Tajiri mkopeshaji
JF-Expert Member
- Dec 24, 2022
- 613
- 1,445
Labda kama hujielewi lakin Kwa mfanyabiashara yeyote mkubwa au mdogo na maisha Yako ni biashara..kwenda uko kwenye ulimwengu usioonekana ni lazima kama unataka usalama wa hyo biashara Yako..
Uzuri uko pande zipo mbili utaamua mwenyewe upande wa kuutumikia...but kusema upo tu kwenye game mweupe hata kama una uzoefu sijui mbinu za biashara sijui elimu ..a day to come utaangukia pia tu...
Biashara ni vita sana, upende usipende utapigana tuuu na either wakumalize au uwacontrol...
Uzuri uko pande zipo mbili utaamua mwenyewe upande wa kuutumikia...but kusema upo tu kwenye game mweupe hata kama una uzoefu sijui mbinu za biashara sijui elimu ..a day to come utaangukia pia tu...
Biashara ni vita sana, upende usipende utapigana tuuu na either wakumalize au uwacontrol...