalili ya hilo, isipokuwa mate yake na majimaji ya puani mwake yanachukuliwa ni najisi ki-Shariy’ah ikiwa ni wa kufuga au vinginevyo kwa dalili iliyopatikana kutoka katika Hadiyth. Na kwa hivyo chombo chochote ambacho kitarambwa na mbwa kinapaswa kutwaharishwa kwa kuoshwa mara saba bila kutofautisha ni mbwa gani aliyekiramba, mojawapo kwa mchanga. Abuu Hurayrah (Radhwiya Allaahu ‘anhu) amesema, Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Kukitwahirisha chombo kilichorambwa na mbwa kunafanywa kwa kuosha mara saba, mojawapo kwa udongo” [Ahmad, Muslim, Abu Daawuwd na al-Bayhaqiy]

Na ikiwa ataramba chombo chenye chakula kikavu, kile chakula kilichoguswa na mdomo wa mbwa na kilicho pembezoni mwake kinatakiwa kitupwe, ama kilichobaki ni twahara kinaweza kubakishwa. Ama manyoya ya mbwa yakiwa makavu ni twahara. Sehemu iliyo najisi ya mbwa ni ule mdomo wake kwa ajili ya umandemande.

Hivyo, mtu kucheza na mbwa au kumpakata na kumfanya ni kichezeo, si jambo lenye kushauriwa kwa kupatikana uwezekano wa kunuswa au kurambwa nguo yake na maeneo ya kuswalia na sehemu mbalimbali za nyumba yake. Mbwa si kama paka, hivyo si jambo zuri watu kuiga tabia za wasio Waislamu na wao kuanza kufuga mbwa wa vichezeo na kuwafanya kama paka. Muislamu hata akibidi kuwa na mbwa wa ulinzi, anapaswa amweke nje ya nyumba; uani au sehemu ambayo si ndani ya nyumba ili kuepuka kutiliwa najisi vyombo, nguo na sehemu za kufanyia 'ibaadah.
Nimeishi na mbwa miaka zaidi ya 10 na walikuwa wananirukia wananilamba lamba sijawahi vunjika hada kidole cha mguu. Paka ndio usiseme hizi sheria zingine muwe mna update tusitiane tabu tu.
 
Mafundisho ya uislamu yamebainisha tofauti baina ya mbwa mwenye mafunzo na mbwa koko tu mzururaji, huyu mwenye mafunzo akikamata kiwindwa kuna hukmu yake na huyu mbwa koko asiyeelewa lolote akikamata pia kuna hukmu yake, haya si mageni yametajwa kwenye uislamu.

Wala mkuu huwezi kupata upenyo wa kuusema uislamu kwa hoja hata siku moja, labda uamue tu mwenyewe kwa ubishi, ama dini ya kiislamu imeyataja yote hayo na wanawachuoni allah awarehemu wameyanukuu katika vitabu vyao vya mambo ya fiqhi huko kwenye milango ya الصيد و الذبائح.

Kwahiyo mungu wa waarabu anahukumu hadi mbwa wenye mafunzo na mbwa koko,duuh dini ya kubumba hii.,kwahiyo hao mbwa wenyw mafunzo sio halamu na wao watapewa bikra 70. ??
 
Kwahiyo mungu wa waarabu anahukumu hadi mbwa wenye mafunzo na mbwa koko,duuh dini ya kubumba hii.,kwahiyo hao mbwa wenyw mafunzo sio halamu na wao watapewa bikra 70. ??
Huo ndo uislamu haukuacha kitu kwenye mambo yote mwanadamu anayoyahitajia, usishangae mbwa bali tumefundishwa mpaka namna ya kukidhi haja na kujisafisha.

Dini nzuri na kamilifu iliyoje.
 
Nani alikwambia kuwa waislamu wameambiwa wasitumie vya kafiri? Hiyo ni generalised statement. Enzi za Mtume walikuweko manasara (christians) na mayahudi (jews) na walikuwa wakifanya biashara hapo Makka, sasa ingekuwa hivyo unavyosema ni sahihi si angesema wasiende kwa hao wafanya biashara kununua vitu?

Kuna vitu maalumu ndiyo vimekatazwa (na hata kuiga) siyo vyote.

Unajua maana ya boko haramu wewe,?
 
Nyie mafarisayo muwe mnauliza basi jmni sio kila siku kuamka na kuudhihaki Uislamu ilihali ww umemezeshwa ujinga mtupu

Mbwa kutumika kwenye shughuli kma hizo hakuna shida yyte mna kwa apo ameonekana ni kiumbe ambae anaweza kusaidia uokoaji
Mbwa anaruhusiwa kutumika kwenye uwindaji pia lkn kilichokatazwa ni kule kucheza na mbwa na kuwakumbatia kma watoto
We huoni kinyaa mbwa akikuramba ? Tuanze hpa kwanza

Mbwa kuokoa na kuwinda anakua halali ila kumshika na kukugusa anakuwa ni haramu,abusrd.
 
Back
Top Bottom