To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
VizuriSawa jibu umelipata. Ila omba yasikupate uliyoyasababisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
VizuriSawa jibu umelipata. Ila omba yasikupate uliyoyasababisha
Mwalimu na Mwanafunzi wake!Hivi kufeli au kufaulu kwa mwanafunzi darasani ni nan ndio tatizo
sawa, kwa hiyo nikifeli ndio ushangirieHivi kufeli au kufaulu kwa mwanafunzi darasani ni nan ndio tatizo
Nakukumbusha usome, usije feli tenasawa, kwa hiyo nikifeli ndio ushangirie
Hayawezi kunikuta maana, kwasababu sijapanga yatokeeNakwambia omba yasikukute mkuu
Mwalimu anakupa full access ya maarifa unayotaka, wewe ndio unachagua kiasi gani cha maarifa ukipate, hiyo basi kufaulu ni wewe na kufeli ni weweMwalimu na Mwanafunzi wake!
VizuriHayawezi kunikuta maana, kwasababu sijapanga yatokee
ebu tuambie undugu unavunjwajeWasalam ndugu zangu wana JamiiForums, ni mara nyingine naleta kwenu mada nyingine.
Vitabu vya dini vimekuwa vikituhusia sana tusivunje undugu kwa matatizo au changamoto za hapa na pale zinazotokea aidha kwenye jamii zetu au familia zetu, lakini kumekuwa na sababu nyingi zinazopelekea ndugu kuchukiana na kupelekea kuchukiana maisha na hata wengine kufikia kutokuzikana.
Kwa mfano mimi miaka 10 nyuma niliwahi kupata kupewa kesi mbaya sana ya jinai iliyonifanya nikae gerezani miezi 6 lakini kuna baadhi ya ndugu walikuwa wanashangilia huku wakisema Mwizukulu Mgikuru ndio basi tena mshenzi yule.
Huyo anaeshangilia matatizo yako hujawahi kulala au kula kwake na pia hujawahi kumuomba msaada wa aina yoyote! Sasa ndugu wa aina hii wa nini wakuu? Ipo haja ya kuwa nae?