Kuwa mkweli. Unabadilisha shuka ya kitanda mara ngapi kwa wiki?

Kuwa mkweli. Unabadilisha shuka ya kitanda mara ngapi kwa wiki?

Haizidi siku 3,lakini nalala na mtoto sasa kama akipitiwa akakojoa au akafanya tukio lolote mchana au usiku natoa.

Ila sasa nikiwa na stress aiseee ninaweza lalia shuka mpaka najisahau.
Nikiwa na stress hakuna kazi yoyote nayoweza kufanya.

Hapa nina mashuka 4 machafu nayawaza kuyafua.
Nimepanga keshokutwa nitafua.

Siku nitakayopata washing machine nauhakika kila siku nitakuwa nabadili mashuka.

Kiufupi kufua tu ni mtihani mkubwa sana kwangu na mashuka si kitu cha kufuliwa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi tunaojikojolea kitandani hatulaliagi mashuka,ni mwendo wa kutandika Rambo,ila sasa hivi tunapita kwenye changamoto ya ukosefu rambo
 
Hapo chafu !?au safi
1577386005295.jpeg


kelphin kepph
 
Duniani kuna mambo ...yaani nibadirishe shuka kila siku????mwee!! Au Uko mchafu sana basi!!

Shuka la hivi ni km unalionea tu. Ni matumizi mabaya ya muda...

Haiwezekani uchafue shuka kila siku km hualishi!! Au

kuvuja naniliu....hata km unanuka kikwapa hii haiwezekani...Kwani

Mnanuka jamani? Au mnaishi krb na barabara za vumbi?? Joto looote hili la Dsm shuka lina chafukaje????


Nimegundua...

Wote humu Jf.. hkn anae tumia night dress! Nikujipaka mifuta uchi tu then mbonji. Ivo ivo uchi....hivi siku ukikurupushwa na vibaka utafanyaje?? Ili hali uko uchi?? Na huko nje!! Wakikuona uchi watajua ni mchawi tu kapotea njia dawa zimemkorea!! Kipigo cha mbwa mwizi kina kuhusu....

Mjifunzege kulala na night dress!! Muepuke vifo visivyo vya lazima..

Hivi kaka jambazi akija usiku anakuta tumbua hilooo!! tena liko wazi krb tu hapo...atakuacha kweli???

Umemzawadia bure bila malipo hilo tumbua lako na wengine hamjui kukwangua ndo kabisaaa mnajihatarisha.yaani jimsitu jeusiiiii tiiiii km upanga......Hayaaa endeleeni tu ila mtanikumbuka...
 
Mimi niwe mkweli, nikiwa hostel nabadilisha mara 1 kwa week. Kla jumapili nabadilisha. Nikiwa nyumban nakutaga tu mama amebadilisha. Sijui huwa anabadilisha mara ngapi 🤷

Kna huyu dada roommate wangu shuka yke mpk imebadilika rangi. Habadilishi inaeza ikapita hadi mwezi au miezi. Yeye ni kupaka makeup tu na kwenda kwa seminars lkn hpo kitandan analala mpk shuka inanuka.

Je wewe unabadilisha shuka mara ngpi?
Mie huwa nabadilisha kila baada ya dakika tano!!! yanafuliwa na mshine
 
Mimi niwe mkweli, nikiwa hostel nabadilisha mara 1 kwa week. Kla jumapili nabadilisha. Nikiwa nyumban nakutaga tu mama amebadilisha. Sijui huwa anabadilisha mara ngapi 🤷

Kna huyu dada roommate wangu shuka yke mpk imebadilika rangi. Habadilishi inaeza ikapita hadi mwezi au miezi. Yeye ni kupaka makeup tu na kwenda kwa seminars lkn hpo kitandan analala mpk shuka inanuka.

Je wewe unabadilisha shuka mara ngpi?
Hutegemea matumizi ya mtu. Ninarudia hutegemea matumizi a mtu. Kuna siku siku moja tu shuka linabadilishwa. Ninadhani unanielewa, sioni haja ya kufafanua hili sisi ni watu wazima
 
Mara mbili kwa week, wakati mwingine siku hiyo hiyo nlotandika nalitoa. Wanawake mnanielewa hapa. Nikiwa mzazi kila siku nabadilisha.
 
Back
Top Bottom