Kuwa kwenye mahusiano na single mother yataka moyo

Kuwa kwenye mahusiano na single mother yataka moyo

Singo maza haolewi kula tunda sepa, hakikisha hukai nae kwa zaidi ya miez mitatu kwakua huwa wanatabia ya kuficha makucha mwanzon haombi hela na anakupa tunda bila hiyana kwahiyo tumia hako kamda alaf mpige chini, ukizidisha hapo ndo utaanza kupigwa vizinga vya kulea damu ya mwanaume mwenzako na wakat wewe hujawahi hata kupiga kavu huo ni ushoga

Labda kama baba wa mtoto kafa na ukafukua kaburi kuthibisha n kweli ndo baba wa mtoto hapo unaweza kujitolea kulea lakin hiv hiv huo ni ushoga siku wakikutana wanakulana tena wewe kaz yako kutoa matumizi
Jamani jamani hadi kufukua kaburi😒😒 mbona kuna single moms wanaojiheshimu mkuu kupasha viporo hawana mpango huo kabisa.
 
Haha mwenyekiti kwa kweli mimi mwenyewe ile co-parenting sikuielewa. Nikasema labda huko mjini mambo yapo hivyo, huku Mwakaleli ushamba umetuzidi.
Upate single maza kama wale wa diamond sasa, kila weekend anapeleka mtoto kwa baba anapiga na deki chumbani!!! Kuna maisha mengine kiukweli sio mazuri....Mungu ayaepushe
 
Haha mwenyekiti kwa kweli mimi mwenyewe ile co-parenting sikuielewa. Nikasema labda huko mjini mambo yapo hivyo, huku Mwakaleli ushamba umetuzidi.
Co-parenting ya dizaini hiyo mbona haikuwahi kutokea kwa Ivan? Sasa chibu akiwa na mwanamke inakuaje, muda wa co-parenting awape space? Au watakutana wote hapo? Mambo ni vululu vululu
 
Nime-imagine tu eti mume wangu ananiruhusu niende nyumbani kwa baby daddy na watoto tukacreate bond kwa few days, au mume naye akafikie kwa baby momma (analipa kodi yeye) waishi on the same roof in the name of kucreate bond na mtoto. Mmh hakunaga

Si unakumbuka kipindi kile Dai alisema Mama Tee alikuwa anaforce awalete watoto yeye, ilhali Dai alikuwa na Tanasha. So alivyokataa, na mama Tee na yeye akagoma watoto wasiletwe na mtu mwingine. Ngoja tusubiri huko mbeleni
Co-parenting ya dizaini hiyo mbona haikuwahi kutokea kwa Ivan? Sasa chibu akiwa na mwanamke inakuaje, muda wa co-parenting awape space? Au watakutana wote hapo? Mambo ni vululu vululu
 
Uzuri wa haya Mambo, wanaume mnajizungushia Uzi wenyewe, MNATIA MIMBA mnazikimbia, then Kuna WAJINGA wenzenu Tena WANAKUMBANA NAZO, mizigo juu yenu, kwa Mimi ilitokea hivyo ntajivunia mtoto wangu na si kuhangaika na mtu asie na mpango na mwanae..
 
Si tulishakubaliana single mother hatongozwi na baba mtoto![emoji41]ni mwendo wa kujipakulia muda wowote akijisikia njaa [emoji3526]
 
You are not kidding. Huo ndiyo mtihani mkubwa uliopo. Sijui ni kwa nini yaani. Atakusimulia mambo mabaya ya kutisha aliyofanyiwa na baby daddy wake. Alivyotelekezwa na mimba, akateseka karibia ajiue na utopolo mwingine. Mpaka unamwonea huruma. Cha ajabu sasa akikutana na huyo baby daddy wake wewe haupo lazima tu atapashwa kiporo. Hili jambo linashangaza sana !!!

Labda upate anayejitambua sana na ambaye alishamalizana kabisa kabisa na baby daddy wake (au bebi daddy awe keshatangulia mbele ya haki), kuchapiwa ni lazima tu...

#Kidding [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]

Hapo solution ni baby daddy kuRIP tu
 
Aahhh tatizo kumbe wee unaogopa kumuhudumia mtoto wake.

Ok ok ok

Kwa habari za singo maza hakikisha yaan hiyo ni LAZIMA hakikisha unamjali mwanawe

Utakua unajipakulia mwenyewe unavyotaka.
 
You are not kidding. Huo ndiyo mtihani mkubwa uliopo. Sijui ni kwa nini yaani. Atakusimulia mambo mabaya ya kutisha aliyofanyiwa na baby daddy wake. Alivyotelekezwa na mimba, akateseka karibia ajiue na utopolo mwingine. Mpaka unamwonea huruma. Cha ajabu sasa akikutana na huyo baby daddy wake wewe haupo lazima tu atapashwa kiporo. Hili jambo linashangaza sana !!!

Labda upate anayejitambua sana na ambaye alishamalizana kabisa kabisa na baby daddy wake (au bebi daddy awe keshatangulia mbele ya haki), kuchapiwa ni lazima tu...

#Kidding [emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Wachaaaa...

Lakini si kila aliyeachana baby daddy/mama ni lazima wapashe kiporo daddy...
 
mimi nawatafuta lakini siwapati hasa mwenye mtoto mmoja nimwongeze mwingine!
hawana tabu we patana na mtoto wake kwa vizawadi na kulipa ada ya shule kwisha habari yake.

Usiombe yakukute tena tema mate chini maana kumzalisha single mama nikujichimbia kaburi.
 
Binafsi niwe mkwel single mother wana mapenzi ya kwel nilimpata mmoja alinipenda sana na mm nikamuongeza mtoto mwingine bahat Mbaya sana moyon hakuingia kabisa kama ni mwanamke wa kuoa ningemuoa yy mpaka nyumban walimpenda sana lakn mm siku jali nilimchana ww sio chaguo langu akakubal nimepata habar sasa kaolewa na anamtoto na alisema utakuja kunikumbuka na kwel namkumbuka na kutana na kunguru sasa huvi zinazobandika kope kucha kama wachaw hata kunifulia nguo hazitaki pumbavu in mkapa voice
Bado nafsi unayo ya kutafuta mke.chukua muda kuna vitu vidogo vidogo vya kuviangalia kwa mke mtarajiwa,,Haya mambo mengine mtasaidizana maisha yapate kwenda.

Hakuna kitu kizuri kama kupendana na kusikilizana.mwanamke akiwa na adabu na utii hayo mengine yanarekebishika.lakini binadamu sisi sasa..anaekupenda Habari nae huna kabisaa..asiyekupenda basi mizizi ya kichwa itasimama utafikiri kitu gani.😁😁jamani
 
Bado nafsi unayo ya kutafuta mke.chukua muda kuna vitu vidogo vidogo vya kuviangalia kwa mke mtarajiwa,,Haya mambo mengine mtasaidizana maisha yapate kwenda.

Hakuna kitu kizuri kama kupendana na kusikilizana.mwanamke akiwa na adabu na utii hayo mengine yanarekebishika.lakini binadamu sisi sasa..anaekupenda Habari nae huna kabisaa..asiyekupenda basi mizizi ya kichwa itasimama utafikiri kitu gani.[emoji16][emoji16]jamani
Hahahaha alikuja kuleta mtoto town tukapasha kipolo kama wik mbil hivi ujumbe alioniambia kwamba yule mtoto sio wa Mme wake ni wangu nimemjarb kumtafuta usiku huu kaniambia Mme wake hayupo nimemuambia aje tulelee watoto kakubali hahahaha single mother shikamon kauli mbiu ya JF "mpaka mtuonyeshe kaburi la baba mtoto wako "
 
Back
Top Bottom