Kuuawa kwa majenerali wa Urusi na vita kuchukua muda mrefu ni ishara kuwa jeshi hilo halina uwezo unaosemwa

Kwa vikwazo alivyowekewa lazima hali yake iwe ngumu
 
Wewe kweli mwehu,eti Nchi fulani haikuwa na hiki na kile,vita ni vita hata ukitumia mawe huo ndio uwezo wa silaha ulizonazo.
 
Wewe kweli mwehu,eti Nchi fulani haikuwa na hiki na kile,vita ni vita hata ukitumia mawe huo ndio uwezo wa silaha ulizonazo.
Wewe ndio mwehu asa unafikiri vile vifaa vya kijeshi vinavyo miminika kule Ukraine ni kwa ajili ya show off? vita bila vifaa vya kisasa huwezi toboa, ndio maana watu wa magharibi kila siku wanapeleka vifaa Ukraine
 
Wewe ndio mwehu asa unafikiri vile vifaa vya kijeshi vinavyo miminika kule Ukraine ni kwa ajili ya show off? vita bila vifaa vya kisasa huwezi toboa, ndio maana watu wa magharibi kila siku wanapeleka vifaa Ukraine
Sasa unataka kumlaumu nani,kama NATO inatuma vifaa na Urusi anachapika je ndio NATO waingie full mkoko itakuwaje? Ndani ya wiki watakuwa Kremlin.
 
Wewe ndio mwehu asa unafikiri vile vifaa vya kijeshi vinavyo miminika kule Ukraine ni kwa ajili ya show off? vita bila vifaa vya kisasa huwezi toboa, ndio maana watu wa magharibi kila siku wanapeleka vifaa Ukraine
By the way vipi Putin si alisema yeyote atakaemsaidia Ukraine atakipata cha moto na pia atalipua misaada ya silaha zinazongia imekuwaje hahafanya lolote hadi sasa au ndio ule Uchui wa Karatasi?
 
Sasa unataka kumlaumu nani,kama NATO inatuma vifaa na Urusi anachapika je ndio NATO waingie full mkoko itakuwaje? Ndani ya wiki watakuwa Kremlin.
Kwani NATO wamekatazwa wasiingie? kama ubavu wanao waje uwanjani, hakuna wanachoweza zaidi ya kutoa silaha tu na misaada ya kibanadamu, wanaogopa Ulaya itakuwa uwanja wa vita
 
By the way vipi Putin si alisema yeyote atakaemsaidia Ukraine atakipata cha moto na pia atalipua misaada ya silaha zinazongia imekuwaje hahafanya lolote hadi sasa au ndio ule Uchui wa Karatasi?
Msaada gani alisema ? yeye anapiga Ukraine anavyotaka kama unavyoona anapiga wazee, kina mama , watoto sasa hao NATO kama wana nguvu waje kumzuia, Zelensky anawaambia NATO waweke no flyzone mbona wana ruka ruka kama maharage? hiyo ndio red line yetu Warusi
 
Baghdad ilitekwa ndani ya wiki 3 tuu.
Mbona maelezo yako wazi wapi hujaelewa?
he 2003 invasion of Iraq[a] was the first stage of the Iraq War. The invasion phase began on 19 March 2003 (air) and 20 March 2003 (ground) and lasted just over one month,[24] including 26 days of major combat operations, in which a combined force of troops from the United States,
 
Nafikiri pia kwa Ukraine Kuua hao magenerali Ukraine kuna meseji wanatumia Putin

Sababu nchi ikiwa vitani kiongozi mkuu wa vita anakuwa Raisi Amiri Jeshi mkuu chini yake wanamfuata kivyeo vitani ni magenerali wa vita walioko msitari wa mbele

Kuua magenerali waongoza vita Ukraine ,Nchi ya Ukraine wanamtumia meseji kuwa tumeuwa magenerali wa vita walioko vitani next target Ni wewe Putin mpiga domo Kremlin

Maana ukiua Generali la Vita Putin atakuwa anaishi kwa kujificha kama nguchiro kuwa kama wameua magenerali wapiganaji wazoefu waongoza vita mimi ni nani

Meseji sent
 
Wameona Ukraine anatoshana nguvu na Russia ndio maana wamemuacha aimbe nae.
Wameona huku wanalia lia wao mpaka wanalazimisha wanamichezo wa Russia wakemee vita, kila eneo la mashariki wanapeleka Air defence system ahahhha
 
Yaan Russia hata sisimizi hajaguswa mbona mnapenda kujidanganya, uwanja wa vita ni Ukraine, nakukumbusha juzi tu hapa Putin kahutubia halaiki ya watu hadharani sasa hiyo meseji sijui unampa Putin yupi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…