Kuwa mkweli. Unabadilisha shuka ya kitanda mara ngapi kwa wiki?

Kuwa mkweli. Unabadilisha shuka ya kitanda mara ngapi kwa wiki?

Kinachoamua zaidi ni hali ya hewa....lakini wanaume wanaeleweka kuwa wengi usafi wa kufuafua tuna D. Shuka na bed cover acha tuu...

Ongezea na pillow cover yaani mabaharia watagezea majibu hapa ila ukweli wanaujua wao wenyewe....

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Mimi nwe mkweli, nikiwa hostel nabadilisha mara 1 kwa week. Kla jumapili nabadilisha. Nikiwa nyumban nakutaga tu mama amebadilisha. Sijui huwa anabadilisha mara ngapi [emoji1745]

Kna huyu dada roommate wangu shuka yke mpk imebadilika rangi. Habadilishi inaeza ikapita hadi mwezi au miezi. Yeye ni kupaka makeup tu na kwenda kwa seminars lkn hpo kitandan analala mpk shuka inanuka.

Je wewe unabadilisha shuka mara ngpi?
Kipindi sijaoa nilikuwa nabadilisha hadi litakapoanza kunukia uvundo.

Sasa mke anabadilisha mara kwa mara sana
 
week mbili mpaka tatu....sasa nimetandika siku tatu zilizopita kuna mjinga kaja jana ananifanya nilitoe mapema nikafue wakati sio ratiba yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni KE au ME?
Mimi nwe mkweli, nikiwa hostel nabadilisha mara 1 kwa week. Kla jumapili nabadilisha. Nikiwa nyumban nakutaga tu mama amebadilisha. Sijui huwa anabadilisha mara ngapi [emoji1745]

Kna huyu dada roommate wangu shuka yke mpk imebadilika rangi. Habadilishi inaeza ikapita hadi mwezi au miezi. Yeye ni kupaka makeup tu na kwenda kwa seminars lkn hpo kitandan analala mpk shuka inanuka.

Je wewe unabadilisha shuka mara ngpi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wiki mara moja, kila j2 kama nalala mwenyewe.
 
Mimi nabadili mashuka kwangu kila siku.
Sio chumbani kwangu tuu ila vyumba vyote nyumbani kwangu.
Kila asubuhi mashuka yanatolewa yanaenda kufuliwa yanatandikwa mengine.
Nyumbani kwako kama hotel
 
Nikiwa mwenyewe natumia 3 kwa week....tukiwa wawili sijui huwa anafanyaje maana mashuka mengi yanafanana nitatega siku moja nione anabadilisha kwa muda gani.

Kwa hiyo mtoa mada unamaliza lini shule mama? Mama aache kukubadilishia mashuka ushakua sasa
 
Back
Top Bottom