Kuuawa kwa majenerali wa Urusi na vita kuchukua muda mrefu ni ishara kuwa jeshi hilo halina uwezo unaosemwa

Huyu Raisi wa Ukraine anaendesha vita kikomrdy. Anamdunda mtu halafu anapiga kelele yeye kuwa anapigwa.ni sawa na mwanamke anamdunda mumewe lakini kelele anapiga yeye ananiuaa
 
Huyu Raisi wa Ukraine anaendesha vita kikomrdy. Anamdunda mtu halafu anapiga kelele yeye kuwa anapigwa.ni sawa na mwanamke anamdunda mumewe lakini kelele anapiga yeye ananiuaa
Umechelewa kugundua hilo
 
Teh teh teh sisi tunaongelea Marekani kuthibiti visima vya mafuta vya Syria wewe unaongelea makampuni ya mafuta yaliyokuwa yanafanya biashara ya uchimbaji wa mafuta Syria.
Sasa kadhibitije wakati biashara inaendelea Kufanyika na serikali inamiliki 50%na zingine kampuni za China na India biashara inaendelea kufanyika bila shida yoyote.
 
Hawamiliki hata kidogo na serikali inaendelea kuuza mafuta huku makampuni ya mabeberu yakiondoka yamebaki ya China na India.biashara inaendelea huku serikali inamiliki 50%
Kwani hoja yako ilikuwa makampuni ya mafuta ya Mabeberu kuwepo Syria au Jeshi la Marekani kumiliki visima vya mafuta vilivyopo Mashariki mwa Syria?
 
Bwana Utam
Paula Paul
Mwamaleki
STRUGGLE MAN
 
Yeye mrusi mwenyewe anataka muamini kuwa hana silaha za maana zaid ya nuclear. Unapo mu underestimate adui tayari umejijengea mazingira ya kushindwa.

Anyways juzi kati alijaribu ile hypersonic apo Ukraine, first time to be used in war.

Then inaonekana sasa amebadilisha mbinu, anakutaka mashariki na kusini afike kwa Moldova wajaribiane kwa ajili ya Transgender region ( πŸ˜€ )
 
 
Naona ume jijibu mkuu yote ulio yaandika ndio makosa ya Russia kwa Ukraine.
 
Mrusi hataki.kumaliza vita ni faida yake kwanza anaziteka Sila za western na zingine anaziripua. Hao mageneral wanasema wamekufa mbona hawajatuonyesha. Hata waziri wa majeshi walisema kafa wengine wakisema kafukuzwa na Putin mara tunamuona hai na yuko meza Moja na Putin
 
inaonekana hali ya upambanaji ya wanajeshi wa Russia iko chini sana kiasi kwamba inalazimika kiongozi mkuu aende uwanja wa mapigano (frontline) kutoa maelekezo na kuamsha molari ya vijana wao.
wataalam wengine wa kivita wanaainisha kuwa Urusi hutumia mfumo wa "single line extended" mfumo ambao hutoa fursa ya kupata hasara kubwa pale ambapo adui atapiga kwenye target
 
Nkobe
Mkuu uliona mbali sana.Mpaka leo Russia inasumbuka sana na hivi vita.Wanajeshi wake wengi (zaidi elfu 54) wamepoteza maisha,majeruhi kibao,vifaa vyao vingi vya kijeshi vimetekwa na kuharibiwa.
Putin ni sikio la kufa.......πŸ€”
 
Halafu kuna watu utawasikia eti Urusi hatumii jeshi huko Ukraine anatumia wafungwa tu,sasa hao majenerali wanatoka wapi?!

Jamaa aliingiza jeshi wakafyekwa akajazia mamluki wa Wagner nao wakafyekwa,sasa anajazia wengine laki3.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…