mica capacitor
Senior Member
- Dec 20, 2019
- 182
- 203
Hao wanaosema wao ni kama akina nani katika maisha yetu?Wanasema shuka inatakiwa ibadilishwe kila baada ya siku 3[emoji849]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wanaosema wao ni kama akina nani katika maisha yetu?Wanasema shuka inatakiwa ibadilishwe kila baada ya siku 3[emoji849]
Kama mimi wewe
Hatukupangii maisha mkuu, amua unavyoona ni sawa
Kipindi sijaoa nilikuwa nabadilisha hadi litakapoanza kunukia uvundo.Mimi nwe mkweli, nikiwa hostel nabadilisha mara 1 kwa week. Kla jumapili nabadilisha. Nikiwa nyumban nakutaga tu mama amebadilisha. Sijui huwa anabadilisha mara ngapi [emoji1745]
Kna huyu dada roommate wangu shuka yke mpk imebadilika rangi. Habadilishi inaeza ikapita hadi mwezi au miezi. Yeye ni kupaka makeup tu na kwenda kwa seminars lkn hpo kitandan analala mpk shuka inanuka.
Je wewe unabadilisha shuka mara ngpi?
Mimi nwe mkweli, nikiwa hostel nabadilisha mara 1 kwa week. Kla jumapili nabadilisha. Nikiwa nyumban nakutaga tu mama amebadilisha. Sijui huwa anabadilisha mara ngapi [emoji1745]
Kna huyu dada roommate wangu shuka yke mpk imebadilika rangi. Habadilishi inaeza ikapita hadi mwezi au miezi. Yeye ni kupaka makeup tu na kwenda kwa seminars lkn hpo kitandan analala mpk shuka inanuka.
Je wewe unabadilisha shuka mara ngpi?
Nyumbani kwako kama hotelMimi nabadili mashuka kwangu kila siku.
Sio chumbani kwangu tuu ila vyumba vyote nyumbani kwangu.
Kila asubuhi mashuka yanatolewa yanaenda kufuliwa yanatandikwa mengine.
Ni kwa sababu mbali na muda wa chakula watu huwa wanashinda bedroom shughuli zote zinafanyika huko, na kwa watoto michezo yote inafanyika huko.Nyumbani kwako kama hotel
Utakuwa huna jambo lingine la kufanya kazi yako ni kufua nashuka tu?Wanasema shuka inatakiwa ibadilishwe kila baada ya siku 3[emoji849]
Mkuu huwezi kulinganisha shuka na chupi, yaani nibadili shuka kila siku ili iweje labdaUkimwona mwanamke habadili shuka lake analolalia kila siku,,,,ujue huyo hata chupi yake habadili kila siku...Ewe Mola usinijaalie wanawake wa type hii.[emoji120][emoji120],
Sent using Jamii Forums mobile app