Kuuzwa kwa bandari zetu: Ni nini msimamo wa Jakaya Mrisho Kikwete?

Kuuzwa kwa bandari zetu: Ni nini msimamo wa Jakaya Mrisho Kikwete?

Leo mzee wa msoga ametuhadaa kwa kusema baraza la maaskofu wanachanganya dini na siasa ila masheikh wanaounga mkono mkataba wa DP WORD hawachanganyi dini na siasa....

Yupo wapi JAKAYA MRISHO KIKWETE WA 1995??? Ujasiri wake wa kuchukua fomu ya urais kipindi hicho atuonyeshe na leo 2023 kwa kutuambia msimamo wake juu ya mkataba wa DP WORLD
 
Leo mzee wa msoga ametuhadaa kwa kusema baraza la maaskofu wanachanganya dini na siasa ila masheikh wanaounga mkono mkataba wa DP WORD hawachanganyi dini na siasa....

Yupo wapi JAKAYA MRISHO KIKWETE WA 1995??? Ujasiri wake wa kuchukua fomu ya urais kipindi hicho atuonyeshe na leo 2023 kwa kutuambia msimamo wake juu ya mkataba wa DP WORLD
Acha uzushi. JK alimaanisha hata waislamu. Mbona kuna video ina trend kabisa ustadh anashadadia chama. Tena kawqsema zaidi waislamu wenzetu kuliko wagalatia. Hivyo msimlishe maneno Baba yetu.
 
Acha uzushi. JK alimaanisha hata waislamu. Mbona kuna video ina trend kabisa ustadh anashadadia chama. Tena kawqsema zaidi waislamu wenzetu kuliko wagalatia. Hivyo msimlishe maneno Baba yetu.
Amaanishe leo baada ya tamko la TEC!? Mbona hakusema hayo wakati wale.mashekhe walipokuwa wakiropoka kuhusu huo mkataba!?
 
Amaanishe leo baada ya tamko la TEC!? Mbona hakusema hayo wakati wale.mashekhe walipokuwa wakiropoka kuhusu huo mkataba!?
JK mzee wetu siyo mdini kabisa. Na hakumaanisha wakatoliki na walaka wao bali alimaanisha wote!
 
Huyu Mzee wa kungata na kupuliza, unaweza hisi hayupo kumbe ndio master planner
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu,

Ninajua tunapitia kwenye kipindi kigumu sasa tunapojadili juu ya huu mkataba unaolenga kuuza bandari zetu na kuturejesha utumwani kwa waarabu.

Ninachojiuliza mpaka sasa ni wapi alipo Jakaya Mrisho Kikwete? Kuna mtu amesikia kauli yoyote toka kwake?

Mimi binafsi sijasikia akisema chochote juu ya sakata hili. Ina maana yeye halimgusi, au halimhusu?

Jakaya Mrisho Kikwete ndiye taswira au kioo cha ccm kwa sasa. Yeye anasimama kwenye nafasi ya Baba wa taifa mwl Nyerere, na pia mwanamapinduzi John Pombe Magufuli; anayo nafasi kubwa ya kuonyesha njia kwetu kama taifa kujua kule tunakoelekea.

Swali langu: Je, kuna mtu amesikia sauti ya JK juu ya hili? Amesimama upande gani?

Je, anasubiri tuuzwe kwanza kwa waarabu ndipo ajitokeze?

Napenda nimpe taarifa: asiposimama sasa kukemea na kuitetea nchi yake (Tanganyika/Tanzania), damu ya watanzania itadaiwa mikononi mwake na uzao wake daima milele.

Aliyesikia kauli ya kikwete atujuze.
Mnamrushia mzigo mstaafu?

Kashamaliza kitabu chake, mnamtafutia dhambi zisizomhusu...

Au nikuulize kwanini umemchagua Jakaya na sio Ali Hassan Mwinyi? Wote ni Marais wastaafu....

Au una Usukuma gang kwenye oblangata yako?
 
Ukimuondoa Mwalimu Nyerere, hakuna rais mwingine yeyote mstaafu anatiaga neno kwenye jambo kama hili. Wanajielewa hawawezi kuingilia jambo lolote publically, kama kuna cha kushauri, huwa wanatinga Ikulu kimya kimya na kutoa ushauri.
P
kwa hali ambayo mjadala wa bandari umefikia,mtu kama JK hakupaswa kukakaa kimya.

hiyo ya kutinga ikulu kimya kimya kwenda kushauri, ni unafiki, umbea,usengenyaji na usukunuku.kwanini asitoe tu msimamo wake hadharani?,anahofia nini?.

haoni kwamba kukaa kwake kimya kunazidi kuamsha mjadala unaomuhisisha na yeye kama masterminder wa project mzima wa ndoa ya dp world na bandari zetu?.
 
kwa hali ambayo mjadala wa bandari umefikia,mtu kama JK hakupaswa kukakaa kimya.

hiyo ya kutinga ikulu kimya kimya kwenda kushauri, ni unafiki, umbea,usengenyaji na usukunuku.kwanini asitoe tu msimamo wake hadharani?,anahofia nini?.

haoni kwamba kukaa kwake kimya kunazidi kuamsha mjadala unaomuhisha yeye kama masterminder wa project nzima ya dp world na bandari?.
Kwa kweli JK anatakiwa aseme neno moja tu kwa ajili ya kuliponya Taifa.

Mimi naamini, kwa heshima yake kama Rais mstaafu atasikilizwa na serikali pamoja na wananchi. Atoke hadharani, atumie hekima yake kuweka sawa suala la udini liloibuka. Wakristo na waislam sote ni wamoja tujirekabisha tuache hisia mbaya kwamba wakristo wakitoa maoni tofauti juu ya DPW wanasema hivyo kwa sababu mwarabu ni muislam. Au waislam wakimkubali DPW wanafanya hivyo kwa sababu kampuni ya DPW ni waislam.

Mbona DPW wameajiri hata wakristo. Mfano kwenye ile clip ya Mbeya walipokuwa wanaahidi kutoa Masaada wa msikiti, yule mkalimani wao alisema yeye ni mkristo.

Tukubali kwamba ni haki ya kila mtu binafsi au kikundi cha watu watanzania (kiwe cha kidini au vinginevyo) kutoa maoni na mapendekezo yao kwa kadri walivyojaaliwa na mwenyezi Mungu. Na siyo lazima yafanane, siyo lazima yakubaliwe. Tuvumiliane tunapotofautiana, tusikashifiane kwa misingi ya dini. Hakuna dini inayofundisha ubaguzi na matusi. Zote zinafundisha haki, amani na upendo.

Lakini tukianza kutazamana kwa mrengo wa imani za dini, hatutakuwa na mwisho mwema. Kama nchi, tunajichimbia kaburi la kujizika wenyewe. Of course ndiyo itakuwa furaha ya Dubai kwani atakuwa ametugawa ili atutawale vizuri, hususan atakapofanikiwa kuanza shughuli zake huku tukiwa tumeshindwa kubadilisha vipengele-janja vya mkataba, simply kwa sababu ya ubishani wetu.

Na mjue huu mkataba haurudi nyuma. The best way ni kubadili maeneo mabaya na kuwa makini zaidi kwenye HGA's. Maeneo mabaya baadhi yake ni kuondoa kipengele cha kuwapa bandari zote, muda wa ukomo, uwekezaji uwe wa ubia DPW na serikali (TPA) na mengine kwa mujibu wa wanasheria. Aidha wakati wa kurekebisha serikali iwaalike wabobevu kama kina Prof Shivji n.k. kuja kutoa ushauri. Iwatumie watu wake hawa vizuri hata kama wamestaafu.

Otherwise, we are doomed!
 
Mnamrushia mzigo mstaafu?

Kashamaliza kitabu chake, mnamtafutia dhambi zisizomhusu...

Au nikuulize kwanini umemchagua Jakaya na sio Ali Hassan Mwinyi? Wote ni Marais wastaafu....

Au una Usukuma gang kwenye oblangata yako?
Ameibuka jana akasema tusichanganye dini na siasa!
Bwashee kwani wewe una ukabila kwenye oblangata yako?
 
Back
Top Bottom