Sasa haya maneno ya mwanzo ulitoa wapi kama sio uzushi?haya chini25:5
Na wakasema hivi ni visa vya watu wa kale alivyoviandikisha anavyosomewa asubuhi na
25:6
Sema,anayeteremsha haya ni ajuaye Siri za katika mbingu na ardhi,hakika yeye ni mwenye kusamehe,kurehemu
Kwenye Qu'ran tunapata wapi kuwa tunatakiwa tusome Surat_Fatha kwenye swala au unaswali kibubu ?Una hamu ya kutumia Aya au..nimesema nadhani sababu sikua na uhakika ni namba gani ya sura na aya
Achana nae uyo Akhi dishi limeyumba umoKwenye Qu'ran tunapata wapi kuwa tunatakiwa tusome Surat_Fatha kwenye swala au unaswali kibubu ?
Mkiwa mnaulizwa msikimbilie ahaya.ukiulizwa injini ya V8 utaweka ahaya.Achana nae uyo Akhi dishi limeyumba umo
Hawa ndo wale
( وَسَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ )
يس (10) Yaseen
Ni sawa sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawataamini.
Ahaya ndo kitu kwanza?Mkiwa mnaulizwa msikimbilie ahaya.ukiulizwa injini ya V8 utaweka ahaya.
Ujibu kama wewe inaonyesha unajibu
Kama.hivi lugha za watu "وَسَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ "Ahaya ndo kitu kwanza?
Halafu usinifafnishe kiimani mm na ww kma ww hutumii imani yko vizuri basi nyamaza mna kuongea kitu bila ya ushahidi si vizuri
Wanakambia quruan ilishushwa sasa unajiuliza iliyoshushwa ni amri kumi za mungu tu.Mbwa ni rafiki asiye mnafiki
Akhi,jifunze uungwana,na Kama wataka kuwa daiah jifunze uvimilivu,Sina hakika na umri wako lakini Kama umefika 30 basi utakua na ukosefu wa busara,mtume saw akiishi na wakiristo na mayahudi na makufari,akila chakula Chao halali hao ahlul kitaab,akishindana nao kwa hoja na si dhihaka na matusi..Bali wao ndiyo waliokua wakikerwa na kushinda hoja zake,jifunze kuwavumilia watu walio mrengo tofauti na wakoAchana nae uyo Akhi dishi limeyumba umo
Hawa ndo wale
( وَسَوَاءٌ عَلَيْهِمْ أَأَنذَرْتَهُمْ أَمْ لَمْ تُنذِرْهُمْ لَا يُؤْمِنُونَ )
يس (10) Yaseen
Ni sawa sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawataamini.
Unajua unajisi wa mbwa unakuja vipi, au ukoje? Unajua kama ni ruksa kufuga mbwa?
Mbwa mwenyewe hawezi kusemwa ni najisi kwa kutokuwa na dalili ya hilo, isipokuwa mate yake na majimaji ya puani mwake yanachukuliwa ni najisi ki-Shariy’ah ikiwa ni wa kufuga au vinginevyo kwa dalili iliyopatikana kutoka katika Hadiyth. Na kwa hivyo chombo chochote ambacho kitarambwa na mbwa kinapaswa kutwaharishwa kwa kuoshwa mara saba bila kutofautisha ni mbwa gani aliyekiramba, mojawapo kwa mchanga. Abuu Hurayrah (Radhwiya Allaahu ‘anhu) amesema, Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Kukitwahirisha chombo kilichorambwa na mbwa kunafanywa kwa kuosha mara saba, mojawapo kwa udongo” [Ahmad, Muslim, Abu Daawuwd na al-Bayhaqiy]
Na ikiwa ataramba chombo chenye chakula kikavu, kile chakula kilichoguswa na mdomo wa mbwa na kilicho pembezoni mwake kinatakiwa kitupwe, ama kilichobaki ni twahara kinaweza kubakishwa. Ama manyoya ya mbwa yakiwa makavu ni twahara. Sehemu iliyo najisi ya mbwa ni ule mdomo wake kwa ajili ya umandemande.
Hivyo, mtu kucheza na mbwa au kumpakata na kumfanya ni kichezeo, si jambo lenye kushauriwa kwa kupatikana uwezekano wa kunuswa au kurambwa nguo yake na maeneo ya kuswalia na sehemu mbalimbali za nyumba yake. Mbwa si kama paka, hivyo si jambo zuri watu kuiga tabia za wasio Waislamu na wao kuanza kufuga mbwa wa vichezeo na kuwafanya kama paka. Muislamu hata akibidi kuwa na mbwa wa ulinzi, anapaswa amweke nje ya nyumba; uani au sehemu ambayo si ndani ya nyumba ili kuepuka kutiliwa najisi vyombo, nguo na sehemu za kufanyia 'ibaadah.
Quran imetaja mambo yote yanayohitajika na mwanadamu kwaajili ya malengo yake ya dunia na akherah, hata swala imetajwa katika quran ila ufafanuzi wake ameutoa mtume swala na salaam ziwe juu yake kwasababu ndio kazi yake kutubainisha na kutuwekea wazi zaidi quran."Mwisho nikuulize wewe unaswali!? kama ndio umejuaje namna ya kuswali? wakati kwenye quran hakuna pahala pa muongozo wa namna ya kuswali?."
[emoji115]
Huwa nawasikia sana mkisema kuwa Quran haijaacha kitu. MBONA SASA QURAN IMEACHA KUTOA MUONGOZO WA NAMNA YA KUSWALI?
Hahaha.Isitoshe Kaka yake shetani ni mbaya zaidi kuliko shetani mwenyewe.
Nimemtaka anioneshe namna ya kuswali tangu jana anaruka ruka tu.Kwenye Qu'ran tunapata wapi kuwa tunatakiwa tusome Surat_Fatha kwenye swala au unaswali kibubu ?
Nimeishi na mbwa miaka zaidi ya 10 na walikuwa wananirukia wananilamba lamba sijawahi vunjika hada kidole cha mguu. Paka ndio usiseme hizi sheria zingine muwe mna update tusitiane tabu tu.Unajua unajisi wa mbwa unakuja vipi, au ukoje? Unajua kama ni ruksa kufuga mbwa?
Mbwa mwenyewe hawezi kusemwa ni najisi kwa kutokuwa na dalili ya hilo, isipokuwa mate yake na majimaji ya puani mwake yanachukuliwa ni najisi ki-Shariy’ah ikiwa ni wa kufuga au vinginevyo kwa dalili iliyopatikana kutoka katika Hadiyth. Na kwa hivyo chombo chochote ambacho kitarambwa na mbwa kinapaswa kutwaharishwa kwa kuoshwa mara saba bila kutofautisha ni mbwa gani aliyekiramba, mojawapo kwa mchanga. Abuu Hurayrah (Radhwiya Allaahu ‘anhu) amesema, Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) amesema: “Kukitwahirisha chombo kilichorambwa na mbwa kunafanywa kwa kuosha mara saba, mojawapo kwa udongo” [Ahmad, Muslim, Abu Daawuwd na al-Bayhaqiy]
Na ikiwa ataramba chombo chenye chakula kikavu, kile chakula kilichoguswa na mdomo wa mbwa na kilicho pembezoni mwake kinatakiwa kitupwe, ama kilichobaki ni twahara kinaweza kubakishwa. Ama manyoya ya mbwa yakiwa makavu ni twahara. Sehemu iliyo najisi ya mbwa ni ule mdomo wake kwa ajili ya umandemande.
Hivyo, mtu kucheza na mbwa au kumpakata na kumfanya ni kichezeo, si jambo lenye kushauriwa kwa kupatikana uwezekano wa kunuswa au kurambwa nguo yake na maeneo ya kuswalia na sehemu mbalimbali za nyumba yake. Mbwa si kama paka, hivyo si jambo zuri watu kuiga tabia za wasio Waislamu na wao kuanza kufuga mbwa wa vichezeo na kuwafanya kama paka. Muislamu hata akibidi kuwa na mbwa wa ulinzi, anapaswa amweke nje ya nyumba; uani au sehemu ambayo si ndani ya nyumba ili kuepuka kutiliwa najisi vyombo, nguo na sehemu za kufanyia 'ibaadah.
Mafundisho ya uislamu yamebainisha tofauti baina ya mbwa mwenye mafunzo na mbwa koko tu mzururaji, huyu mwenye mafunzo akikamata kiwindwa kuna hukmu yake na huyu mbwa koko asiyeelewa lolote akikamata pia kuna hukmu yake, haya si mageni yametajwa kwenye uislamu.
Wala mkuu huwezi kupata upenyo wa kuusema uislamu kwa hoja hata siku moja, labda uamue tu mwenyewe kwa ubishi, ama dini ya kiislamu imeyataja yote hayo na wanawachuoni allah awarehemu wameyanukuu katika vitabu vyao vya mambo ya fiqhi huko kwenye milango ya الصيد و الذبائح.
Huo ndo uislamu haukuacha kitu kwenye mambo yote mwanadamu anayoyahitajia, usishangae mbwa bali tumefundishwa mpaka namna ya kukidhi haja na kujisafisha.Kwahiyo mungu wa waarabu anahukumu hadi mbwa wenye mafunzo na mbwa koko,duuh dini ya kubumba hii.,kwahiyo hao mbwa wenyw mafunzo sio halamu na wao watapewa bikra 70. ??
Nani alikwambia kuwa waislamu wameambiwa wasitumie vya kafiri? Hiyo ni generalised statement. Enzi za Mtume walikuweko manasara (christians) na mayahudi (jews) na walikuwa wakifanya biashara hapo Makka, sasa ingekuwa hivyo unavyosema ni sahihi si angesema wasiende kwa hao wafanya biashara kununua vitu?
Kuna vitu maalumu ndiyo vimekatazwa (na hata kuiga) siyo vyote.
Nyie mafarisayo muwe mnauliza basi jmni sio kila siku kuamka na kuudhihaki Uislamu ilihali ww umemezeshwa ujinga mtupu
Mbwa kutumika kwenye shughuli kma hizo hakuna shida yyte mna kwa apo ameonekana ni kiumbe ambae anaweza kusaidia uokoaji
Mbwa anaruhusiwa kutumika kwenye uwindaji pia lkn kilichokatazwa ni kule kucheza na mbwa na kuwakumbatia kma watoto
We huoni kinyaa mbwa akikuramba ? Tuanze hpa kwanza