Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama "something" inaweza kusimama yenyewe tu, Kwa nini neno Nothing lihitajike kuhalalisha something?Nothing ni imaginary word. There is always something. Neno nothing lipo ili kuhalalisha something but even in nothing there is something. Always there is something.
Why something doesn't arise from something because nothing does not exist?Philosophers believe that pure nothingness does not exist and something arises from nothing.
If there was a state of nothingness that was to actually exist it would be deemed as something because something had arisen from nothing; hence, nothing is something.
Mheshimiwa marehemu huwa wanasikia tena vizuri sana.Wakuu ni aje,
Leo naomba kuuliza, kwanini mtu akifariki utaona watu wanaandika RIP au pumzika kwa Amani ndugu fulani au Mr fulani au Mrs fulani.
Hivi huwa wanamwambia Nani?! Marehemu au huwa wanamaanisha nini? Au ni tamaduni tu kama vile kunywa chai asubuhi japo hata usippkunywa haufi!
Wajuzi wa mambo karibuni.
embu tuelezee marehemu ulikuwa unasikia nini wakiongea?Mheshimiwa marehemu huwa wanasikia tena vizuri sana.
Mimi ilishawahi kunitokea...........
Nilikuwa nasikia wakati wanagombea Mali zangu.embu tuelezee marehemu ulikuwa unasikia nini wakiongea?
Ni njia ya kumuagaWakuu ni aje,
Leo naomba kuuliza, kwanini mtu akifariki utaona watu wanaandika RIP au pumzika kwa Amani ndugu fulani au Mr fulani au Mrs fulani.
Hivi huwa wanamwambia Nani?! Marehemu au huwa wanamaanisha nini? Au ni tamaduni tu kama vile kunywa chai asubuhi japo hata usippkunywa haufi!
Wajuzi wa mambo karibuni.
Unafahamu historia ya namba 0? Kwanini sifuri ni namba?Kama "something" inaweza kusimama yenyewe tu, Kwa nini neno Nothing lihitajike kuhalalisha something?
To understand something you have to assume of nothing tho there is always something. Again go back to why zero exist.Why something doesn't arise from something because nothing does not exist?
Again, go back to number line. Why do we have 0 in number line. Why not 1,2,3,5,6,7,8,9,11,12,13,14,15,16,17,18,19,21...........Why are you saying something arises from nothing instead of something arises from something because "something" exists and "nothing" doesn't exist?
sasa kama anasikia anasubiri nini kujibu?Toka Magufuli alipokufa,tunaishi kwa raha mustarehe", hayafai kabisa.
Ina maana Mambo magumu..ina maana gani mkuu?
Hayupo wapi wakati katiwa kaburini??Hilo ni neno la kiimani la kutiana moyo ila kiukwel mtu akifa amekufa hakuna cha kupumzika au kuangaika yani ni hayupo.