am not sure kama niko ndani ya mada au nje lakini kuna vitu vinaniboa sana na haya wengi kati yao wataalam wa Kitanzania.
1.wanapenda sifa kuliko vitu tunavyovifanya,kuanzia waziri hadi mesenja wote wanadai credit tu,just wait 2010 utakavoona watu wanavyopanga mstari kupokea credit za UDOM etc.
2.ni wavivu-dont even start muda tunaopoteza "lunch" na "JF"
3.hawapendi kukosolewa,kuanzia mlinzi hadi mkurugenzi.
4.wana Tamaa-hadi secretary anataka kumiliki gari la 40M,wapi na wapi?kinachotokea ukienda kuimuona bosi utazungushwa weee hadi utoe hela ya "soda"
5.tu wadanganyifu,ni rahisi sana muuza super-market kuiba vitu kwa sababu tu hamna anayemuona/kumzuia,hasara kwa investors kesho supermarket inafungwa.
6.ni wababaishaji,kama unabisha mpe kazi mjenzi wa kitanzania au fundi cherehani sijui,utalia as if hela humpi,no wonder chinese are eating our bread.
7.wana elimu ndogo-hapa namaanisha "ujuzi" wa watu ukilinganisha kile kilichopo kwenye vyeti vyao,nishawahi kuombwa na mfanyakazi wa bank nimuelezee L/C inafanyaje kazi,nusura nimpe vibao.
ndio zile biashara mtu anajiita prof,dr,engineer mkurugenzi "peter".eeephw.last time amepublish anything viable was when he/she was defending whatever she has titles on during her academic encounters.
8.na mengineyo meengi..,si mahala pake hapa
sasa ukiangalia baadhi tu ya maono hayo hapo juu utaguindua kuwa ni kazi sana kwa kanchi haka kuendelea kama hakutakuwa na mabadiliko ya kiitikadi/kifikra/kimawazo.kwa kifupi hatutaendelea ng'o!
nafahamu ubadilishwaji wa fikra za watu sio kazi ya TPN lakini bila hili hawatafika mbali,kama vile wakilitazama hili kwanza.waulizane tu hapo kwenye mkutano/chama chao.ni wangapi wako tayari kulipwa kadri wafanyavyo kazi?wangapi wako tayari kukataa fedha za perdiem kutoka kwenye mikutano na safari hewa?!wangapi wako tayari kutokuwa matajiri sana ili nchi yao iendelee?
nadhani watabaki si zaidi ya 10.maana wafanyayo hayo huitwa wazembe,wajinga,wamelala etc.jamii inawadhihaki kwa kuwa si wezi.wote tunafahamu mishara ya TZ haiwezeshi mfanyakazi wa TZ kumiliki magari luxurious ma 3,kumiliki nyumba 4-5 etc.
we need to go back to basics kama wanavyosema baadhi ya wachangiaji huko juu.