Justine Marack
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 612
- 1,698
Rimoti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kashambuliwa?Personal attack
Huyu mtu safari yake yote ya siasa hana historia yoyote yakukemea ufisadi
Vp anayekemea kwenye public halafu hachukui hatuaHuyu mtu safari yake yote ya siasa hana historia yoyote yakukemea ufisadi
Ukusikia kuwa mambo yote yalishakuwa yamepangwa tangu 2008 huko?.Yaani,ukiondoa ujenzi wa JKN DAM.Miradi mingine kama upanuzi wa Bandari na SGR ilikuwa ni katika mipango ya taifa.Ndugu zangu watanzania wenzangu,
Ninajua tunapitia kwenye kipindi kigumu sasa tunapojadili juu ya huu mkataba wa kisen** unaolenga kuuza bandari zetu na kuturejesha utumwani kwa waarabu.
Ninachojiuliza mpaka sasa ni wapi alipo Jakaya Mrisho Kikwete? Kuna mtu amesikia kauli yoyote toka kwake?
Mimi binafsi sijasikia akisema chochote juu ya sakata hili. Ina maana yeye halimgusi, au halimhusu?
Jakaya Mrisho Kikwete ndiye taswira au kioo cha ccm kwa sasa. Yeye anasimama kwenye nafasi ya Baba wa taifa mwl Nyerere, na pia mwanamapinduzi John Pombe Magufuli; anayo nafasi kubwa ya kuonyesha njia kwetu kama taifa kujua kule tunakoelekea.
Swali langu: Je, kuna mtu amesikia sauti ya JK juu ya hili? Amesimama upande gani?
Je, anasubiri tuuzwe kwanza kwa waarabu ndipo ajitokeze?
Napenda nimpe taarifa: asiposimama sasa kukemea na kuitetea nchi yake (Tanganyika/Tanzania), damu ya watanzania itadaiwa mikononi mwake na uzao wake daima milele.
Aliyesikia kauli ya kikwete atujuze.
Mkwere anayeuza nanasi kununua mua utegemee kipi kwake?Umesikia kauli yake juu ya hili zengwe?
duh !Yeye ndo dalali
Samia ni shetani wallah!.Hawana 'issue', wapuuzwe tu sasa kama walivyopuuzwa na bunge!
Anataka kusawazisha na kupiga ela wakati wa huyu bintiNdugu zangu watanzania wenzangu,
Ninajua tunapitia kwenye kipindi kigumu sasa tunapojadili juu ya huu mkataba wa kisen** unaolenga kuuza bandari zetu na kuturejesha utumwani kwa waarabu.
Ninachojiuliza mpaka sasa ni wapi alipo Jakaya Mrisho Kikwete? Kuna mtu amesikia kauli yoyote toka kwake?
Mimi binafsi sijasikia akisema chochote juu ya sakata hili. Ina maana yeye halimgusi, au halimhusu?
Jakaya Mrisho Kikwete ndiye taswira au kioo cha ccm kwa sasa. Yeye anasimama kwenye nafasi ya Baba wa taifa mwl Nyerere, na pia mwanamapinduzi John Pombe Magufuli; anayo nafasi kubwa ya kuonyesha njia kwetu kama taifa kujua kule tunakoelekea.
Swali langu: Je, kuna mtu amesikia sauti ya JK juu ya hili? Amesimama upande gani?
Je, anasubiri tuuzwe kwanza kwa waarabu ndipo ajitokeze?
Napenda nimpe taarifa: asiposimama sasa kukemea na kuitetea nchi yake (Tanganyika/Tanzania), damu ya watanzania itadaiwa mikononi mwake na uzao wake daima milele.
Aliyesikia kauli ya kikwete atujuze.
Hapa walimu watatoboa kweli?Mbona msimamo wa wana ccm waandamizi unajulikana wazi kuwa ni kama huu hapa...
👇
View attachment 2654708
AaminSiku hz habari haiwi habari bila kumtukana jk.
Ee Mungu, nijaalie moyo wa kijasiri uliojaa subra na uvumilivu kama wa jk niweze kuyakabila ya dunia hii ovu bila ya kuwaumiza wanaokesha kwa ajili ya kuniumiza!
Asimame upande gani while anaona alicho ambiwa kinatimia akiwa hai kwani hujapata sikia team x walionya akasema wasome katiba wakamwambia haya leo anaona kila alicho tahadharishwa kinatimia... Kwanini asijitenge na keshNdugu zangu watanzania wenzangu,
Ninajua tunapitia kwenye kipindi kigumu sasa tunapojadili juu ya huu mkataba wa kisen** unaolenga kuuza bandari zetu na kuturejesha utumwani kwa waarabu.
Ninachojiuliza mpaka sasa ni wapi alipo Jakaya Mrisho Kikwete? Kuna mtu amesikia kauli yoyote toka kwake?
Mimi binafsi sijasikia akisema chochote juu ya sakata hili. Ina maana yeye halimgusi, au halimhusu?
Jakaya Mrisho Kikwete ndiye taswira au kioo cha ccm kwa sasa. Yeye anasimama kwenye nafasi ya Baba wa taifa mwl Nyerere, na pia mwanamapinduzi John Pombe Magufuli; anayo nafasi kubwa ya kuonyesha njia kwetu kama taifa kujua kule tunakoelekea.
Swali langu: Je, kuna mtu amesikia sauti ya JK juu ya hili? Amesimama upande gani?
Je, anasubiri tuuzwe kwanza kwa waarabu ndipo ajitokeze?
Napenda nimpe taarifa: asiposimama sasa kukemea na kuitetea nchi yake (Tanganyika/Tanzania), damu ya watanzania itadaiwa mikononi mwake na uzao wake daima milele.
Aliyesikia kauli ya kikwete atujuze.
Hv PASCO na ujanja wako woote wa mjini kweli haujui ilieko nyuma ya hili gem! Ama unapotezea tu kimtindo.Ukimuondoa Mwalimu Nyerere, hakuna rais mwingine yeyote mstaafu anatiaga neno kwenye jambo kama hili. Wanajielewa hawawezi kuingilia jambo lolote publically, kama kuna cha kushauri, huwa wanatinga Ikulu kimya kimya na kutoa ushauri.
P
Wanamshauri nani while walisha shauriwa mbona unataka tudanganya auUkimuondoa Mwalimu Nyerere, hakuna rais mwingine yeyote mstaafu anatiaga neno kwenye jambo kama hili. Wanajielewa hawawezi kuingilia jambo lolote publically, kama kuna cha kushauri, huwa wanatinga Ikulu kimya kimya na kutoa ushauri.
P