Kutumika Mbwa kwenye uokoaji Syria na Uturuki

Kutumika Mbwa kwenye uokoaji Syria na Uturuki

Kama huna maswali ya maana basi tuangalie mpira sheikh,unaleta utoto
Jibu swali una uhakika gani kama mimi ni mtoto? nakuuliza quran ilishuka yote kwa pamoja? kama sivyo iweje iwe kitabu kamili wakati huohuo bado inashuka? kwa mujibu wa aya uliyotuma.
 
Maelezo yake hayayooki kama wapinga hadithi wengine wakina Faiza unaweza kujadiliana hoja kwa hoja sababu wanzingatia kile wanachoandika na kujibu mjadala vile inavyotakiwa ,nilichogundua uwezo wake wa kung'amua vitu ni mdogo sana haswa baada ya kuweka aya fulani hapo juu ambayo haina mahusiano hata kidogo na kile anachodai hata kea kuisoma tu..
Jambo baya kabisa kukataa yale aliyoyazungumza mtume swalla llahu alayhi wa sallam.
 
Mbwa bado anaonekana ni kiumbe chenye msaada sana kwa binadamu. Kwa sasa Mbwa anatumia sana kwenye nchi ambazo zimepata majanga ya tetemeko Hivi karibuni yaani Syria na Uturuki.

Najiuliza nchi hizi ni za kiislamu vipi kuruhusu Mbwa atumike wakati kwa uislamu Mbwa ni najisi. Nauliza tu kupata uelewa siyo vita.
Wanafik sana ndugu zetu. Sema ndio shida ya false religions. In real life ni hovyo, ila wakiongea utadhani yani wameshakabithiwa pepo yote 🤣
 
Kwa nini wasihusike!?..Ila kumtusi mtu ipo sawa walau kidogo!?..iliposemwa fikisha ujumbe kwa hikma palikua na maana yake,siyo unaleta jazba na kutusi watu kana kwamba haiwezekani wewe kukuudhi kwa maneno ya kifedhuli...ajifunze mijadala,ni kweli nilianza darasa la kwanza 1972,Kama mama yake alikua kapevuka tayari kipindi hicho aniwie radhi,Ila mwambie aniombe radhi pia
Kwa nini wasihusike!?..Ila kumtusi mtu ipo sawa walau kidogo!?..iliposemwa fikisha ujumbe kwa hikma palikua na maana yake,siyo unaleta jazba na kutusi watu kana kwamba haiwezekani wewe kukuudhi kwa maneno ya kifedhuli...ajifunze mijadala,ni kweli nilianza darasa la kwanza 1972,Kama mama yake alikua kapevuka tayari kipindi hicho aniwie radhi,Ila mwambie aniombe radhi pia
Qu'ran inafundisha malipo ya uovu ni Sawa na uovu wenyewe lakini kusamehe ni bora , sasa kama umeona katika maneno yake kuna tusi ambalo mimi nimeona kasema "mjinga mkubwa mpotoshaji" si ungemshambulia yeye binafsi Sawa na yale ambayo wewe unaona amekukosea kuliko kuingizia mambo ya wazazi ambayo ni kawaida ya watoto wadogo na vijana wa hovyo ?

surah-ash-shuraa-ayat-40.png
 
Soma hiyo aya vizuri.. Katika vilivyohalalishwa ni pamoja na huyo muwindaji au kilichowindwa?
Kisharia kila Jambo ni halali Bali mpaka liharamishwe,hakuna Aya ya kuharamisha mbwa Bali Pana Aya ya kuonesha Kuna manufaa katika mbwa,Sasa kwa nini tunasema mbwa ni najisi!?
 
Jambo baya kabisa kukataa yale aliyoyazungumza mtume swalla llahu alayhi wa sallam.
Ni sawa kabisa na kupinga Qu'ran yenyewe
Jambo baya kabisa kukataa yale aliyoyazungumza mtume swalla llahu alayhi wa sallam.
Ni Sawa kabisa kupinga Qu'ran yenyewe kwani Qu'ran hiyo hiyo Allah anataka watu waende kwa Mtume Muhammad (upon him be peace and blessing of Allah) akatoe hukumu baina yao tena zinasema Allah na Mtume wake kuhukumu hapo inatilia umuhimu Sunna ingekuwa Qu'ran tupu ingedirect moja kwa moja Qu'ran.
da2ee821768ee2934f14bb28346f4ea0.jpg


IMG_20230210_235808.jpg
 
Kwa hiyo huo mfumo wa kitabu wakati huo Qu'ran ilikuwa ishaandikwa kabisa ? Kama ndio kivipi iwe hivyo wakati ilikuwa nado inaendelea kushuka ?
Aya ikishuka inaandikwa katika sura yake
 
Qu'ran inafundisha malipo ya uovu ni Sawa na uovu wenyewe lakini kusamehe ni bora , sasa kama umeona katika maneno yake kuna tusi ambalo mimi nimeona kasema "mjinga mkubwa mpotoshaji" si ungemshambulia yeye binafsi Sawa na yale ambayo wewe unaona amekukosea kuliko kuingizia mambo ya wazazi ambayo ni kawaida ya watoto wadogo na vijana wa hovyo ?

View attachment 2513134
Mosi sijatukana,pili alinianza..sikumchagulia tusi la kunitukana so nisichaguliwe namna ya kujibu..na hata Kama ningekua nimemtusi ilikua sahihi tusi kwa tusi,tatu Nina haki ya kulipa kisasi japo kusamehe ni bora
 
Kama utauweza mjadala kwa hekma na maarifa na adabu na utii pasi na dharau na kejeli karibu.

Sisi tuna ahadi na allah subhaanah ya kuihifadhi dini yake na kuiepusha na kubadilishwa kama yalivyofanywa mafundisho yaliyotangulia kwa mitume wengine, na jambo la pili ni kuwa mapokeo yetu ya kiislamu yamelindwa na sanad huu ni mtiririko wa wapokezi na hapa kuna vigezo vigumu sana vimewekwa kuhakikisha habari iliyopokelewa ni sahihi, hassan, dhaifu au ya kutungwa.

Ukiyajua hayo sasa tutakuja kwenye malengo ya kuandikwa hadithi kwanini hazikuandikwa mwanzo zikaja kuandikwa baadae?.

Mwisho nikuulize wewe unaswali!? kama ndio umejuaje namna ya kuswali? wakati kwenye quran hakuna pahala pa muongozo wa namna ya kuswali?.

karibu.
"Mwisho nikuulize wewe unaswali!? kama ndio umejuaje namna ya kuswali? wakati kwenye quran hakuna pahala pa muongozo wa namna ya kuswali?."
[emoji115]
Huwa nawasikia sana mkisema kuwa Quran haijaacha kitu. MBONA SASA QURAN IMEACHA KUTOA MUONGOZO WA NAMNA YA KUSWALI?
 
Hiyo aya mbona haitoi maelezo hayo kuwa anapopata wahyi anawaambia watu waandike na kujiridhisha kisha kuwaambia soma wewe umetoa wapi ? aya hiyo chini nionyeshe mahala popote panapo sapoti kauli yakoView attachment 2513160 ,
25:5
Na wakasema hivi ni visa vya watu wa kale alivyoviandikisha anavyosomewa asubuhi na
25:6
Sema,anayeteremsha haya ni ajuaye Siri za katika mbingu na ardhi,hakika yeye ni mwenye kusamehe,kurehemu
 
Halafu neno ulilotumia "nadhani" kwenye mizani za kielimu haswa ya dini halitumiki kabisa na ni kuashiria cha upotovu wa mtu kwani hata kwenye Qu'ran (An_najm 52) Allah anasema "hawafuati ila dhana na dhana haifai kitu mbele ya haki"

Hiyo aya kwa jinsi ulivyoitafsiri inaashiria Moja kwa Moja unatumia tafsiri ya kiswahili fake maana ukirudi katika uhalisia wake kiarabu maneno yako mengi yanatowela na kudhihirisha uzushi dhahiri..
Una hamu ya kutumia Aya au..nimesema nadhani sababu sikua na uhakika ni namba gani ya sura na aya
 
Naam huwaoni watu wanamfuga kama pet? wa kumpakata pakata na kumbusu busu kumuweka kwenye makochi sebuleni.


Tena wao humuita "family member", na kama akifa huwa ni msiba mithili ya msiba wa mtu aliyekufa.
 
Utasikia Dini ya haki... Team Mnyaazi utawaweza basi
 
Usikute mbwa wenyewe wanajua sisi binadamu ni najisi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] binadamu ndiyo kiumbe dhaifu kuliko wote Lakini hatari kuliko wanyama wote duniani hatabiriki,hana huruma,na mharibifu,ila kwasababu aliumbwa na akili kubwa IQ yake ndiyo inayomsaidia aweze kumfuga hata tembo [emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom