Kuwa mfanyabiashara mkubwa Tanzania bila ndumba au ulinzi wa wataalam inawezekana?

Kuwa mfanyabiashara mkubwa Tanzania bila ndumba au ulinzi wa wataalam inawezekana?

Hapo ndio mwisho wa upeo wako.
Utajiri unatoka kwa Mungu
Shetani ana copy tu
wewe ni mchanga huendi kutafuta utajiri unaenda kujibrush na kuweka vitu katika mnyooko ndio mambo hufunguka na utapata deal za maana ila ukiwa mweupe na unatafuta si kila mnaetafuta nae maeneo yako ni mzuri kwako mzee. Elewa swali la mtoa mada
 
J

Jiseme wewe ya ndugu zako huwezi jua
Nawajua vizuri kwa sababu biashara zetu ni moja
Uswahili shida sana mkuu
Bora muamini shetani tu maana huwezi kuchanganya Mungu na shetani na hapa tusidanganyane
Ni maamuzi ya mtu kuamua kufuata lipi na kuacha lipi
Naona huamini kabisa kuwa kuna watu hawafuati ujinga huo

Yaani mpaka mama ntilie anaenda kwa mganga wakati hajui mapishi
Hebu badilikeni msiwe kama Haiti
 
Kwenda Kwa mganga Ili ufanikiwe kibiashara inaweza kukusaidia ila ni Kwa mda kitambo tu . Sababu biashara ni competition either u survive or die the best thing it to play good in a room coz biashara Ina kanuni demand + supply alafu capturing market share means Everybody is taking about ua service and product hivyo product zako zitakuwa first consumed good everywhere wakati huo unawanutrilize wale competitor wako whatever mean you choose apo ndo utakuwa kinara na ndo jina linakuja kila mtu street anakujua Kwa Brand yako ata kukuona anaweza mtu akawa ajawai kukuona ila anamuelekeza mtu njoo apa Kwa magezi bugaga.
 
wewe ni mchanga huendi kutafuta utajiri unaenda kujibrush na kuweka vitu katika mnyooko ndio mambo hufunguka na utapata deal za maana ila ukiwa mweupe na unatafuta si kila mnaetafuta nae maeneo yako ni mzuri kwako mzee. Elewa swali la mtoa mada
Sijakuelewa
 
Imani dhaifu hizo na watu wanapendelea sana huko
Tofauti na sisi wengine hatuna makuu ni kufanya kazi kupata hela na kufufungua biashara zaidi na kuendeleza tu
Kama familia imeweza kuendeleza biashara mpaka wajukuu sasa miaka zaidi ya 70 na bado zinaongezeka bila mganga bali kumuamini Mungu tu

Kila mmoja apambane kivyake tu ila sisi uchawi hapana kwa kweli
Tupo ndugu wengi tu wenye uwezo mkubwa tu lakini tunafuraha na amani
Kuna vijana huwa wanatutania kuwa tuna ndagu ila niliweka 2m kama atamleta mganga anaetufanyia ujinga huo akabaki kucheka tu
Ushawahi kwenda kwa mganga?
 
Sasa unatoa wapi credibility ya kusema ni ushetani/uongo wakati hujawahi kwenda?

Sawa na kusema chakula fulani sio kitamu wakati hujawahi kukila.
Uchawi upo hilo halina ubishi na sipingi ila mimi siufatilii wala kwenda kutafuta uganga
Hata kwenye vitabu vimeandikwa upo ila tusiufate

Mkuu hapa duniani Kuna mambo mengi ambayo wengi wanafanya lakini wewe unaweza kuwa hufanyi kabisa ila unajua ni mabaya ingawa hujafanya
Kwa mfano ushoga unaweza usiwe ila unajua ni kitu kibaya lakini wapo wanaopenda

Sisi nyumbani tumekatazwa kabisa kuamini haya ingawa yapo na hatuendi kwa mganga hata litokee tatizo gani
Tunamuomba Mungu na kusoma sana simple
Kwani hakuna wasiofuata haya mambo au mimi ndio wa kwanza unanisikia
 
Uchawi upo hilo halina ubishi na sipingi ila mimi siufatilii wala kwenda kutafuta uganga
Hata kwenye vitabu vimeandikwa upo ila tusiufate

Mkuu hapa duniani Kuna mambo mengi ambayo wengi wanafanya lakini wewe unaweza kuwa hufanyi kabisa ila unajua ni mabaya ingawa hujafanya
Kwa mfano ushoga unaweza usiwe ila unajua ni kitu kibaya lakini wapo wanaopenda

Sisi nyumbani tumekatazwa kabisa kuamini haya ingawa yapo na hatuendi kwa mganga hata litokee tatizo gani
Tunamuomba Mungu na kusoma sana simple
Kwani hakuna wasiofuata haya mambo au mimi ndio wa kwanza unanisikia
Kwanza, una'contradict kati ya uganga na uchawi.

Pili, sio kila unachozuiwa kukifanya au ambacho hukifanyi ni kibaya. Kwa muislam, ukristu ni mbaya na ukafir. Ila generally ukweli tunaujua.

Tatu, kama hujui, kwa waganga ni njia ya kumuomba mungu, japo sio kwa njia ya mtume Mohamed na/au Yesu. Sema watu wa dini kwa kuwa mnauninafsi, huwa mnagenerate concepts zenu mnazozijua wenyewe.

Kama wewe umeamua kuwa na Imani fulani, respect wengine na Imani zao coz hakuna mwenye uhakika na Imani yake, utajisijiaje siku ya mwisho (kama ipo) ukaambia freemasons ndio ilikuwa njia ya kweli ya mungu kuliko yeyote ile?

Hakuna aijuae kesho mkuu.
 
Kwanza, una'contradict kati ya uganga na uchawi.

Pili, sio kila unachozuiwa kukifanya au ambacho hukifanyi ni kibaya. Kwa muislam, ukristu ni mbaya na ukafir. Ila generally ukweli tunaujua.

Tatu, kama hujui, kwa waganga ni njia ya kumuomba mungu, japo sio kwa njia ya mtume Mohamed na/au Yesu. Sema watu wa dini kwa kuwa mnauninafsi, huwa mnagenerate concepts zenu mnazozijua wenyewe.

Kama wewe umeamua kuwa na Imani fulani, respect wengine na Imani zao coz hakuna mwenye uhakika na Imani yake, utajisijiaje siku ya mwisho (kama ipo) ukaambia freemasons ndio ilikuwa njia ya kweli ya mungu kuliko yeyote ile?

Hakuna aijuae kesho mkuu.
Asante sana mkuu kwa kuchanganua hivyo
Unajua wengi wanajua mganga wa kienyeji anaweza kuwa mchawi kwa wengi wanavyo tafsiri
Lakini nimekuelewa vizuri kwa maelezo yako

Mganga anaetibu kwa miti shamba haikataliwi kwani hata madawa mengi ni yanatokana na mimea
Kwa hivyo basi nakubaliana na wewe
Naona tumeelewana boss
Situmii sana madawa yao kwa sababu hawajui viwango vya kumpa mgonjwa
Anakuambia kunywa Lita 5 kwa Wiki kumbe unaweza kunywa kikombe kwa Wiki na ukapona
Ndio maana wengi wanadhurika kwa madawa yao na figo kufeli
 
Kwenda kwa mganga/kusali hakuleti utajiri,

Unaweza kwenda ukapata, unaweza usiende ukapata, utajiri hauhusiani na imani.

Ingekua hivyo, matajiri wangekua wengi mno

Sasa hii ni ngumu kuelewa kwa watu wenye imani, kwahiyo wewe fanya unachoona sawa

Bora ujifunze kwa experience
Uzi ufungwe hapa, kule ni kutafuta ulinzi tu ili ufanye shughuli zako bila kubuguziwa.
 
Uchawi upo hilo halina ubishi na sipingi ila mimi siufatilii wala kwenda kutafuta uganga
Hata kwenye vitabu vimeandikwa upo ila tusiufate

Mkuu hapa duniani Kuna mambo mengi ambayo wengi wanafanya lakini wewe unaweza kuwa hufanyi kabisa ila unajua ni mabaya ingawa hujafanya
Kwa mfano ushoga unaweza usiwe ila unajua ni kitu kibaya lakini wapo wanaopenda

Sisi nyumbani tumekatazwa kabisa kuamini haya ingawa yapo na hatuendi kwa mganga hata litokee tatizo gani
Tunamuomba Mungu na kusoma sana simple
Kwani hakuna wasiofuata haya mambo au mimi ndio wa kwanza unanisikia
Kama wewe ni Mtu wa Imani sana nakushauri usifanye Biashara.
Ni vigumu mfanyabiashara Kuiona Pepo [emoji24]

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Kama wewe ni Mtu wa Imani sana nakushauri usifanye Biashara.
Ni vigumu mfanyabiashara Kuiona Pepo [emoji24]

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Hayo ni mawazo yako
Na ndio tatizo lenu kubwa Imani dhaifu sana
Nimefanya biashara miaka zaidi ya 40 na siwazi kurogwa wala kwenda kutafuta ndumba
Pole sana
 
Back
Top Bottom