Kuvunja undugu na ndugu zako wa damu wanaokutakia mabaya ni kosa?

ndugu yako akikutakia mabaya kashapoteza sifa za kua ndugu.potezea hao nyumbu
 
Tatizo kama lako limewatokea wengi. Kama ulisimuliwa tu potezea na usikae na vinyongo. Ndugu huwezi kumkimbia hasa yule wa damu. Halafu pia jifunze kubeba misalaba yako. Hakuna mtu anayelazimika kukupigia simu kukupa pole kisa ulienda jela. Hata wewe pia hulazimiki kujihusisha na matatizo yao. Kaa zako kimya kama wana makosa basi Mungu atawahukumu wenyewe. Na wewe kama ulikuwa ukiwadharau ndugu zako basi badilika. Tungesikia upande wa ndugu zako basi tungekuwa kwenye nafasi ya kuwashauri. Story yako haija-balance. WAPENDE NDUGU ZAKO.
 
Unavunjaje undugu? Tuanzie hapo na process zake
 
Kwani wao wamekwambia wanataka undugu na wewe?
 
Sio. Kila unachokitarajia utakipata
Umekosa pole
Achana nao pambana ukipata pesa ndugu watakuja
 
ebu tuambie undugu unavunjwaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…