Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Attention ndio inawapa uhai wa kile wanachokifanya, dawa ni kuwaskip tu kwan tunalipwa useme ukiskip utapunguza mpunga?Well said ππ
Yaani hawastahili kabisa kupewa attention
Kibonge gani huyoIla JF ππ, comments ndio zenyewe.
Achana na story za Ban, kuna ka "mada kameanzia" page ya 17 hivi.....
Watu wamemfungia Vioo kibonge, kibonge kamind anasambaza Uongo ( hatuwezi thibithisha mpaka kibonge aseme).
Kama ni mzururaji humu ni rahisi kumjua kibonge, japo siku hizi kapoa.
Good thing ni kwamba unakuwa ume guess tu na hakuna mtu wa kukwambia ume guess wrongly.....
Kwanini mkuu
Duuuh aseee nishawahi sikia hii kitu sehemu flani kwa mtu flani hivi Bantu Lady hukuwahi kusema hii kitu ila nilipotezeaga kumbe ni ukweli duuuh na huu uzi unamaanisha nn sasa πππnitabaniwa mkuu tafwazal ila mwana ni mboga huyo
Ahsante sana aisee yaani nilikoma
Nimeona kuna mtu ka like itakuwa maombi yetu yamefanya kaziAliyepigw ban anareply ni nanπ€£
πmboga hio IDuuuh aseee nishawahi sikia hii kitu sehemu flani kwa mtu flani hivi Bantu Lady hukuwahi kusema hii kitu ila nilipotezeaga kumbe ni ukweli duuuh na huu uzi unamaanisha nn sasa πππ
Mtoto 26 ni halali kudai bima? Mtoto 26 ni halali kudai bima?
Si ndio
Vipi code hujaielewa nikufungulie au bado unazoom inMmmh [emoji848][emoji848][emoji848][emoji849]
Zurura tu humu utamjua....Kibonge gani huyo
Daaah jamaa hafanani kabisa we ulijuaje embu nipe prove zaidi mkuuπmboga hio I
Mimi napenda +ve vibesAttention ndio inawapa uhai wa kile wanachokifanya, dawa ni kuwaskip tu kwan tunalipwa useme ukiskip utapunguza mpunga?
mkuu Mimi ni jasusi hata wewe naweza kukujuaDaaah jamaa hafanani kabisa we ulijuaje embu nipe prove zaidi mkuu
Sensational duuh π€―π€π€π€ sawasawa jasusi π―π―mkuu Mimi ni jasusi hata wewe naweza kukujua
That's totally absolutelly pure maturity.Mimi napenda +ve vibes
Ndio maana mada za comedy nazipenda sana, sasa jitu likija na stress zake kutaka kuharibu vibe hua hamna namna zaidi ya kumuignore apeleke upuuzi wake huko kwa watu wa level zake....
Kwann au papai nalo kama wasemavyo π€Trust me you don't wanna know Johnnie Walker
Natakiwa kujieleza sana kwako?umenuna?π π
ulitakiwa ujibu mambo yaisheNatakiwa kujieleza sana kwako?