Acheni kuhalalisha na kuharamisha vile ambavyo Allah sw hakuhalalisha Wala kuharamisha,Qur'an 5:4 Haina shida na mbwaKatika uislami mbwa anaweza kutumika Kwa ajili ya ulinzi, kulinda au kufanya uokozi kama unavyofanyika huko uturuki na Syria.
Uharamu ni kumla au kuishi nae kama mtu (ile kula nae ndani kama mtoto au mdori)