Kuwa introvert bila mambo haya ni Ukichaa

Kuwa introvert bila mambo haya ni Ukichaa

HI great thinkers
Introvert ni mtu anaependa ku spend time mwingi on his own, siyo mtu wa kujichanganya au kushobokea watu au vitu vya watu wengine, mikusanyiko na sherehe siyo rafiki kwake.

Lakini kama wewe una tabia hizo tunategemea uwe na yafuatayo, tofauti na hapo wewe ni kichaa.

1. Genius/inteligent
Unajidaii introvet afu akili kisoda my friend we ni looser tafuta tu watu ujichanganye, sasa huo ukimya na kutochangama na watu huwa unakaa kuwaza nini, introvert wanapokaa peke yao mara zote hutumia mda mwingi kufikiri sana na kutafuta majibu ya mambo mbalimbali on their own.[/SIZE]
ukiwa kilaza jitahidi kuachana na tabia introvert utakufa maskini au kudata baadae.

2.Tajiri.
Introvert afu we kapuku, utapataje connections, introvert unatakiwa uwe smart uwe na hela pesa ikufanyie kazi, tumia mda mwingi ukiwa peke yako kutengeneza plans mbalimbali za kutengeneza mkwaja zaidi, waajili ma extrovert wakufanyie kazi huku wewe ukiwa mzee wa mishe chinichini.

3. Hoby
vipaji vipo vya aina nyingi michezo, kuchora, fashion, graphics etc, unapokaa peke yako una enjoy lakini unapata mda wa kufanya vitu vyako kwa umakini zaidi tofauti na kujichanganya kwenye makelele au kuhuzuria parts zitakazkupoteza mda wako.

4 .Business
My friend unajidai introvert afu huna side hustle inayokukeep busy on your private time. ukiwa introvert afu una business ni rahisi kutoboa kwa sababu most of the time utakuwa focused and not distracted by external factors.


Kwa mtazamo wangu kama wewe ni INTROVERT Afu huna mojawapo ya mambo hayo hapo juu jichanganye kwa masela uwe extrovert hata kwa nguvu utakufa maskini.


Mwenye masikio na asikie.
So your opinions, beliefs, subjectivity yako umeifanya kuwa universal.ama si unit ,yaani unavyowaza wewe unataka iwe ndio iwe objective. Haya bana mie niishie hapa
 
Kwa kuanza mimi ni extrovert.

Mtoa mada to some extent you have spoken the truth that some of them will disagree.
It's hard being introvert na hauna hela unataje connection?
Introvert halafu sio great thinker hivi huo muda unakaa peke yako unawaza nini?

Mawazo yenu introverts, am curious to know your opinions about this🤗
 
Introverts wengi wanaishia kuwa intelligent kwasababu wanakuwa wana spend mda wao mwingi peke yao, hiyo imepelekea wawe na high concentration kwenye mambo mbali mbali.. kama ni kusoma etc

Ila pia introverts wengi wanapenda ngono sana japa hawajioneshi. Na hii ni kwasababu, hawapendi kujichanganya na watu kwahiyo kuna ka upweke fulani wanacho.

Wanafurahi zaidi wakiwa peke yao, kwasababu kuongea kwao ni kufanya kazi nzito sana, haswa pale kunapokuwa na maongezi yasiyo na msingi. Hawapendi maongezi mepesi.

Hawapendi kupigiwa pigiwa simu..

Wanapenda sana mitandao ya kijamii ila hawapendi kujulikana kama huwa wanaitumia, ndo mana wengi chimbo lao kubwa ni Jamii Forum

Ni watu wenye mipango na ni wazuri kwenye ku generate business ideas.

Wanapenda zaidi side hustles ambazo ni za siri na hazipo popular japo ni zenye hela nyingi.
 
2.Tajiri.
Introvert afu we kapuku, utapataje connections, introvert unatakiwa uwe smart uwe na hela pesa ikufanyie kazi, tumia mda mwingi ukiwa peke yako kutengeneza plans mbalimbali za kutengeneza mkwaja zaidi, waajili ma extrovert wakufanyie kazi huku wewe ukiwa mzee wa mishe chinichini.
Hapa naomba nikupinge Introvert hawezi kuwa tajiri maana muda mwingi anawasaidia watu kutatua matatizo yao na ni mtu mwenye huruma hawezi kuona mtu anapata tabu asimsaidie kwa hiyo kile chake alichokua nacho kingi anatumia kisolve matatizo ya watu
 
Chai
JamiiForums-523798951.gif
 
Back
Top Bottom