Kuwa introvert bila mambo haya ni Ukichaa

Kuwa introvert bila mambo haya ni Ukichaa

Hii personality sio mchezo,
Vita ya kupambania maisha inaanzia ndan yako, unaweza kua na uhakika kabisa kwamba hili ndo jibu la jambo fulan lakin ujasiri wa kulitaja kwa sauti ukakosa[emoji16]
Mipango kibao utekelezaji sifur kudadeki..
 
Introverts wengi wanaishia kuwa intelligent kwasababu wanakuwa wana spend mda wao mwingi peke yao, hiyo imepelekea wawe na high concentration kwenye mambo mbali mbali.. kama ni kusoma etc

Ila pia introverts wengi wanapenda ngono sana japa hawajioneshi. Na hii ni kwasababu, hawapendi kujichanganya na watu kwahiyo kuna ka upweke fulani wanacho.

Wanafurahi zaidi wakiwa peke yao, kwasababu kuongea kwao ni kufanya kazi nzito sana, haswa pale kunapokuwa na maongezi yasiyo na msingi. Hawapendi maongezi mepesi.

Hawapendi kupigiwa pigiwa simu..

Wanapenda sana mitandao ya kijamii ila hawapendi kujulikana kama huwa wanaitumia, ndo mana wengi chimbo lao kubwa ni Jamii Forum

Ni watu wenye mipango na ni wazuri kwenye ku generate business ideas.

Wanapenda zaidi side hustles ambazo ni za siri na hazipo popular japo ni zenye hela nyingi.
Yes that is what I'm talking. Assume MTU ni intro afu Hana Hilo Hata moja si ni ukichaaaa huo.
 
Mi sijielewi, napenda kukaa muda mwingi mwenyewe nikifanya mambo yangu. Ila nikipata nafasi ya kujichanganya basi nakuwa sishikiki. Naongea balaa.
 
HI great thinkers
Introvert ni mtu anaependa ku spend time mwingi on his own, siyo mtu wa kujichanganya au kushobokea watu au vitu vya watu wengine, mikusanyiko na sherehe siyo rafiki kwake.

Lakini kama wewe una tabia hizo tunategemea uwe na yafuatayo, tofauti na hapo wewe ni kichaa.

1. Genius/inteligent
Unajidaii introvet afu akili kisoda my friend we ni looser tafuta tu watu ujichanganye, sasa huo ukimya na kutochangama na watu huwa unakaa kuwaza nini, introvert wanapokaa peke yao mara zote hutumia mda mwingi kufikiri sana na kutafuta majibu ya mambo mbalimbali on their own.[/SIZE]
ukiwa kilaza jitahidi kuachana na tabia introvert utakufa maskini au kudata baadae.

2.Tajiri
Introvert afu we kapuku, utapataje connections, introvert unatakiwa uwe smart uwe na hela pesa ikufanyie kazi, tumia mda mwingi ukiwa peke yako kutengeneza plans mbalimbali za kutengeneza mkwaja zaidi, waajili ma extrovert wakufanyie kazi huku wewe ukiwa mzee wa mishe chinichini.

3. Hoby
vipaji vipo vya aina nyingi michezo, kuchora, fashion, graphics etc, unapokaa peke yako una enjoy lakini unapata mda wa kufanya vitu vyako kwa umakini zaidi tofauti na kujichanganya kwenye makelele au kuhuzuria parts zitakazkupoteza mda wako.

4. Business
My friend unajidai introvert afu huna side hustle inayokukeep busy on your private time. ukiwa introvert afu una business ni rahisi kutoboa kwa sababu most of the time utakuwa focused and not distracted by external factors.

Kwa mtazamo wangu kama wewe ni INTROVERT Afu huna mojawapo ya mambo hayo hapo juu jichanganye kwa masela uwe extrovert hata kwa nguvu utakufa maskini.

Mwenye masikio na asikie.
Umesahau kazi ya kuajiriwa kwa wale wasio na kichwa Cha biashara
 
Kwa kuanza mimi ni extrovert.

Mtoa mada to some extent you have spoken the truth that some of them will disagree.
It's hard being introvert na hauna hela unataje connection?
Introvert halafu sio great thinker hivi huo muda unakaa peke yako unawaza nini?

Mawazo yenu introverts, am curious to know your opinions about this🤗
Samahani ndugu, ningependa kufahamu kitu kimoja kutoka kwako je unamfahamu mwanasayansi/mwanafizikia aitwae Nikola Tesla au Isaac Newton ?
 
Uko sahihi kwa kiasi chake.
Introverts wengi wanaishia kuwa intelligent kwasababu wanakuwa wana spend mda wao mwingi peke yao, hiyo imepelekea wawe na high concentration kwenye mambo mbali mbali.. kama ni kusoma etc

Ila pia introverts wengi wanapenda ngono sana japa hawajioneshi. Na hii ni kwasababu, hawapendi kujichanganya na watu kwahiyo kuna ka upweke fulani wanacho.

Wanafurahi zaidi wakiwa peke yao, kwasababu kuongea kwao ni kufanya kazi nzito sana, haswa pale kunapokuwa na maongezi yasiyo na msingi. Hawapendi maongezi mepesi.

Hawapendi kupigiwa pigiwa simu..

Wanapenda sana mitandao ya kijamii ila hawapendi kujulikana kama huwa wanaitumia, ndo mana wengi chimbo lao kubwa ni Jamii Forum

Ni watu wenye mipango na ni wazuri kwenye ku generate business ideas.

Wanapenda zaidi side hustles ambazo ni za siri na hazipo popular japo ni zenye hela nyingi.
 
HI great thinkers
Introvert ni mtu anaependa ku spend time mwingi on his own, siyo mtu wa kujichanganya au kushobokea watu au vitu vya watu wengine, mikusanyiko na sherehe siyo rafiki kwake.

Lakini kama wewe una tabia hizo tunategemea uwe na yafuatayo, tofauti na hapo wewe ni kichaa.

1. Genius/inteligent
Unajidaii introvet afu akili kisoda my friend we ni looser tafuta tu watu ujichanganye, sasa huo ukimya na kutochangama na watu huwa unakaa kuwaza nini, introvert wanapokaa peke yao mara zote hutumia mda mwingi kufikiri sana na kutafuta majibu ya mambo mbalimbali on their own.[/SIZE]
ukiwa kilaza jitahidi kuachana na tabia introvert utakufa maskini au kudata baadae.

2.Tajiri
Introvert afu we kapuku, utapataje connections, introvert unatakiwa uwe smart uwe na hela pesa ikufanyie kazi, tumia mda mwingi ukiwa peke yako kutengeneza plans mbalimbali za kutengeneza mkwaja zaidi, waajili ma extrovert wakufanyie kazi huku wewe ukiwa mzee wa mishe chinichini.

3. Hoby
vipaji vipo vya aina nyingi michezo, kuchora, fashion, graphics etc, unapokaa peke yako una enjoy lakini unapata mda wa kufanya vitu vyako kwa umakini zaidi tofauti na kujichanganya kwenye makelele au kuhuzuria parts zitakazkupoteza mda wako.

4. Business
My friend unajidai introvert afu huna side hustle inayokukeep busy on your private time. ukiwa introvert afu una business ni rahisi kutoboa kwa sababu most of the time utakuwa focused and not distracted by external factors.

Kwa mtazamo wangu kama wewe ni INTROVERT Afu huna mojawapo ya mambo hayo hapo juu jichanganye kwa masela uwe extrovert hata kwa nguvu utakufa maskini.

Mwenye masikio na asikie.
Kwako mleta hoja ningependa kufahamu mambo machache kutoka kwako:-
Je ni ipi tafsiri sahihi ya neno Introvert ?
Na
Je ni zipi sifa sahihi mtu anapaswa kuwa nazo ili kutambulika kama introvert ?
 
Mitanganyika toka ijue neno introvert na 'all in all' imekua shida. Kila mtu ni introvert siku hizi 🤣
 
HI great thinkers
Introvert ni mtu anaependa ku spend time mwingi on his own, siyo mtu wa kujichanganya au kushobokea watu au vitu vya watu wengine, mikusanyiko na sherehe siyo rafiki kwake.

Lakini kama wewe una tabia hizo tunategemea uwe na yafuatayo, tofauti na hapo wewe ni kichaa.

1. Genius/inteligent
Unajidaii introvet afu akili kisoda my friend we ni looser tafuta tu watu ujichanganye, sasa huo ukimya na kutochangama na watu huwa unakaa kuwaza nini, introvert wanapokaa peke yao mara zote hutumia mda mwingi kufikiri sana na kutafuta majibu ya mambo mbalimbali on their own.[/SIZE]
ukiwa kilaza jitahidi kuachana na tabia introvert utakufa maskini au kudata baadae.

2.Tajiri
Introvert afu we kapuku, utapataje connections, introvert unatakiwa uwe smart uwe na hela pesa ikufanyie kazi, tumia mda mwingi ukiwa peke yako kutengeneza plans mbalimbali za kutengeneza mkwaja zaidi, waajili ma extrovert wakufanyie kazi huku wewe ukiwa mzee wa mishe chinichini.

3. Hoby
vipaji vipo vya aina nyingi michezo, kuchora, fashion, graphics etc, unapokaa peke yako una enjoy lakini unapata mda wa kufanya vitu vyako kwa umakini zaidi tofauti na kujichanganya kwenye makelele au kuhuzuria parts zitakazkupoteza mda wako.

4. Business
My friend unajidai introvert afu huna side hustle inayokukeep busy on your private time. ukiwa introvert afu una business ni rahisi kutoboa kwa sababu most of the time utakuwa focused and not distracted by external factors.

Kwa mtazamo wangu kama wewe ni INTROVERT Afu huna mojawapo ya mambo hayo hapo juu jichanganye kwa masela uwe extrovert hata kwa nguvu utakufa maskini.

Mwenye masikio na asikie.
Nasisi wapenda kamera (macho ya watu) na hata kwenye vikao tunataka tuongee hata kama hatuna hoja ya maana ili tu tuonekane tupo na kwenye shughuli yoyote tunapenda kuwahi siti za mbele ili tuonekane vizuri. Ktk lugha ya kitaalamu tunaitwaje?
 
Back
Top Bottom