Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂 Hamna mkuuu mods ni wanangu sana hawa au sioUtakuw unavuta bangi sio bure🤣
😂 Anamtia moyo tu ila hapo hakuna mfika mbaliJamaa snitch sana yani, hiko chuma gani sasa au upumbavu tu, af anamalizia huyu ana kitu atafika mbali 😀😀😀
😂😂😭😭😭😭😭😭😭Ukipigwa ban unafanya nini? una ID nyingine 😃
Suluhisho ni kuwa na altenative IDWatu wengi tupo addicted na JF Yaani kuikosa hata siku Moja Ni shughuli pevu Sana,mi Kuna wakati nilipigwa ban ya wiki Moja nikadhani Mwezi aisee😂
Ukipigwa ban unafanya nini? una ID nyingine 😃
Ndio unayapenda 😅Parachute?
una utamu wa moyo we dada 🥰😍Yule mod kweli akija umchinjie jogoo aliyenona,ni mstaarabu sana🥰
😂😂😂 af wale watu muda wote wamekaa kishari as if hawana maisha nje ya JF.
Ni uswahili tu umewajaa + kutokujiamini.
Mimi kwenye matusi hapo hawatanikamata kamwe, labda tuukorofi twa hapa na pale🤣 ila ban ya kuhusu matusi hiyo hapana.
Matusi ndio kitu siwezi sio tu kuandika, hata kutamka kwa bahati mbaya siwezi.
jana ilikua siku nzuri sanaHahaha huyo fala na huyu cocastic walikuwa wanateteana na uchoko wao acha walambwe kuna mbwa mwingine namngojea na yy ale ban
💯💯💯 Sawa sawa3. Cocastic yuko banned
huyu kufungiwa ni jambo jema kwa kizazi chetu na jamii kwa ujumla ,sheria za nchi na katiba vilindwe kwa nguvu yoyote
🤣🤣🤣🤣Oya jiheshimu
Bye 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃Oya jiheshimu
Hata mimi nimefurahi sana ole wake mods yoyote yule amwachie huru hawatopenda kabisa umesikia ww Moderator msikae mumuachie huyo choko yangu ni hayojana ilikua siku nzuri sana
nafikiri uwongozi ujaribu kufuta na baadhi ya mabandiko aliyoandika kinyume na sheria na katiba ya nchi