Kuuliza Bei Kabla ya Kula uwapo Outing ni Akili na kujiamini lakini Malofa huona aibu

Kuuliza Bei Kabla ya Kula uwapo Outing ni Akili na kujiamini lakini Malofa huona aibu

Slay queen hawataki uulize bei

Hapo anataka agawane na Mhudumu.
Usipouliza bei anajifanya anatoka anaenda chooni akifika Huko anamuita Mhudumu na kumuuliza bei ya vyakula, akiambiwa mfano supu elfu tatu anamwambia akifika aseme elfu Saba. Alafu watagawana hiyo Pesa.

Ndio Tabia zao hao. Asubiri wajinga
 
Mimi kabka sijaenda mahali najua how much I want to spend and on top of that lazima uongeze 20%, na pia huwezi enda na hela kamili, mfukoni kila wakati unakuwa kama na extra 50,000.

Kamq makadirio yangu ni kutumia 15000, nitakuwa na 20,000 just incase, na pia lazima mahali popote nilipo na kuwa na 50,000 kwenye wallet, na pia Mpesa na Simbaking?

When I pick a restaurant na kuwa na consideration zote hizi, sasa, swali:

Kwa maelezo hayo, why should I ask of a price?

Hapo ni kwamba unakariri.
Kama unaenda kila Siku hapo Sawa. Lakini haiwezekani ukae mwezi mzima hujaenda kula sehemu Fulani alafu usiulize bei au kusoma menu. Hapo sio kwelu
 
Kwani shureni urisomea ujinga 😅😅😅

Sasa wewe ushakaa kwenye kiti unauliza bei ili nini
 
Niliwahi kwenda Mwanza kwenye shughuli fulani,pembezoni ya hotel tuliyokuwapo palikuwa na mgahawa mzuri tu. Nikaulizia mchemsho samaki unagharimu kiasi gani? Nikaambiwa Tsh.11000.00 nikambiwa hiyo ni samaki kichwa,yaan nusu,nikaona kama ni bei sana. Basi nkamwambia naomba chai ya maziwa na chapati mbili,hapo sikuuliza bei nkijua itakuwa ni kama bei zetu zile😂😂😂,bill imekuja ni Tsh. 8000.00,nilitukana matusi yote kimoyomoyo ila nikalipa. Kama ningeuliza bei ya chai na chapati basi bila shaka ningechagua mchemsho wa samaki.
Kuuliza bei kabla ya kuagiza ni jambo sahihi kabisa.

Hiyo ilinitokea Mafinga, MTU kaleta chai ya maziwa. Nikamuuliza bei yake akaniambia elfu 5000. Nikamwambia aniletee Menu anasema hotel Ile haina menu. Nikamwambia nikamwambia ninampigia Mwenye hotel kuwa ameajiri Watu wasio waaminifu.
Ndio anasema Ati maziwa kikombe elfu 2.
 
Slay queen hawataki uulize bei
Mleta mada na wewe malofa wote tena wakubwa Mnampeleka watu kwa mams nitilie huko ndiko.myu huuliza chakula bei gani

Segemu za kula za kueleweka kwenye meza unakuta karatasi yenye menu zote na bei

Eee jamani vyuo vifungue tu vitoto vya shule viondoke humu.jamii forums vikajiunge vyuo huko

Unaenda kula sehemu ya kueleweka unauliza bei ya chakula?

Hopeless kabisa mleta mada pamoja ns wewe
 
Hiyo ilinitokea Mafinga, MTU kaleta chai ya maziwa. Nikamuuliza bei yake akaniambia elfu 5000. Nikamwambia aniletee Menu anasema hotel Ile haina menu. Nikamwambia nikamwambia ninampigia Mwenye hotel kuwa ameajiri Watu wasio waaminifu.
Ndio anasema Ati maziwa kikombe elfu 2.
Sehemu kama hiyo utaita out ya kupeleka mtu wako? Unajua out wewe?
Usiige kunya kwa tembo
 
Mleta mada na wewe malofa wote tena wakubwa Mnampeleka watu kwa mams nitilie huko ndiko.myu huuliza chakula bei gani

Segemu za kula za kueleweka kwenye meza unakuta karatasi yenye menu zote na bei

Eee jamani vyuo vifungue tu vitoto vya shule viondoke humu.jamii forums vikajiunge vyuo huko

Unaenda kula sehemu ya kueleweka unauliza bei ya chakula?

Hopeless kabisa mleta mada pamoja ns wewe

Wewe ndio huna ujualo. Tembea uone.

Kuna Hoteli na migahawa Ipo mikoani wahudumu wanafanya Makusudi kuondoa Menu ili wapige Wateja.

Kitu kama hujui ni Bora uulize. Na sio kukurupuka Kwa ulofa wako
 
Sehemu kama hiyo utaita out ya kupeleka mtu wako? Unajua out wewe?
Usiige kunya kwa tembo

Nilienda, tofauti out na mizunguko ya Maisha.

Kwa umaskini wako unafikiri Kutoka our ni Kula tuu. Umaskini ni Mbaya Sana.

Ninyi ndio mkitolewa out mnaagiza mavyakula mengi hata bila kujali diet. Kisa umaskini.
Unaweza toka out mkanywa tuu juisi au ice cream.
Sasa wewe na kile kikundi chako cha kibaokata mkialikwq mtoko mnaleta umaskini wenu
 
Point tupu kijana, wengi in civilized countries wanaenda outdoors na specific budget, so lazima uletewe menu yenye prices ili uone how are you going to spend hapo ulipoenda. Bora ubaki na ushamba ila financial discipline is a very good thing.
 
Ushajijibu mwenyewe kwa kusema hotel za kifahari, huwezi kutengewa maji ya kunywa kama kwa mama Ally.

Hoja yangu nadhani umeipata kuwa Kwa matajiri bei lazima iulizwe au iwekwe bayana.

Kwa sababu matajiri na wenye Akili hulinganisha bei na ubora. Kisha hata kama anahela anaweza ghairisha
 
Point tupu kijana, wengi in civilized countries wanaenda outdoors na specific budget, so lazima uletewe menu yenye prices ili uone how are you going to spend hapo ulipoenda. Bora ubaki na ushamba ila financial discipline is a very good thing.

Na ukishakuwa na financial discipline automatically huwezi kuwa Mshamba.
 
Hoja yangu nadhani umeipata kuwa Kwa matajiri bei lazima iulizwe au iwekwe bayana.

Kwa sababu matajiri na wenye Akili hulinganisha bei na ubora. Kisha hata kama anahela anaweza ghairisha
Nimekupata vizuri kwamba matajiri they normally spend wisely na watataka kujua what is inside the box.
They go for quality.
 
Mleta mada na wewe malofa wote tena wakubwa Mnampeleka watu kwa mams nitilie huko ndiko.myu huuliza chakula bei gani

Segemu za kula za kueleweka kwenye meza unakuta karatasi yenye menu zote na bei

Eee jamani vyuo vifungue tu vitoto vya shule viondoke humu.jamii forums vikajiunge vyuo huko

Unaenda kula sehemu ya kueleweka unauliza bei ya chakula?

Hopeless kabisa mleta mada pamoja ns wewe
Wew ni slay queen wa Buza
 
Perfume tu ya buku unashindwa kununua sembuse bei😅😅
 
Nikiwa form 3 nimetoka mchikichini tuition kwenye pindi huyoo mpaka pande za posta naenda kula upepo wa bahari si nikakutana na kimgahawa mshenzi nikaagiza wali nyama mixer njegele nikijua ni bei zetu za buku jero. Kupiga bill imekuja 4000, balance inasoma 2000 ambayo ni pamoja na nauli, ashukuriwe bro wangu alienifanyia muamala chap ila yasikukute
 
Back
Top Bottom