Kuuliwa kwa Kevin Darwin, colonel wa MOSSAD mwenye shabaha kumeihuzunisha Israel yote. Alipelekwa Gaza kuwasaka viongozi wa Hamas

Kuuliwa kwa Kevin Darwin, colonel wa MOSSAD mwenye shabaha kumeihuzunisha Israel yote. Alipelekwa Gaza kuwasaka viongozi wa Hamas

Kwamba IDF wasife wamekuwa maroboti ama, hiyo ni kawaida ya vita acheni kujitoa ufahamu ila msichokijua ni kwamba kifo Cha IDF mmoja basi lazima aondoke na Hamas 100.
 
Kuna baadhi ya watu wamepata dhana kuwa vita vinakaribia mwisho Gaza,kumbe ndio kwanza viko katikati ya safari.
Kifo cha Colonel Kevin Darwin hapo juzi huko Gaza kumeleta huzuni kubwa mjini Tel Aviv na Israel yote.Afisa huyo muhimu wa Mossad amepewa jina la sifa kama black mamba kutokana na uwezo wake wa kuua na kujificha bila kugunduliika
Black mamba ndiye aliyehusika na kumuua kiongozi maarufu wa kipalestina Mahmoud aLmabhooh nchini Dubaij mwaka 2010 moja ya mauwaji yaliyoonekana ya kiufundi sana duniani kwa namna alivyomfikia mlengwa wake.
Hali hiyo imekuwa kinyume alipokwenda kuwawinda viongozi wa Hamas kwani ameutliwa kabla hajampata yeyote kati yao na kuwatia huzuni kubwa vikosi vyote vya IDF mpaka kupelekea kuvuja kwa siri ya kifo chake.
Hiki ni moja ya vifo vya maafisa wakubwa vilivyolazimika kujulikana.Hata hivyo idadi ya askari wa kawaida wanaokufa bila kutangazwa inaaminika ni kubwa sana

The killing of a intelligence officer shocks Tel Aviv


Colonel Kevin Darwin
View attachment 2816978
Kufa vitani kitu cha kawaida tu,
Kaka yake Netanyahu alikufa wakati wa kuwaokoa mateka entebe Uganda, 1977!
 
Mbona kama naona wanaotetea upande ule kama uelewa wao upo chini sana. Vyanzo vya kuaminika vinatuambia tofauti na wao wanavyoleta uzi humu
 
Mbona uchokozi mlianza wenyewe saiv mnaomba huruma??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna kuomba huruma hapo bali kufuata sheria za vita ni razima na ndio maana zikawekwa ?
 
Kuna baadhi ya watu wamepata dhana kuwa vita vinakaribia mwisho Gaza,kumbe ndio kwanza viko katikati ya safari.
Kifo cha Colonel Kevin Darwin hapo juzi huko Gaza kumeleta huzuni kubwa mjini Tel Aviv na Israel yote.Afisa huyo muhimu wa Mossad amepewa jina la sifa kama black mamba kutokana na uwezo wake wa kuua na kujificha bila kugunduliika
Black mamba ndiye aliyehusika na kumuua kiongozi maarufu wa kipalestina Mahmoud aLmabhooh nchini Dubaij mwaka 2010 moja ya mauwaji yaliyoonekana ya kiufundi sana duniani kwa namna alivyomfikia mlengwa wake.
Hali hiyo imekuwa kinyume alipokwenda kuwawinda viongozi wa Hamas kwani ameutliwa kabla hajampata yeyote kati yao na kuwatia huzuni kubwa vikosi vyote vya IDF mpaka kupelekea kuvuja kwa siri ya kifo chake.
Hiki ni moja ya vifo vya maafisa wakubwa vilivyolazimika kujulikana.Hata hivyo idadi ya askari wa kawaida wanaokufa bila kutangazwa inaaminika ni kubwa sana

The killing of a intelligence officer shocks Tel Aviv


Colonel Kevin Darwin
View attachment 2816978
Kuna msemo wa kivita tunawaambia askari wetu, niseme kwa kiswahili" hakuna ushindi kwenye uwanja wa vita bila machozi na uzuni.
Kazi ya jeshi ni ya ajabu sana siyo kama kufanya kazi kiwandani, kadiri askari wako wanavyokufa ndivyo unaijua nguvu ya adui.
Ni swala la muda tu Hamas na IDF kitaeleweka.
 
Kuna baadhi ya watu wamepata dhana kuwa vita vinakaribia mwisho Gaza,kumbe ndio kwanza viko katikati ya safari.
Kifo cha Colonel Kevin Darwin hapo juzi huko Gaza kumeleta huzuni kubwa mjini Tel Aviv na Israel yote.Afisa huyo muhimu wa Mossad amepewa jina la sifa kama black mamba kutokana na uwezo wake wa kuua na kujificha bila kugunduliika
Black mamba ndiye aliyehusika na kumuua kiongozi maarufu wa kipalestina Mahmoud aLmabhooh nchini Dubaij mwaka 2010 moja ya mauwaji yaliyoonekana ya kiufundi sana duniani kwa namna alivyomfikia mlengwa wake.
Hali hiyo imekuwa kinyume alipokwenda kuwawinda viongozi wa Hamas kwani ameutliwa kabla hajampata yeyote kati yao na kuwatia huzuni kubwa vikosi vyote vya IDF mpaka kupelekea kuvuja kwa siri ya kifo chake.
Hiki ni moja ya vifo vya maafisa wakubwa vilivyolazimika kujulikana.Hata hivyo idadi ya askari wa kawaida wanaokufa bila kutangazwa inaaminika ni kubwa sana

The killing of a intelligence officer shocks Tel Aviv


Colonel Kevin Darwin
View attachment 2816978
Si haba…
 
Mbona kama naona wanaotetea upande ule kama uelewa wao upo chini sana. Vyanzo vya kuaminika vinatuambia tofauti na wao wanavyoleta uzi humu

Kevin was considered the most dangerous Mossad officer and earned the nickname “Black Snake”. It was reported that Kevin was involved in the murder of Qassam Commander Mahmoud al-Mabhuh in Dubai in 2010.
 
Kevin was considered the most dangerous Mossad officer and earned the nickname “Black Snake”. It was reported that Kevin was involved in the murder of Qassam Commander Mahmoud al-Mabhuh in Dubai in 2010.
Sasa mmatumbi mwenzangu nimeandika kiswahili wewe unajibu kiingereza ndio umagharibi au ushamba unakusumbua sio kila mtu anajua kiingereza kama ulitaka nikuelewe hapo basi sijapata chochote acha shobo na lugha za wenzako janja
 
Kuna baadhi ya watu wamepata dhana kuwa vita vinakaribia mwisho Gaza, kumbe ndio kwanza viko katikati ya safari.

Kifo cha Colonel Kevin Darwin hapo juzi huko Gaza kumeleta huzuni kubwa mjini Tel Aviv na Israel yote.Afisa huyo muhimu wa Mossad amepewa jina la sifa kama black mamba kutokana na uwezo wake wa kuua na kujificha bila kugunduliika.

Black mamba ndiye aliyehusika na kumuua kiongozi maarufu wa kipalestina Mahmoud aLmabhooh nchini Dubaij mwaka 2010 moja ya mauwaji yaliyoonekana ya kiufundi sana duniani kwa namna alivyomfikia mlengwa wake.

Hali hiyo imekuwa kinyume alipokwenda kuwawinda viongozi wa Hamas kwani ameutliwa kabla hajampata yeyote kati yao na kuwatia huzuni kubwa vikosi vyote vya IDF mpaka kupelekea kuvuja kwa siri ya kifo chake.
Hiki ni moja ya vifo vya maafisa wakubwa vilivyolazimika kujulikana.Hata hivyo idadi ya askari wa kawaida wanaokufa bila kutangazwa inaaminika ni kubwa sana

The killing of a intelligence officer shocks Tel Aviv


Colonel Kevin Darwin
View attachment 2816978
Wauliwe tu iliwe fundisho
 
Guruwe jingine limekufa Asante Mungu

Gaza itageuka makaburi ya hawa mashoga wavamizi

Piga makenge hayo mavaa pampas!!

Go Hamas Go

Go wapi wakati wamejificha mashimoni kama mende,wanaume wanatamba ndani ya gaza,kama hamas vidume kweli waibuke waje wapigane vita halisi.

Pia kufa mwanajeshi vitani ni matokeo ya vita.
 
Back
Top Bottom