Labda muwe mna chemchem yakumwagilia bustani ambayo inatirirsha maji tyHilo ni gumu,mkiwa wawili.......sawa maana hata masaa matano mnaweza badili
Inawezekana maana kuna baadhi ya mashamba yanachemchem chini,ukichimba kidogo tu unapata kisima na maji ya kutoshaLabda muwe mna chemchem yakumwagilia bustani ambayo inatirirsha maji ty
HahahahaInawezekana maana kuna baadhi ya mashamba yanachemchem chini,ukichimba kidogo tu unapata kisima na maji ya kutosha
[emoji23][emoji23][emoji23]Utakuwa huna jambo lingine la kufanya kazi yako ni kufua nashuka tu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila siku?Mkuu huwezi kulinganisha shuka na chupi, yaani nibadili shuks kila siku ili iweje kabda
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikihisi limechafuka, week, mwezi au naweza nikatandika leo halafu nikapiga mechi ndotoni nabadili hapo hapo
Kwa maisha ya kawaida hapana hiyo mtu anashuka 2 umwambie kila siku unabadilisha mmm bongo hii ni mmoja kwa 10, ila hongeraMimi nabadili mashuka kwangu kila siku.
Sio chumbani kwangu tuu ila vyumba vyote nyumbani kwangu.
Kila asubuhi mashuka yanatolewa yanaenda kufuliwa yanatandikwa mengine.
Kama mtu ana muda wala hamna tatizo. Hayo hayo mawili kama anapenda kubadilisha yanatosha.Kwa maisha ya kawaida hapana hiyo mtu anashuka 2 umwambie kila siku unabadilisha mmm bongo hii ni mmoja kwa 10, ila hongera
Sent using Jamii Forums mobile app