kiredio Jr
JF-Expert Member
- Jul 8, 2024
- 989
- 1,843
- Thread starter
- #221
Mfano vitu ganiUfanye vitu vikubwa Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano vitu ganiUfanye vitu vikubwa Mkuu
Tatua changamoto za watu wa Jamii yako au Hata jfMfano vitu gani
Hujaona shida? Kwa hiyo yy mzuri........... yaani mtoto wa kiume anajisifia yy mzuri...... inawezekana tuna makuzi tofauti, mm crew na watu niliokuwa nao sijawahi kusikia wakijisifia kuwa wazuri....... May be ww labda utakuwa mnamakuzi sawa.Hobby, fantasy, lifestyle and morever, mimi sijaona shida ya mtoa mada ikiwa yuko jukwaa sahihi na anatoa yake.
Unaweza vipi kuwa handsomely great ukiwa hutafuti pesa, unless otherwise wanao mkosoa mtoa mada ni wale walio fail kuact the way mtoa mada anaishi, kiufupi ni maneno ya mkosaji....
Mimi nina changamoto zangu na ndyo napaswa kuzitatua, hao wengine watatue changamoto zaoTatua changamoto za watu wa Jamii yako au Hata jf
Ni wapi nimisema mimi ni mzuri? Acha kutunga maneno, mimi nimesema ni mtanashati na nadhifuHujaona shida? Kwa hiyo yy mzuri........... yaani mtoto wa kiume anajisifia yy mzuri...... inawezekana tuna makuzi tofauti, mm crew na watu niliokuwa nao sijawahi kusikia wakijisifia kuwa wazuri....... May be ww labda utakuwa mnamakuzi sawa.
There is no need to fakeFake it untill you Make it; Never settle for Average ..
Ni wapi nimisema mimi ni mzuri? Acha kutunga maneno, mimi nimesema ni mtanashati na nadhifu
Words have different meanings and interpretation, Labda sura yangu inaweza kuwa na mvuto lakini siwezi sema mimi ni mzuri au mremboView attachment 3075383
Wewe si umesema ni handsome, Google hiyo hapo imekupa tafsiri sio mimi, handsome maanake mzuri tena wao wameenda mbali zaidi.........
Asante kaka, wale wenye maneno yao ya ukosaji waendelee kuwa rough.Katika umri huo wengi ndyo huwa wanapuuza maswala ya unadhifu, kama wewe umezingatia hilo basi hongera sana Mkuu
Uzuri sio shida mkuu hata kama ni mwanaume....elewa neno uzuri na sio mambo mengine.Hujaona shida? Kwa hiyo yy mzuri........... yaani mtoto wa kiume anajisifia yy mzuri...... inawezekana tuna makuzi tofauti, mm crew na watu niliokuwa nao sijawahi kusikia wakijisifia kuwa wazuri....... May be ww labda utakuwa mnamakuzi sawa.
Picha siwezi kuwekaUjumbe haujakamilika, weka picha tuprove
Hawapo sawaVyote vinae
Nsa sambamba
Walaumu google.Words have different meanings and interpretation, Labda sura yangu inaweza kuwa na mvuto lakini siwezi sema mimi ni mzuri au mrembo
Uzuri sio shida mkuu hata kama ni mwanaume....elewa neno uzuri na sio mambo mengine.
Its Helpfull , Thats why we're using Fake ID in JF..There is no need to fake
Niekee ile yako PM basi 😅😅Tangazo lako halijakamilika, Picha hujawekaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]