Kuwa mtanashati au handsome ni mzigo mkubwa

Kuwa mtanashati au handsome ni mzigo mkubwa

Hobby, fantasy, lifestyle and morever, mimi sijaona shida ya mtoa mada ikiwa yuko jukwaa sahihi na anatoa yake.

Unaweza vipi kuwa handsomely great ukiwa hutafuti pesa, unless otherwise wanao mkosoa mtoa mada ni wale walio fail kuact the way mtoa mada anaishi, kiufupi ni maneno ya mkosaji....
Hujaona shida? Kwa hiyo yy mzuri........... yaani mtoto wa kiume anajisifia yy mzuri...... inawezekana tuna makuzi tofauti, mm crew na watu niliokuwa nao sijawahi kusikia wakijisifia kuwa wazuri....... May be ww labda utakuwa mnamakuzi sawa.
 
Fake it untill you Make it; Never settle for Average ..
 
Hujaona shida? Kwa hiyo yy mzuri........... yaani mtoto wa kiume anajisifia yy mzuri...... inawezekana tuna makuzi tofauti, mm crew na watu niliokuwa nao sijawahi kusikia wakijisifia kuwa wazuri....... May be ww labda utakuwa mnamakuzi sawa.
Ni wapi nimisema mimi ni mzuri? Acha kutunga maneno, mimi nimesema ni mtanashati na nadhifu
 
Ni wapi nimisema mimi ni mzuri? Acha kutunga maneno, mimi nimesema ni mtanashati na nadhifu
Screenshot_20240821_090430_Chrome.jpg

Wewe si umesema ni handsome, Google hiyo hapo imekupa tafsiri sio mimi, handsome maanake mzuri tena wao wameenda mbali zaidi.........
 
Hujaona shida? Kwa hiyo yy mzuri........... yaani mtoto wa kiume anajisifia yy mzuri...... inawezekana tuna makuzi tofauti, mm crew na watu niliokuwa nao sijawahi kusikia wakijisifia kuwa wazuri....... May be ww labda utakuwa mnamakuzi sawa.
Uzuri sio shida mkuu hata kama ni mwanaume....elewa neno uzuri na sio mambo mengine.
 
Tangazo lako halijakamilika, Picha hujawekaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom