Kuuzwa kwa bandari zetu: Ni nini msimamo wa Jakaya Mrisho Kikwete?

Kuuzwa kwa bandari zetu: Ni nini msimamo wa Jakaya Mrisho Kikwete?

Ndugu zangu watanzania wenzangu,

Ninajua tunapitia kwenye kipindi kigumu sasa tunapojadili juu ya huu mkataba wa kisen** unaolenga kuuza bandari zetu na kuturejesha utumwani kwa waarabu.

Ninachojiuliza mpaka sasa ni wapi alipo Jakaya Mrisho Kikwete? Kuna mtu amesikia kauli yoyote toka kwake?

Mimi binafsi sijasikia akisema chochote juu ya sakata hili. Ina maana yeye halimgusi, au halimhusu?

Jakaya Mrisho Kikwete ndiye taswira au kioo cha ccm kwa sasa. Yeye anasimama kwenye nafasi ya Baba wa taifa mwl Nyerere, na pia mwanamapinduzi John Pombe Magufuli; anayo nafasi kubwa ya kuonyesha njia kwetu kama taifa kujua kule tunakoelekea.

Swali langu: Je, kuna mtu amesikia sauti ya JK juu ya hili? Amesimama upande gani?

Je, anasubiri tuuzwe kwanza kwa waarabu ndipo ajitokeze?

Napenda nimpe taarifa: asiposimama sasa kukemea na kuitetea nchi yake (Tanganyika/Tanzania), damu ya watanzania itadaiwa mikononi mwake na uzao wake daima milele.

Aliyesikia kauli ya kikwete atujuze.
Ukusikia kuwa mambo yote yalishakuwa yamepangwa tangu 2008 huko?.Yaani,ukiondoa ujenzi wa JKN DAM.Miradi mingine kama upanuzi wa Bandari na SGR ilikuwa ni katika mipango ya taifa.
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu,

Ninajua tunapitia kwenye kipindi kigumu sasa tunapojadili juu ya huu mkataba wa kisen** unaolenga kuuza bandari zetu na kuturejesha utumwani kwa waarabu.

Ninachojiuliza mpaka sasa ni wapi alipo Jakaya Mrisho Kikwete? Kuna mtu amesikia kauli yoyote toka kwake?

Mimi binafsi sijasikia akisema chochote juu ya sakata hili. Ina maana yeye halimgusi, au halimhusu?

Jakaya Mrisho Kikwete ndiye taswira au kioo cha ccm kwa sasa. Yeye anasimama kwenye nafasi ya Baba wa taifa mwl Nyerere, na pia mwanamapinduzi John Pombe Magufuli; anayo nafasi kubwa ya kuonyesha njia kwetu kama taifa kujua kule tunakoelekea.

Swali langu: Je, kuna mtu amesikia sauti ya JK juu ya hili? Amesimama upande gani?

Je, anasubiri tuuzwe kwanza kwa waarabu ndipo ajitokeze?

Napenda nimpe taarifa: asiposimama sasa kukemea na kuitetea nchi yake (Tanganyika/Tanzania), damu ya watanzania itadaiwa mikononi mwake na uzao wake daima milele.

Aliyesikia kauli ya kikwete atujuze.
Anataka kusawazisha na kupiga ela wakati wa huyu binti
 
Siku hz habari haiwi habari bila kumtukana jk.

Ee Mungu, nijaalie moyo wa kijasiri uliojaa subra na uvumilivu kama wa jk niweze kuyakabila ya dunia hii ovu bila ya kuwaumiza wanaokesha kwa ajili ya kuniumiza!
Aamin
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu,

Ninajua tunapitia kwenye kipindi kigumu sasa tunapojadili juu ya huu mkataba wa kisen** unaolenga kuuza bandari zetu na kuturejesha utumwani kwa waarabu.

Ninachojiuliza mpaka sasa ni wapi alipo Jakaya Mrisho Kikwete? Kuna mtu amesikia kauli yoyote toka kwake?

Mimi binafsi sijasikia akisema chochote juu ya sakata hili. Ina maana yeye halimgusi, au halimhusu?

Jakaya Mrisho Kikwete ndiye taswira au kioo cha ccm kwa sasa. Yeye anasimama kwenye nafasi ya Baba wa taifa mwl Nyerere, na pia mwanamapinduzi John Pombe Magufuli; anayo nafasi kubwa ya kuonyesha njia kwetu kama taifa kujua kule tunakoelekea.

Swali langu: Je, kuna mtu amesikia sauti ya JK juu ya hili? Amesimama upande gani?

Je, anasubiri tuuzwe kwanza kwa waarabu ndipo ajitokeze?

Napenda nimpe taarifa: asiposimama sasa kukemea na kuitetea nchi yake (Tanganyika/Tanzania), damu ya watanzania itadaiwa mikononi mwake na uzao wake daima milele.

Aliyesikia kauli ya kikwete atujuze.
Asimame upande gani while anaona alicho ambiwa kinatimia akiwa hai kwani hujapata sikia team x walionya akasema wasome katiba wakamwambia haya leo anaona kila alicho tahadharishwa kinatimia... Kwanini asijitenge na kesh
 
Ukimuondoa Mwalimu Nyerere, hakuna rais mwingine yeyote mstaafu anatiaga neno kwenye jambo kama hili. Wanajielewa hawawezi kuingilia jambo lolote publically, kama kuna cha kushauri, huwa wanatinga Ikulu kimya kimya na kutoa ushauri.
P
Hv PASCO na ujanja wako woote wa mjini kweli haujui ilieko nyuma ya hili gem! Ama unapotezea tu kimtindo.
 
Ukimuondoa Mwalimu Nyerere, hakuna rais mwingine yeyote mstaafu anatiaga neno kwenye jambo kama hili. Wanajielewa hawawezi kuingilia jambo lolote publically, kama kuna cha kushauri, huwa wanatinga Ikulu kimya kimya na kutoa ushauri.
P
Wanamshauri nani while walisha shauriwa mbona unataka tudanganya au
 
Back
Top Bottom