Mimi nwe mkweli, nikiwa hostel nabadilisha mara 1 kwa week. Kla jumapili nabadilisha. Nikiwa nyumban nakutaga tu mama amebadilisha. Sijui huwa anabadilisha mara ngapi [emoji1745]
Kna huyu dada roommate wangu shuka yke mpk imebadilika rangi. Habadilishi inaeza ikapita hadi mwezi au miezi. Yeye ni kupaka makeup tu na kwenda kwa seminars lkn hpo kitandan analala mpk shuka inanuka.
Je wewe unabadilisha shuka mara ngpi?
Eti ni usafi kama mnalala wawiliUtakuwa huna jambo lingine la kufanya kazi yako ni kufua nashuka tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaaa kumbe paula ni mamaNi kwa sababu mbali na muda wa chakula watu huwa wanashinda bedroom shughuli zote zinafanyika huko, na kwa watoto michezo yote inafanyika huko.
Pia inategemeana na shughuli zinazofanyika hapo kitandani,na joto la dsm kama ni mkulima na kila wakati unapalilia mazao,hata masaa 12 haliwezi kudumuWanasema shuka inatakiwa ibadilishwe kila baada ya siku 3[emoji849]
Umesema "room mate" badilisha kichwa cha habari.Muulizane nyie mnaoishi kwenye maghetto na kwa wazazi wenu wengine tumeoa wengine zipo washing machine n.k naona umejisahau.Mimi nwe mkweli, nikiwa hostel nabadilisha mara 1 kwa week. Kla jumapili nabadilisha. Nikiwa nyumban nakutaga tu mama amebadilisha. Sijui huwa anabadilisha mara ngapi [emoji1745]
Kna huyu dada roommate wangu shuka yke mpk imebadilika rangi. Habadilishi inaeza ikapita hadi mwezi au miezi. Yeye ni kupaka makeup tu na kwenda kwa seminars lkn hpo kitandan analala mpk shuka inanuka.
Je wewe unabadilisha shuka mara ngpi?
Mkuu ushaolewa nije kukuposa maana wew unanitosha ila mtoa mada hatoshi kuwa mama wa familiaMimi nabadili mashuka kwangu kila siku.
Sio chumbani kwangu tuu ila vyumba vyote nyumbani kwangu.
Kila asubuhi mashuka yanatolewa yanaenda kufuliwa yanatandikwa mengine.
HahahahahPia inategemeana na shughuli zinazofanyika hapo kitandani,na joto la dsm kama ni mkulima na kila wakati unapalilia mazao,hata masaa 12 haliwezi kudumu
Kama mnalala wawili sawa, yaani kitanda nalala peke yangu nikiwa naenda kulala naoga ndio nifue kila baada ya siku tatu siwezi fanya hiyo kaziEti ni usafi kama mnalala wawili
Hahaha kufua kipajiKama mnalala wawili sawa, yaani kitanda nalala peke yangu nikiwa naenda kulala naoga ndio nifue kila baada ya siku tatu siwezi fanya hiyo kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni gumu,mkiwa wawili.......sawa maana hata masaa matano mnaweza badiliKama mnalala wawili sawa, yaani kitanda nalala peke yangu nikiwa naenda kulala naoga ndio nifue kila baada ya siku tatu siwezi fanya hiyo kazi
Sent using Jamii Forums mobile app