torvic
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 3,978
- 9,841
😂😂😂No,chiriku akasome
nyie vichiriku ndo mnaweza kuwa best partner na introverts
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂No,chiriku akasome
Sanaa😂😂😂
nyie vichiriku ndo mnaweza kuwa best partner na introverts
kuna mdau hapo juu amesema sisi introverts tunapenda ngono simipingi. tukizingitia ile hit nad run yako hatuwezi fanya jambo hapo kwa introvert mie na extrvert wewe?Sanaa
Nimewaona baadhi wanavyoteseka na kuonewa.Ni ukweli
Ila umewaza nin hadi umeanzisha hii mada mkuu?
Nimesema huo ni mtazamo wangu, kama una hoja tofauti leta hapaSo your opinions, beliefs, subjectivity yako umeifanya kuwa universal.ama si unit ,yaani unavyowaza wewe unataka iwe ndio iwe objective. Haya bana mie niishie hapa
NimEkurupuka nimetoka nje ya mawazo yangu. Am totally loser and dumbαςhole. Kama mtizamo wako upo sahihi mie nilijua Ni universal accepted or establishedNimesema huo ni mtazamo wangu, kama una hoja tofauti leta hapa
Yes that is what I'm talking. Assume MTU ni intro afu Hana Hilo Hata moja si ni ukichaaaa huo.Introverts wengi wanaishia kuwa intelligent kwasababu wanakuwa wana spend mda wao mwingi peke yao, hiyo imepelekea wawe na high concentration kwenye mambo mbali mbali.. kama ni kusoma etc
Ila pia introverts wengi wanapenda ngono sana japa hawajioneshi. Na hii ni kwasababu, hawapendi kujichanganya na watu kwahiyo kuna ka upweke fulani wanacho.
Wanafurahi zaidi wakiwa peke yao, kwasababu kuongea kwao ni kufanya kazi nzito sana, haswa pale kunapokuwa na maongezi yasiyo na msingi. Hawapendi maongezi mepesi.
Hawapendi kupigiwa pigiwa simu..
Wanapenda sana mitandao ya kijamii ila hawapendi kujulikana kama huwa wanaitumia, ndo mana wengi chimbo lao kubwa ni Jamii Forum
Ni watu wenye mipango na ni wazuri kwenye ku generate business ideas.
Wanapenda zaidi side hustles ambazo ni za siri na hazipo popular japo ni zenye hela nyingi.
Umesahau kazi ya kuajiriwa kwa wale wasio na kichwa Cha biasharaHI great thinkers
Introvert ni mtu anaependa ku spend time mwingi on his own, siyo mtu wa kujichanganya au kushobokea watu au vitu vya watu wengine, mikusanyiko na sherehe siyo rafiki kwake.
Lakini kama wewe una tabia hizo tunategemea uwe na yafuatayo, tofauti na hapo wewe ni kichaa.
1. Genius/inteligent
Unajidaii introvet afu akili kisoda my friend we ni looser tafuta tu watu ujichanganye, sasa huo ukimya na kutochangama na watu huwa unakaa kuwaza nini, introvert wanapokaa peke yao mara zote hutumia mda mwingi kufikiri sana na kutafuta majibu ya mambo mbalimbali on their own.[/SIZE]
ukiwa kilaza jitahidi kuachana na tabia introvert utakufa maskini au kudata baadae.
2.Tajiri
Introvert afu we kapuku, utapataje connections, introvert unatakiwa uwe smart uwe na hela pesa ikufanyie kazi, tumia mda mwingi ukiwa peke yako kutengeneza plans mbalimbali za kutengeneza mkwaja zaidi, waajili ma extrovert wakufanyie kazi huku wewe ukiwa mzee wa mishe chinichini.
3. Hoby
vipaji vipo vya aina nyingi michezo, kuchora, fashion, graphics etc, unapokaa peke yako una enjoy lakini unapata mda wa kufanya vitu vyako kwa umakini zaidi tofauti na kujichanganya kwenye makelele au kuhuzuria parts zitakazkupoteza mda wako.
4. Business
My friend unajidai introvert afu huna side hustle inayokukeep busy on your private time. ukiwa introvert afu una business ni rahisi kutoboa kwa sababu most of the time utakuwa focused and not distracted by external factors.
Kwa mtazamo wangu kama wewe ni INTROVERT Afu huna mojawapo ya mambo hayo hapo juu jichanganye kwa masela uwe extrovert hata kwa nguvu utakufa maskini.
Mwenye masikio na asikie.
Samahani ndugu, ningependa kufahamu kitu kimoja kutoka kwako je unamfahamu mwanasayansi/mwanafizikia aitwae Nikola Tesla au Isaac Newton ?Kwa kuanza mimi ni extrovert.
Mtoa mada to some extent you have spoken the truth that some of them will disagree.
It's hard being introvert na hauna hela unataje connection?
Introvert halafu sio great thinker hivi huo muda unakaa peke yako unawaza nini?
Mawazo yenu introverts, am curious to know your opinions about this🤗
Introverts wengi wanaishia kuwa intelligent kwasababu wanakuwa wana spend mda wao mwingi peke yao, hiyo imepelekea wawe na high concentration kwenye mambo mbali mbali.. kama ni kusoma etc
Ila pia introverts wengi wanapenda ngono sana japa hawajioneshi. Na hii ni kwasababu, hawapendi kujichanganya na watu kwahiyo kuna ka upweke fulani wanacho.
Wanafurahi zaidi wakiwa peke yao, kwasababu kuongea kwao ni kufanya kazi nzito sana, haswa pale kunapokuwa na maongezi yasiyo na msingi. Hawapendi maongezi mepesi.
Hawapendi kupigiwa pigiwa simu..
Wanapenda sana mitandao ya kijamii ila hawapendi kujulikana kama huwa wanaitumia, ndo mana wengi chimbo lao kubwa ni Jamii Forum
Ni watu wenye mipango na ni wazuri kwenye ku generate business ideas.
Wanapenda zaidi side hustles ambazo ni za siri na hazipo popular japo ni zenye hela nyingi.
Ha ha hakuna mdau hapo juu amesema sisi introverts tunapenda ngono simipingi. tukizingitia ile hit nad run yako hatuwezi fanya jambo hapo kwa introvert mie na extrvert wewe?
Kwako mleta hoja ningependa kufahamu mambo machache kutoka kwako:-HI great thinkers
Introvert ni mtu anaependa ku spend time mwingi on his own, siyo mtu wa kujichanganya au kushobokea watu au vitu vya watu wengine, mikusanyiko na sherehe siyo rafiki kwake.
Lakini kama wewe una tabia hizo tunategemea uwe na yafuatayo, tofauti na hapo wewe ni kichaa.
1. Genius/inteligent
Unajidaii introvet afu akili kisoda my friend we ni looser tafuta tu watu ujichanganye, sasa huo ukimya na kutochangama na watu huwa unakaa kuwaza nini, introvert wanapokaa peke yao mara zote hutumia mda mwingi kufikiri sana na kutafuta majibu ya mambo mbalimbali on their own.[/SIZE]
ukiwa kilaza jitahidi kuachana na tabia introvert utakufa maskini au kudata baadae.
2.Tajiri
Introvert afu we kapuku, utapataje connections, introvert unatakiwa uwe smart uwe na hela pesa ikufanyie kazi, tumia mda mwingi ukiwa peke yako kutengeneza plans mbalimbali za kutengeneza mkwaja zaidi, waajili ma extrovert wakufanyie kazi huku wewe ukiwa mzee wa mishe chinichini.
3. Hoby
vipaji vipo vya aina nyingi michezo, kuchora, fashion, graphics etc, unapokaa peke yako una enjoy lakini unapata mda wa kufanya vitu vyako kwa umakini zaidi tofauti na kujichanganya kwenye makelele au kuhuzuria parts zitakazkupoteza mda wako.
4. Business
My friend unajidai introvert afu huna side hustle inayokukeep busy on your private time. ukiwa introvert afu una business ni rahisi kutoboa kwa sababu most of the time utakuwa focused and not distracted by external factors.
Kwa mtazamo wangu kama wewe ni INTROVERT Afu huna mojawapo ya mambo hayo hapo juu jichanganye kwa masela uwe extrovert hata kwa nguvu utakufa maskini.
Mwenye masikio na asikie.
Wewe una mtindio wa ubongo mkuuMbona mimi ni Introvet lkn akili zangu hata kisoda kikubwa sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Nasisi wapenda kamera (macho ya watu) na hata kwenye vikao tunataka tuongee hata kama hatuna hoja ya maana ili tu tuonekane tupo na kwenye shughuli yoyote tunapenda kuwahi siti za mbele ili tuonekane vizuri. Ktk lugha ya kitaalamu tunaitwaje?HI great thinkers
Introvert ni mtu anaependa ku spend time mwingi on his own, siyo mtu wa kujichanganya au kushobokea watu au vitu vya watu wengine, mikusanyiko na sherehe siyo rafiki kwake.
Lakini kama wewe una tabia hizo tunategemea uwe na yafuatayo, tofauti na hapo wewe ni kichaa.
1. Genius/inteligent
Unajidaii introvet afu akili kisoda my friend we ni looser tafuta tu watu ujichanganye, sasa huo ukimya na kutochangama na watu huwa unakaa kuwaza nini, introvert wanapokaa peke yao mara zote hutumia mda mwingi kufikiri sana na kutafuta majibu ya mambo mbalimbali on their own.[/SIZE]
ukiwa kilaza jitahidi kuachana na tabia introvert utakufa maskini au kudata baadae.
2.Tajiri
Introvert afu we kapuku, utapataje connections, introvert unatakiwa uwe smart uwe na hela pesa ikufanyie kazi, tumia mda mwingi ukiwa peke yako kutengeneza plans mbalimbali za kutengeneza mkwaja zaidi, waajili ma extrovert wakufanyie kazi huku wewe ukiwa mzee wa mishe chinichini.
3. Hoby
vipaji vipo vya aina nyingi michezo, kuchora, fashion, graphics etc, unapokaa peke yako una enjoy lakini unapata mda wa kufanya vitu vyako kwa umakini zaidi tofauti na kujichanganya kwenye makelele au kuhuzuria parts zitakazkupoteza mda wako.
4. Business
My friend unajidai introvert afu huna side hustle inayokukeep busy on your private time. ukiwa introvert afu una business ni rahisi kutoboa kwa sababu most of the time utakuwa focused and not distracted by external factors.
Kwa mtazamo wangu kama wewe ni INTROVERT Afu huna mojawapo ya mambo hayo hapo juu jichanganye kwa masela uwe extrovert hata kwa nguvu utakufa maskini.
Mwenye masikio na asikie.
ingia mtandaoni usome acha uvivuKwako mleta hoja ningependa kufahamu mambo machache kutoka kwako:-
Je ni ipi tafsiri sahihi ya neno Introvert ?
Na
Je ni zipi sifa sahihi mtu anapaswa kuwa nazo ili kutambulika kama introvert ?