Kutumika Mbwa kwenye uokoaji Syria na Uturuki

Kutumika Mbwa kwenye uokoaji Syria na Uturuki

Nimekuita kwenye mjadala unaniletea hoja ya vinamba namba, swala kwa mujibu wa quran iko wapi!?.

Umar amepinga hadithi za mtume? kuandikwa miaka 150 baada ya kufa kwa mtume kuna ubaya gani ikiwa wakati wake na wakati wa maswahaba hakukuwa na haja ya kufanya hivyo? kabla hujakimbilia kwenye hadithi kwanini haushangai quran kukusanywa baada ya kufa kwa mtume kwa miaka kadhaa?.
Matusi na dharau umeacha!!?..fanya mjadala na wengine sheikh
 
Nimekuita kwenye mjadala unaniletea hoja ya vinamba namba, swala kwa mujibu wa quran iko wapi!?.

Umar amepinga hadithi za mtume? kuandikwa miaka 150 baada ya kufa kwa mtume kuna ubaya gani ikiwa wakati wake na wakati wa maswahaba hakukuwa na haja ya kufanya hivyo? kabla hujakimbilia kwenye hadithi kwanini haushangai quran kukusanywa baada ya kufa kwa mtume kwa miaka kadhaa?.
Kakwambia nani Qur'an imekusanywa baada ya mtume kufa!!.
 
QUR'AN 25:5-6
Na wakasema hivi ni visa vya watu wa kale 'alovyoviandikisha',anasomewa asubuhi na jioni
Aisee unaelewa unachokiandika au unakuu aya tu? nakwambia hivi leta ushahidi kuwa quran imekusanywa mtume swala na salaam ziwe juu yake akiwa hai, ama hiyo aya haihusiani na mada yetu acha kujizima data basi mkuu?.
 
Mbwa mwenyewe hawezi kusemwa ni najisi kwa kutokuwa na dalili ya hilo, isipokuwa mate yake na majimaji ya puani mwake yanachukuliwa ni najisi ki-Shariy’ah ikiwa ni wa kufuga au vinginevyo kwa dalili iliyopatikana kutoka katika Hadiyth. Na kwa hivyo chombo chochote ambacho kitarambwa na mbwa kinapaswa kutwaharishwa kwa kuoshwa mara saba bila kutofautisha ni mbwa gani aliyekiramba, mojawapo kwa mchanga. Abuu Hurayrah (Radhwiya Allaahu ‘anhu) amesema, Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Kukitwahirisha chombo kilichorambwa na mbwa kunafanywa kwa kuosha mara saba, mojawapo kwa udongo” [Ahmad, Muslim, Abu Daawuwd na al-Bayhaqiy]



Na ikiwa ataramba chombo chenye chakula kikavu, kile chakula kilichoguswa na mdomo wa mbwa na kilicho pembezoni mwake kinatakiwa kitupwe, ama kilichobaki ni twahara kinaweza kubakishwa. Ama manyoya ya mbwa yakiwa makavu ni twahara. Sehemu iliyo najisi ya mbwa ni ule mdomo wake kwa ajili ya umandemande.



Hivyo, mtu kucheza na mbwa au kumpakata na kumfanya ni kichezeo, si jambo lenye kushauriwa kwa kupatikana uwezekano wa kunuswa au kurambwa nguo yake na maeneo ya kuswalia na sehemu mbalimbali za nyumba yake. Mbwa si kama paka, hivyo si jambo zuri watu kuiga tabia za wasio Waislamu na wao kuanza kufuga mbwa wa vichezeo na kuwafanya kama paka. Muislamu hata akibidi kuwa na mbwa wa ulinzi, anapaswa amweke nje ya nyumba; uani au sehemu ambayo si ndani ya nyumba ili kuepuka kutiliwa najisi vyombo, nguo na sehemu za kufanyia 'ibaadah.
SAwa shekhe lakini..Mbwa tunawaona wanatumika hawajafunikwa pia Wala midomo Yao sasa hiyo najisi Inaepukika vp wakati hao Mbwa wananussa mpaka sehemu manusura walipo
Je hao manusura wanaenda kuswali? Unajua najisi ni nini?
 
Mbwa bado anaonekana ni kiumbe chenye msaada sana kwa binadamu. Kwa sasa Mbwa anatumia sana kwenye nchi ambazo zimepata majanga ya tetemeko Hivi karibuni yaani Syria na Uturuki.

Najiuliza nchi hizi ni za kiislamu vipi kuruhusu Mbwa atumike wakati kwa uislamu Mbwa ni najisi. Nauliza tu kupata uelewa siyo vita.
Si huwa wanamwita haramu hasa ile pua yake au kitabu kimeshafanyiwa marekebisho siku hizi?
 
Mbwa bado anaonekana ni kiumbe chenye msaada sana kwa binadamu. Kwa sasa Mbwa anatumia sana kwenye nchi ambazo zimepata majanga ya tetemeko Hivi karibuni yaani Syria na Uturuki.

Najiuliza nchi hizi ni za kiislamu vipi kuruhusu Mbwa atumike wakati kwa uislamu Mbwa ni najisi. Nauliza tu kupata uelewa siyo vita.
Kama vitu hujui uliza, waislam wamefundishwa jinsi ya kuishi na hao viumbe
 
Huyo Kama ni kadiri na anajua mbwa ni nahisi basi anajua hivyo kwa kuwa waislam wanasema hivyo,lakini Qur'an 5:4 inasemaje!?
Ebu kajifunze kuandika kwanza halafu njoo tena
 
Matusi Tena sheikh wangu!!!?..wajinga na wapotofu ni wewe na wenzako mnaofuata maneno ya watu na kumzulia Allah uwongo Kisha mkasema haya yanatoka kwa Allah
Tusi liko wapi?

Endelea kukaza fuvu lako siku ya siku utakuja kujuta
 
Najua kuandika kabla hata mama yako hajavunja ungo sheikh
Kijana kua na adabu basi sasa mama angu ameingiaje apo?
Isitoshe mama ameshafariki zamani sanaa

Kwa hili niombe radhi kijana
 
Kijana kua na adabu basi sasa mama angu ameingiaje apo?
Isitoshe mama ameshafariki zamani sanaa

Kwa hili niombe radhi kijana
Ni ukweli hata Kama kafariki siku nyingi.. siwezi kuomba Radhi,siombi Radhi wasio waungwana,watusi,watu wa dhihaka,kejeli na dharau
 
Ni ukweli hata Kama kafariki siku nyingi.. siwezi kuomba Radhi,siombi Radhi wasio waungwana,watusi,watu wa dhihaka,kejeli na dharau
Mungu atanilipia sina maneno mengi
 
Katika uislami mbwa anaweza kutumika Kwa ajili ya ulinzi, kulinda au kufanya uokozi kama unavyofanyika huko uturuki na Syria.

Uharamu ni kumla au kuishi nae kama mtu (ile kula, kulala nae na kukaa nae ndani kama mtoto au mdori)
 
Mbwa anapokamata mawindo je mate hayawezi kugusa mawindo?
Iweje nyama iliyokamatwa na mbwa sio najisi?
Je utamla mnyama bila kumsafisha..
Unajua najisi lakini?
Elimu yangu ndogo mbwa anasaidia kwenye kuwinda, anasaidia kukamata, kisha wewe unamcchinja kisha unamfanyia utaratibu woote, kumchuna ngozi, kumsafisha, kumpika na kumla...
Mnyama akishauwawa na mbwa si kibudu hicho?

Mbwa anakamata, utachinja, nyama utaiosha na utaila..
Kwani hiyo najisi ya mbwa haisafishiki, mtu si anajisafisha na anaenda kwenye ibada, ndio itakuwa msosi?!!
 
Je utamla mnyama bila kumsafisha..
Unajua najisi lakini?
Elimu yangu ndogo mbwa anasaidia kwenye kuwinda, anasaidia kukamata, kisha wewe unamcchinja kisha unamfanyia utaratibu woote, kumchuna ngozi, kumsafisha, kumpika na kumla...
Mnyama akishauwawa na mbwa si kibudu hicho?

Mbwa anakamata, utachinja, nyama utaiosha na utaila..
Kwani hiyo najisi ya mbwa haisafishiki, mtu si anajisafisha na anaenda kwenye ibada, ndio itakuwa msosi?!!
Mwawindo ya najisi yalipaswa yawe najisi
 
Back
Top Bottom