Kuvumiliana JF

Kuvumiliana JF

Status
Not open for further replies.
Utakuw unavuta bangi sio bure🤣
😂😂😂😂😂 Hamna mkuuu mods ni wanangu sana hawa au sio

Maxence Melo tena ww unipe verification badge yangu kila siku nawaambia mnanigomea ntawafuata hapo mikocheni mi nipo kwa Warioba hapa we haya pasaka ikiisha we dogo Maxence Melo unipe badge yangu la sivyo utanitambua mi ni nani


I'm kidding but I'm serious 😜😜😜
 
Yule mod kweli akija umchinjie jogoo aliyenona,ni mstaarabu sana🥰

😂😂😂 af wale watu muda wote wamekaa kishari as if hawana maisha nje ya JF.
Ni uswahili tu umewajaa + kutokujiamini.

Mimi kwenye matusi hapo hawatanikamata kamwe, labda tuukorofi twa hapa na pale🤣 ila ban ya kuhusu matusi hiyo hapana.

Matusi ndio kitu siwezi sio tu kuandika, hata kutamka kwa bahati mbaya siwezi.
una utamu wa moyo we dada 🥰😍
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom