Kuwa introvert bila mambo haya ni Ukichaa

Kuwa introvert bila mambo haya ni Ukichaa

Nakuunga mkono, kuwa introvert nabidi uwe angalau na akili ya ziada ya kujitegemea na pesa isiwe tatizo..

Mtu upo introvert halafu huna akili ya ziada wala pesa!! Hapo labda uitwe introvert wa mchongo
Unaongea kama vile kuwa introvert ni jambo la kuamua iwe hivyo
 
Unaongea kama vile kuwa introvert ni jambo la kuamua iwe hivyo
Wenda watu humu hawana uelewa mpana kuhusu introvert, hilo utaligundua kupitia michango yao kuhusu introvert ni mtu wa namna gani ? Je ni maamuzi yake kuwa hivyo au ni hali tu aliyo zaliwa nayo inayo mlazimisha kuwa hivyo?

Kinacho onekana hapa ni kuwa jamii ya extrovert ina jadili jamii ya introvert na ina ilazimisha kuishi kiextrovert wakati haipo hivyo.

Mleta mada naye hana uelewa mpana kuhusu introvert ni watu wa namna gani laiti kama angekuwa amepata kuishi na mtu wa namna hiyo wenda ange badili msimamo wake kwa haya aliyo andika .

Watu wana changanya kati ya mtu introvert na mtu mkimya, sio kila mtu mkimya ni introvert japo kuwa introvert wana sifa ya ukimya.
 
Uwenda watu humu hawana uelewa mpana kuhusu introvert, hilo utaligundua kupitia michango yao kuhusu introvert ni mtu wa namna gani ? Je ni maamuzi yake kuwa hivyo au ni hali tu aliyo zaliwa nayo inayo mlazimisha kuwa hivyo?

Kinacho onekana hapa ni kuwa jamii ya extrovert Ina jadili jamii ya introvert na ina unailazimisha kuishi kiextrovert wakati haipo hivyo.

Mleta mada naye hana uelewa mpana kuhusu introvert ni watu wa namna gani laiti kama angekuwa amepata kuishi na mtu wa namna hiyo wenda ange badili msimamo wake kwa haya aliyo andika .

Watu wana changanya kati ya mtu introvert na mtu mkimya, sio kila mtu mkimya ni introvert japo kuwa introvert wana sifa ya ukimya.
Nimejikuta nasoma hii comment kwanzia chini kwenda juu 🥴
 
kama connection zingekuwa zinapatikana kwa kuwa muongeaji, basi maextrovert wote wangekuwa na kazi wala sio kukaa vijiweni kupiga kapilimpyempye!
 
Kwani anakuwa hivyo kwa kuamua au ndio alivyozaliwa...

Mtazamo wangu binafsi:

1. Mi nahisi ni mtu introvert anakuwa hapendi kuharibu ratiba yake kwa ajili watu wengine. Mfano: Yeye jioni anapenda kukaa Pub flani ubungo huko karibu na home kwake akipiga bia zake. Wewe unampigia masimu aje ulipo wewe sinza huko kunywa bia ile ile. Hapo tayari unamkera.

2. Mwingine unakuta hapendi vibe au story za rafiki zake ila anazivumilia tu kwasababu ndio rafiki zake. Unakuta hana interest za Simba na Yanga anajilazimisha tu ili a-fit-in au story za 'demu flan nimepiga' yeye zinamkera. Ku avoid yote hayo anaamua ku-chill kivyake
 
HI great thinkers
Introvert ni mtu anaependa ku spend time mwingi on his own, siyo mtu wa kujichanganya au kushobokea watu au vitu vya watu wengine, mikusanyiko na sherehe siyo rafiki kwake.

Lakini kama wewe una tabia hizo tunategemea uwe na yafuatayo, tofauti na hapo wewe ni kichaa.

1. Genius/inteligent
Unajidaii introvet afu akili kisoda my friend we ni looser tafuta tu watu ujichanganye, sasa huo ukimya na kutochangama na watu huwa unakaa kuwaza nini, introvert wanapokaa peke yao mara zote hutumia mda mwingi kufikiri sana na kutafuta majibu ya mambo mbalimbali on their own.[/SIZE]
ukiwa kilaza jitahidi kuachana na tabia introvert utakufa maskini au kudata baadae.

2.Tajiri
Introvert afu we kapuku, utapataje connections, introvert unatakiwa uwe smart uwe na hela pesa ikufanyie kazi, tumia mda mwingi ukiwa peke yako kutengeneza plans mbalimbali za kutengeneza mkwaja zaidi, waajili ma extrovert wakufanyie kazi huku wewe ukiwa mzee wa mishe chinichini.

3. Hoby
vipaji vipo vya aina nyingi michezo, kuchora, fashion, graphics etc, unapokaa peke yako una enjoy lakini unapata mda wa kufanya vitu vyako kwa umakini zaidi tofauti na kujichanganya kwenye makelele au kuhuzuria parts zitakazkupoteza mda wako.

4. Business
My friend unajidai introvert afu huna side hustle inayokukeep busy on your private time. ukiwa introvert afu una business ni rahisi kutoboa kwa sababu most of the time utakuwa focused and not distracted by external factors.

Kwa mtazamo wangu kama wewe ni INTROVERT Afu huna mojawapo ya mambo hayo hapo juu jichanganye kwa masela uwe extrovert hata kwa nguvu utakufa maskini.

Mwenye masikio na asikie.
Wanakuja
 
HI great thinkers
Introvert ni mtu anaependa ku spend time mwingi on his own, siyo mtu wa kujichanganya au kushobokea watu au vitu vya watu wengine, mikusanyiko na sherehe siyo rafiki kwake.

Lakini kama wewe una tabia hizo tunategemea uwe na yafuatayo, tofauti na hapo wewe ni kichaa.

1. Genius/inteligent
Unajidaii introvet afu akili kisoda my friend we ni looser tafuta tu watu ujichanganye, sasa huo ukimya na kutochangama na watu huwa unakaa kuwaza nini, introvert wanapokaa peke yao mara zote hutumia mda mwingi kufikiri sana na kutafuta majibu ya mambo mbalimbali on their own.[/SIZE]
ukiwa kilaza jitahidi kuachana na tabia introvert utakufa maskini au kudata baadae.

2.Tajiri
Introvert afu we kapuku, utapataje connections, introvert unatakiwa uwe smart uwe na hela pesa ikufanyie kazi, tumia mda mwingi ukiwa peke yako kutengeneza plans mbalimbali za kutengeneza mkwaja zaidi, waajili ma extrovert wakufanyie kazi huku wewe ukiwa mzee wa mishe chinichini.

3. Hoby
vipaji vipo vya aina nyingi michezo, kuchora, fashion, graphics etc, unapokaa peke yako una enjoy lakini unapata mda wa kufanya vitu vyako kwa umakini zaidi tofauti na kujichanganya kwenye makelele au kuhuzuria parts zitakazkupoteza mda wako.

4. Business
My friend unajidai introvert afu huna side hustle inayokukeep busy on your private time. ukiwa introvert afu una business ni rahisi kutoboa kwa sababu most of the time utakuwa focused and not distracted by external factors.

Kwa mtazamo wangu kama wewe ni INTROVERT Afu huna mojawapo ya mambo hayo hapo juu jichanganye kwa masela uwe extrovert hata kwa nguvu utakufa maskini.

Mwenye masikio na asikie.
kwa bahati mbaya, hayo yote umetaja introvert wanayo. kuwa wakimya sana kunawafanya wafikirie sana, watunze sana siri za biashara na opportunities, wapambane sana kwenye utafutaji kwasababu wanajua that's the only way watatoboa. majority sio wanasiasa, ni wamiliki wa biashara zinazoongozwa na extroverts.
 
kwa bahati mbaya, hayo yote umetaja introvert wanayo. kuwa wakimya sana kunawafanya wafikirie sana, watunze sana siri za biashara na opportunities, wapambane sana kwenye utafutaji kwasababu wanajua that's the only way watatoboa. majority sio wanasiasa, ni wamiliki wa biashara zinazoongozwa na extroverts.
✅🙏
 
Wenda watu humu hawana uelewa mpana kuhusu introvert, hilo utaligundua kupitia michango yao kuhusu introvert ni mtu wa namna gani ? Je ni maamuzi yake kuwa hivyo au ni hali tu aliyo zaliwa nayo inayo mlazimisha kuwa hivyo?

Kinacho onekana hapa ni kuwa jamii ya extrovert ina jadili jamii ya introvert na ina ilazimisha kuishi kiextrovert wakati haipo hivyo.

Mleta mada naye hana uelewa mpana kuhusu introvert ni watu wa namna gani laiti kama angekuwa amepata kuishi na mtu wa namna hiyo wenda ange badili msimamo wake kwa haya aliyo andika .

Watu wana changanya kati ya mtu introvert na mtu mkimya, sio kila mtu mkimya ni introvert japo kuwa introvert wana sifa ya ukimya.
Wengi hawajui kuwa ni hali ya kigenetic na si ya kujifunza. Kuwa introvert au extrovert inaamuliwa na "dopamine levels and the structure of receptors" kwenye ubongo.
 
HI great thinkers
Introvert ni mtu anaependa ku spend time mwingi on his own, siyo mtu wa kujichanganya au kushobokea watu au vitu vya watu wengine, mikusanyiko na sherehe siyo rafiki kwake.

Lakini kama wewe una tabia hizo tunategemea uwe na yafuatayo, tofauti na hapo wewe ni kichaa.

1. Genius/inteligent
Unajidaii introvet afu akili kisoda my friend we ni looser tafuta tu watu ujichanganye, sasa huo ukimya na kutochangama na watu huwa unakaa kuwaza nini, introvert wanapokaa peke yao mara zote hutumia mda mwingi kufikiri sana na kutafuta majibu ya mambo mbalimbali on their own.[/SIZE]
ukiwa kilaza jitahidi kuachana na tabia introvert utakufa maskini au kudata baadae.

2.Tajiri
Introvert afu we kapuku, utapataje connections, introvert unatakiwa uwe smart uwe na hela pesa ikufanyie kazi, tumia mda mwingi ukiwa peke yako kutengeneza plans mbalimbali za kutengeneza mkwaja zaidi, waajili ma extrovert wakufanyie kazi huku wewe ukiwa mzee wa mishe chinichini.

3. Hoby
vipaji vipo vya aina nyingi michezo, kuchora, fashion, graphics etc, unapokaa peke yako una enjoy lakini unapata mda wa kufanya vitu vyako kwa umakini zaidi tofauti na kujichanganya kwenye makelele au kuhuzuria parts zitakazkupoteza mda wako.

4. Business
My friend unajidai introvert afu huna side hustle inayokukeep busy on your private time. ukiwa introvert afu una business ni rahisi kutoboa kwa sababu most of the time utakuwa focused and not distracted by external factors.

Kwa mtazamo wangu kama wewe ni INTROVERT Afu huna mojawapo ya mambo hayo hapo juu jichanganye kwa masela uwe extrovert hata kwa nguvu utakufa maskini.

Mwenye masikio na asikie.
Inasemakana introverts wanahusiana na haya makundi nyota kama unafatilia na wapo katika kundi la kwanza kabisa.

Kundi nyota la MOTO.
 
Back
Top Bottom